Ukipewa nafasi ya kumuondoa Waziri mmoja madarakani kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ungemuondoa nani?

Ukipewa nafasi ya kumuondoa Waziri mmoja madarakani kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ungemuondoa nani?

Wakuu kwema, nyuki wa mama mpo?

Kama ukipewa nafasi ya kumuondoa Waziri mmoja kwenye nafasi yake kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake, na Waziri huyu asiweze kurudi tena kwenye nafasi nyingine ya uongozi, ungemuengua nani?

Mzee wa kuja na tozo za kila aina nakusalimu, Nape na wewe (bonus) una nafasi yako adhimu.

Ungekuwa na nafasi hiyo ungelamba kichwa cha nani?
Wako wengi tuu
1.Dr.Kijaji
2.Jafo
3.DR.Gwajima
4.Mdumbaru
5.Pindi Chana
6.Utalii
 
Aikoooo! Kumuoondoa peke yake haitoshi utapeleka matatizo sehemu nyingine ondoa kabisa ule mwanasesere unaorembua rembua kwa kusifiwa kinafki.
 
I think to be honest,

Mawaziri na manaibu waziri wote Tanzania wanatekeleza wajibu na majukumu yao kikamilifu sana kwa weledi, kasi na viwango vya juu mno.

Chuki na gubu binafsi ndio tatizo la wakosoaji wengi wa utendaji wa mawaziri humu nchini.

hata hivyo hali hiyo haikwepeki hususani kwa kiongozi yeyote mwenye dhamana ya uongozi kisiasa kwa umma [emoji205]

Muhimu kwa kiongozi makini ni kuchapa kazi kwa bidii sana, bila kuzingatia au kujali eruptions za deconstructive criticism bali kuzingatia constructive criticisms na kusonga mbele mwendo wa ngiri [emoji205]


R.I.P Laigwanani comrade ENL
Acha unafiki wewe, wengi wao wanapiga Hela, kama mwigulu tutampigia hesabu kama mshahara wake na safari na malupulupu mengine yanaendana na utajiri wake, hizi Hela mtatapika, Bado mda mchache
 
Acha unafiki wewe, wengi wao wanapiga Hela, kama mwigulu tutampigia hesabu kama mshahara wake na safari na malupulupu mengine yanaendana na utajiri wake, hizi Hela mtatapika, Bado mda mchache
chuki binafsi na gubu zako ziambatane na kuandamana nawe pekee 🐒


hicho ndicho nikionacho mie kwa mawaziri....

ni uhuru wako kuona unacho kiona ....

na wala hakuna haja ya kughadabishwa na kuhemshwa na maoni na mitazamo ya wengine.

zaidi sana hamna maana yeyote na wala sio Lazima uonyeshe uteketeke wako katika siasa 🐒

R.l.P Laigwanani comrade ENL
 
Bwashee, masela hapa kijiweni wanauliza, kwa kuwa rais naye ni sehemu ya baraza la mawaziri, naye yumo kwenye hilo kundi la wanaoweza kupigwa chini?
 
Wakuu kwema, nyuki wa mama mpo?

Kama ukipewa nafasi ya kumuondoa Waziri mmoja kwenye nafasi yake kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake, na Waziri huyu asiweze kurudi tena kwenye nafasi nyingine ya uongozi, ungemuengua nani?

Mzee wa kuja na tozo za kila aina nakusalimu, Nape na wewe (bonus) una nafasi yako adhimu.

Ungekuwa na nafasi hiyo ungelamba kichwa cha nani?
Dorothy Gwajima
 
NAPE https://jamii.app/JFUserGuide**g NNAUYE hili bogus tulipigwa big time.
 
Back
Top Bottom