YesIla Eng Hersi mjanja sana. Hii mbinu ni Babu kubwa. Amemsakizia Haji ili akutane na ban ya maisha kama njia ya kummwe-evacuate Haji bila kujitambua. Amempiga sindano ya ganzi aondoke bila maumivu, naye amejaa tayari. Akili kubwa kwa akili ndogo.
Unateseka ukiwa wapi?[emoji1]Akili hizi bwana, kweli kila mtu ana zake.
Halafu Sasa naamini kwa asilimia 200 kuwa kweli Utopoloni hakuna mwenye akili isipokuwa wale aliowataja mwenye Haji. Mwandiko wako unadhijirisha weupe. Yaani pamoja na viongozi wote huko hakuna aliyeliona hili kosa!!? Senzo ana haki ya kupumzika na aibu ya watu wasiolewa.
Hapa mkiadhibiwa museme mnaonewa!
Yaani Haji kaenda kwa machongo naye amevunja lake. [emoji3][emoji3][emoji848][emoji848]
Aiseesupu iyo ndio kila kitu kwenye kwa kifupi unakua umekula zaidi nyama kwaiyo hapo hujafuata ushauri uliopewa
Bas ni sawa tuseme aendelee na usemaji na uhamasishaji Yanga ila awe anaitwa MC ktk hayo majukumu,asee Takadini anadharau sanaMnataka aishi vipi?
Mmemfungia kwenye soka, hamtaki hata afanye kazi zingine?
Kaenda pale kama MC,thats all.
Huwez kumpangia aanze lini kaz yake ya uMC na malipo anajua mwnywYeye alieleza kuwa yuko pale kama MC hivyo analipwa, je, ni kweli Haji hufanya kazi za MC kama alivyosema? Na huko Tabata ni kweli amekwenda kama MC na yuko? Kama hujishughulisha na umc siku zote haina shida ila kama hajihusishi atawajibishwa.
MC wa shughuli zipi?Mjanja sana,kisheria hafungwi kivyovyote,maana kaja kama MC.
Hatakiwi kabisa kujishughulisha na michezo ilichochini ya bodi ya ligi au TFf.Bas ni sawa tuseme aendelee na usemaji na uhamasishaji Yanga ila awe anaitwa MC ktk hayo majukumu,asee Takadini anadharau sana
Byuti byutiEti wadau ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kuilamba na kunywa mchuzi wake utakuwa umevunja kanuni?
Case study Haji manara! Sikio la kufa!
Kaonekana akitangaza leo taifa, kwa haiba yake akiguswa na TFF atakuwa kaonewa? Tueleweshane hapo! AU makundi maalum wanaruhusiwa kuvunja sheria!
TFF wampotezee anatafuta airtime lakini ifike mahali Yanga wavunje ukimya wamuonyeHuyu jamaa ana psychological disorder ya hali ya juu sana, bad enough inasikitisha uongozi wa Yanga unalea hii takataka. Nimeishi Yanga miaka mingi sana hiki kituko sijawai ona.
MC ni neno la kiingereza lenye maana ileile kama MSEMAJI/MSHEHERESHAJI!Bas ni sawa tuseme aendelee na usemaji na uhamasishaji Yanga ila awe anaitwa MC ktk hayo majukumu,asee Takadini anadharau sana
WatadharaulikaTFF wampotezee anatafuta airtime lakini ifike mahali Yanga wavunje ukimya wamuonye
umbea,kwani uemsii amefanyia kitandani kwa GSM?Ukiacha umbeya,utakuja kunishukuru baadae[emoji1][emoji1]
swali zuriBas ni sawa tuseme aendelee na usemaji na uhamasishaji Yanga ila awe anaitwa MC ktk hayo majukumu,asee Takadini anadharau sana
Kesho kutwa atasema kahudhlia kama mganga wa timuswali zuri
Labda itungwe sheria ya kushonea zipu kinywaEti wadau ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kuilamba na kunywa mchuzi wake utakuwa umevunja kanuni?
Case study Haji manara! Sikio la kufa!
Kaonekana akitangaza leo taifa, kwa haiba yake akiguswa na TFF atakuwa kaonewa? Tueleweshane hapo! AU makundi maalum wanaruhusiwa kuvunja sheria!
Kamati ya maadili katika kufafanua adhabu ya manara walisema anaruhusiwaNini maana ya kutokujihusisha na shughuli za mpira?
TFF wakimuachia huyu jamaa yenu wamekwisha.Mnataka aishi vipi?
Mmemfungia kwenye soka, hamtaki hata afanye kazi zingine?
Kaenda pale kama MC,thats all.
Tamasha la Yanga lilikuwa na mambo zaidi ya Mpira....Nini maana ya kutokujihusisha na shughuli za mpira?