Ukitaka amani katika ndoa, oa mwanamke Muislamu mbadilishe kuwa Mkristu

Ukitaka amani katika ndoa, oa mwanamke Muislamu mbadilishe kuwa Mkristu

Peace be upon you all,

Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"

Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.

Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talala. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.

Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)

Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.

Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.

Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.


And on you be peace and blessing of Allah.

Shida hapo mkuu ni mafundisho ya Ukristo ni mabaya na mafundisho ya Uisilamu ni mazuri, basi tusiwalaumu wasichana wa kikristo bali tutafakari mafundisho ya Ukristo na tuyapime na tujiulize; je yanafaa katika nyakati hizi za sasa si kwa wasichana na wanawake wa kikristo tu bali pia kwako wewe na mimi ??!!.-- usitafute mchawi mwingine.

Short and clear.
 
A man needs respect and a woman needs love for a marriage to work.
Sasa hua najiuliza, wanaume wa kibongo kila.mmoja wetu anataka mwanamke mwenye heshima, lakini je, sisi wote tunawapenda hao wanawake? Je tunawapenda kwelikweli au tupo self centered kwamba tuheshimiwe tu lakini wao tuwapende chini ya kiwango?[emoji848]

Absolutely.Napigilia msumari
 
Hawa viumbe sitokaa kuwaamini Hadi naingia kabulini.
A man needs respect and a woman needs love for a marriage to work.
Sasa hua najiuliza, wanaume wa kibongo kila.mmoja wetu anataka mwanamke mwenye heshima, lakini je, sisi wote tunawapenda hao wanawake? Je tunawapenda kwelikweli au tupo self centered kwamba tuheshimiwe tu lakini wao tuwapende chini ya kiwango?🤔
 
Hawa viumbe sitokaa kuwaamini Hadi naingia kabulini.
A man needs respect and a woman needs love for a marriage to work.
Sasa hua najiuliza, wanaume wa kibongo kila.mmoja wetu anataka mwanamke mwenye heshima, lakini je, sisi wote tunawapenda hao wanawake? Je tunawapenda kwelikweli au tupo self centered kwamba tuheshimiwe tu lakini wao tuwapende chini ya kiwango?🤔
 
Back
Top Bottom