Ukitaka amani katika ndoa, oa mwanamke Muislamu mbadilishe kuwa Mkristu

Ukitaka amani katika ndoa, oa mwanamke Muislamu mbadilishe kuwa Mkristu

Peace be upon you all,

Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"
Ni kweli, kwa sasa, bora mtoto wa kiislamu. wanajua kulea mume,wanajua kuwa mwanamke

Hizi taka nyingine ni za kupiga na kuondoka
 
kiujumla hawa barakashia wako vizuri kwenye miongozo ya maisha ya kawaida shida tu wapo karibu na mambo ya giza/ulozi/uchawi ukizingua tu mtu hawakawii kukushusha busha.

Umemweka mdada mpango wa kando hlf kakuelewa kumbe wewe ulikuwa umejigesha tu, ukizingua tu anakuhamisha netweki. ukirudi hom mnara hausomi yani ni sifuri kabisa ila ukienda kwake mzee unasimamia kucha hadi maji yanaitwa mma daah hii dunia bana kua uyaone
 
kiujumla hawa barakashia wako vizuri kwenye miongozo ya maisha ya kawaida shida tu wapo karibu na mambo ya giza/ulozi/uchawi ukizingua tu mtu hawakawii kukushusha busha.

Umemweka mdada mpango wa kando hlf kakuelewa kumbe wewe ulikuwa umejigesha tu, ukizingua tu anakuhamisha netweki. ukirudi hom mnara hausomi yani ni sifuri kabisa ila ukienda kwake mzee unasimamia kucha hadi maji yanaitwa mma daah hii dunia bana kua uyaone
🤣🤣🤣
Dah..
Ila hawa mabinti wakristo bhana, wanakera mno kwenye mavazi..
Unakuta mdada amevaa kasuruali kanabana kama soksi, ramani ya K inaonekana yooote hadi mfereji wake!!!
Ukweli usemwe tu, wadada kama hao siyo wife material kabisaa, labda kwa matumizi ya dharura, one night stand, bhasi.

Hao wa upande wa pili kwa kweli wanavaa kwa kujisitiri, wana adabu, wanavutia na wengi wao wanajiheshimu. Shida yao ni hayo maarifa yao ya 'gizani'🙄 Hawachelewi kukutengeneza!
 
Samahani hivi

Zuchu
Hamisa mobeto
Zari
Fayma
Lulu diva
Faiza Ally
Mangekimambi
Menina
Shilole
Dida
Fatuma Karume
Mama Dangote
Minna Ally


Na wengineo unaowafahamu sijawataja wenyewe ni wakristo???
Vipi hayo mavazi wanayovaa ndiyo mavazi ya maadili ya kiislam

Nakupa mfano halisi Israel sio nchi ya kiislam,, North korea sio nchi ya kiislam lakini wanavaa kwa kujisitiri

Turudi kwenye Israel… hii nchi haina dressing code lakini
vazi lao kubwa ni hijabs,, nyie mnasema ni vazi la kiislam ila
kwao ni vazi la tamaduni toka enzi za kina Ibrahim mpk leo
waisrael huwezi kukuta wako waziwazi Kama sisi huku

Kiufupi namna wanavyovaa waislam ndivyo Israel wanavaa na ni utamaduni wao

Nilichotaka kusema Hakuna mahali kwenye Biblia inafundisha watu wasijisitiri
Biblia imesisitiza watu na wajisitiri
Kupitia maandiko haya [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

1 Timotheo 2:9-10

Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.

Kumbukumbu la torati 22:5

Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako

Biblia Hakuna kitu imeachaa kwenye maisha ya binadamu maadili ya mwanadamu kuanzia usafi uchumba mpk ndoa yote yamewekwa bayana

Kama wewe si msomaji mzuri wa maandiko hutoambulia kitu utaishiaa kusema Ukristo haufundishi mambo ya maisha.. kumbe ni uvivu wako wa kusoma

Turudi kwa mtoa mada suala la dini halihusiani na tabia ya mtu… nimekupa mfano halisi wa mabinti wa kiislam wewe unawajua hao unaokutana nao na sisi tunawajua maana tunaishii Nao

Kwenye vigodoro wamejaa kina fatuma na mwajuma wanakatika wanavua mpk chupii halafu unatuambia nini

Maadili mtu anafundishwa na wazazi wake dini ni Kama nyiongeza ya kukuimarisha vizuri



Nipo bonyokwa njoo unipige [emoji81][emoji81]
Afu waulize tena mbona ma sister wanavaa hizo za kufunika kichwa afu tuwakumbushe weshenzi woote au wengi wa bongo fleva na bongo movie ni waislam
 
Back
Top Bottom