Ukitaka amani katika ndoa, oa mwanamke Muislamu mbadilishe kuwa Mkristu

Ukitaka amani katika ndoa, oa mwanamke Muislamu mbadilishe kuwa Mkristu

Huyo sio mkristu Bali ni mwanakanisa. Kwenye ukristu kuna kanuni za uvaaji pia ila kwakuwa familia na makanisa mengi yameacha kuzizingatia na kuingiza demokrasia ndio maana tunahis wakristu wanaruhisiwa kuvaa vimin na suruali jambo ambalo sio kweli
Kwahiyo tatizo lipo kwa wahusika wa kanisa, wamelegeza sheria au hazifatwi kabisa, sadaka imepewa kipaumbele

Kwamba ukiweka sheria kali zitakazo wadhibiti wanawake wasivae nguo fupi au za kuwachoresha miili yao, basi watasusa kuja kanisani hivyo mchungaji hatapata sadaka

Inshort dini yetu hii ya kikristu inachukulia mambo poa sana, hakuna maadili tena siku hizi, wanaume wengi wanajiheshimu ila upande wa wanawake ni ovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo tatizo lipo kwa wahusika wa kanisa, wamelegeza sheria au hazifatwi kabisa, sadaka imepewa kipaumbele

Kwamba ukiweka sheria kali zitakazo wadhibiti wanawake wasivae nguo fupi au za kuwachoresha miili yao, basi watadhira kuja kanisani hivyo mchungaji hatapata sadaka

Inshort dini yetu hii ya kikristu inachukulia mambo poa sana, hakuna maadili tena siku hizi, wanaume wengi wanajiheshimu ila upande wa wanawake ni ovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Watumishi wa kweli Haichukulii mambo poa ila hawana mda wa kumforce sana mtu. Wao wameisha kufundisha na kukuonesha njia ikupasayo kama mkristu wametimiza wajibu wao imebaki nafasi yako wewe muhumin kuyafata mafundisho au kuyapuuza utajibu mwenyewe mbele ya hukumu siku ikifika. Ila Kwa manabii fake wao hawawezi kukwambia hayo zaid ya kukudanganya kuhusu utajiri ili wale sadaka yako
 
Inshort dini yetu hii ya kikristu inachukulia mambo poa sana, hakuna maadili tena siku hizi, wanaume wengi wanajiheshimu ila upande wa wanawake ni ovyo sana
Changamoto inaanzia kwenye ngazi ya familia. Kanisa/msikiti wa kwanza ni familia je sahv ni familia ngapi zinazosali/swali pamoja na kufundishana mambo ya dini na Iman?
 
Peace be upon you all,

Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"

Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.

Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.

Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)

Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.

Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.

Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.

Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.

Toxic feminism na anawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na madeni, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.
Hahahahaa bodaboda na koti chafu, ukweli mtupu mwenye masikio na asikie
 
Kwa kisa hiki as if key changer ni uislamu, unfortunately badala ya wewe kuwa muislamu umemrudisha binti wa kiislamu huko unakosema hakuna maadili mema. What a disgrace is that!
😂😂😂 Hata mimi nilitegemea watoto wake awalee katika hiyo misingi ya kiislam anayosema ndio iko vizuri.
 
Umevurunda


Dini ya kikristo haina mafundisho mabaya

Watu wachache wenye mapokeo mabaya ndio wanaupa ukristo sifa mbaya

Anyway
Nafikiri kufundisha watu kuua ndio mafundisho mazuri [emoji3][emoji3]


Si ndio nasema Ukristo unahimiza kutumia upanga ambapo ni kufanya mauaji na ukatili, sasa nakushangaa wakati huo huo "unafikiri kufundisha watu kuua ndio mafundisho mazuri", --- au labda sijakuelewa??!!
 
Unaposema Mkristo kwanza jua tu hilo ni jina kama jina tu lakini ili uwe mkristo kuna taratibu zake moja ni mpaka Yesu akuchague. Sio umezaliwa kwenye ukristo basi ukajiona mkristo no ni dini ya baba yako na Babu yako na wewe unakuwa mwanadini tu mpaka upokee Neema kwa Mungu. Mtu anajiita mkristo ila kwenye Uasherati na uzinzi yumo, mwizi hatoi zaka, mlevi na sigara yumo hapo unakuwa bado mpaka Kristo Aku process kwanza uache hayo mambo ndo utakuwa MFUASI WAKE.

Hakuna mtu anaweza mbadili mtu imani isipokuwa Mungu.Unawezaje kumbadili Mwislamu atabadili mwili lakini roho ipo ilipotoka. Lakini Mungu akihusika yote yanawezekana
 
Peace be upon you all,

Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"

Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.

Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.

Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)

Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.

Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.

Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.

Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.

Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.

Ivi Fatuma karume n mkristu??
maana nayy kaachika kisa usawa[emoji3][emoji3]
 
Peace be upon you all,

Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"

Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.

Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.

Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)

Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.

Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.

Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.

Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.

Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.
Shida wewe unataka mwanamke mtumwa/ mnyonge (eti aogope talaka), hapo hakuna dini liko akilini mwako kwasababu unalo tatizo la kisaikolojia ya mahusiano/ mawasiliano ambalo hujaligundua/ hujaambiwa. Wanawake ni binadamu na wana mahitaji yao katika mahusiano.
 
Peace be upon you all,

Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"

Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.

Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.

Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)

Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.

Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.

Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.

Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.

Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.

Nakubaliana na wewe...
 
Huyo aliebadli dini usikute ulimweleza kabisa kuwa nakutaka kwa sabb dini yenu ina maadili mema, na yy akakauelewa akabadiili kukufata kwenye dini yak isio na maadili.
 
A man needs respect and a woman needs love for a marriage to work.
Sasa hua najiuliza, wanaume wa kibongo kila.mmoja wetu anataka mwanamke mwenye heshima, lakini je, sisi wote tunawapenda hao wanawake? Je tunawapenda kwelikweli au tupo self centered kwamba tuheshimiwe tu lakini wao tuwapende chini ya kiwango?🤔
Baeleze baelewe
 
Back
Top Bottom