Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio nasema Ukristo unahimiza kutumia upanga ambapo ni kufanya mauaji na ukatili, sasa nakushangaa wakati huo huo "unafikiri kufundisha watu kuua ndio mafundisho mazuri", --- au labda sijakuelewa??!!
Pia umesahau kuhusu mavazi, yale mavazi ya wanawake wa kiislamu ndio mavazi yenye heshima mwanamke mwenye heshima hupaswa kuyavaa, yanawapendeza sana, sio unakutana na mwanamke wa kikristo amepiga kimini au suruali inamchoresha maungo yake yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa nukuu zako nzuri za bibilia takatifu.Samahani hivi
Zuchu
Hamisa mobeto
Zari
Fayma
Lulu diva
Faiza Ally
Mangekimambi
Menina
Shilole
Dida
Fatuma Karume
Mama Dangote
Minna Ally
Na wengineo unaowafahamu sijawataja wenyewe ni wakristo???
Vipi hayo mavazi wanayovaa ndiyo mavazi ya maadili ya kiislam
Nakupa mfano halisi Israel sio nchi ya kiislam,, North korea sio nchi ya kiislam lakini wanavaa kwa kujisitiri
Turudi kwenye Israel… hii nchi haina dressing code lakini
vazi lao kubwa ni hijabs,, nyie mnasema ni vazi la kiislam ila
kwao ni vazi la tamaduni toka enzi za kina Ibrahim mpk leo
waisrael huwezi kukuta wako waziwazi Kama sisi huku
Kiufupi namna wanavyovaa waislam ndivyo Israel wanavaa na ni utamaduni wao
Nilichotaka kusema Hakuna mahali kwenye Biblia inafundisha watu wasijisitiri
Biblia imesisitiza watu na wajisitiri
Kupitia maandiko haya [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
1 Timotheo 2:9-10
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Kumbukumbu la torati 22:5
Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako
Biblia Hakuna kitu imeachaa kwenye maisha ya binadamu maadili ya mwanadamu kuanzia usafi uchumba mpk ndoa yote yamewekwa bayana
Kama wewe si msomaji mzuri wa maandiko hutoambulia kitu utaishiaa kusema Ukristo haufundishi mambo ya maisha.. kumbe ni uvivu wako wa kusoma
Turudi kwa mtoa mada suala la dini halihusiani na tabia ya mtu… nimekupa mfano halisi wa mabinti wa kiislam wewe unawajua hao unaokutana nao na sisi tunawajua maana tunaishii Nao
Kwenye vigodoro wamejaa kina fatuma na mwajuma wanakatika wanavua mpk chupii halafu unatuambia nini
Maadili mtu anafundishwa na wazazi wake dini ni Kama nyiongeza ya kukuimarisha vizuri
Nipo bonyokwa njoo unipige [emoji81][emoji81]
Kwamba wanawake wa kiislamu hawatoi talaka? Huwa mnajifunzia uislamu kwenye vikundi vya kahawa ndiyo shida sasa .Peace be upon you all,
Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"
Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.
Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.
Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)
Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.
Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.
Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.
Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.
Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.
Kids, women & society need institution of marriage the most for stabilityPeace be upon you all,
Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"
Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.
Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.
Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)
Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.
Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.
Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.
Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.
Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.
mabint wa kiislam na mashetani sijui ndio mapepo ni chanda na pete kati ya mabint 10 wawili tu ndio hawana mashetani.😃Huo ni mtazamo wako kwa upande mmoja, angalia na upande wa pili.
Ulichoandika ni kweli, lakini hawa wadada wana mapepo sio kidogo usipokaza buti.
Imani yako itakakuwa mashakani.
Inawezekana ila kuna gharama, tena gharama.
Ukute na ndugu zake wameshika uislam, [emoji848][emoji848][emoji848][emoji380][emoji380]
Ku conclude mada WAZEE WA KULA KIMASIHARA ni kuwa tunatoka na pisi za NDOTO zetu😁😂 afu ndani tunaoa wife material flan hv inavaa kuheshima ila pisi tuazotaka kubutua ni zile mnazielewa ata nyie😂😂😂Mzee umemaliza kila kitu, hili wazo lako ninalo kichwani muda mrefu sana, nilidhani ni fikra zangu mwenyewe kumbe hata ww mzee mwenzangu umeliona hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadam au tabia ni tofauti na hiyo mifano yako,Peace be upon you all,
Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"
Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.
Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.
Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)
Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.
Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.
Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.
Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.
Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.
Nashukuru kwa nukuu zako nzuri za bibilia takatifu.
Mifano uliyotoa ya kina zuchu, hao tayari ni celebrities wapo katika ulimwengu mwingine wa kiroho tusiwaingize katika huu mjadala hatutamaliza mkuu.
Kiujumla unatoa mifano dhaifu sana mpaka umeingiza mambo ya vigodoro, namaanisha tusiiongelee ile jamii iliyokengeuka kabisa ambayo haina habari na Mungu.
Umenipa kitu kipya kumbe vazi la hijab sio kwa ajili ya waislamu tu, pia umeongea kuhusu tabia ya mtu haijengwi na dini bali ni tabia kutoka kwa wazazi, sasa kama ni hivyo kwann wazazi wetu wa kikristu hawatoi maadili mazuri na hawana misimamo kuwasisitiza watoto wao haswa wa kike kuvaa mavazi ya kujistiri mwili mzima?
Kwa kifupi wanawake wa kiislamu wanajua kujistiri sana na wana hofu ya Mungu tofaufi na wanawake wa kikristu ambao hawajali kabisa wala hawana hofu, kesho jumapili tembelea kanisa lolote utashuhudia nachosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa nukuu zako nzuri za bibilia takatifu.
Mifano uliyotoa ya kina zuchu, hao tayari ni celebrities wapo katika ulimwengu mwingine wa kiroho tusiwaingize katika huu mjadala hatutamaliza mkuu.
Kiujumla unatoa mifano dhaifu sana mpaka umeingiza mambo ya vigodoro, namaanisha tusiiongelee ile jamii iliyokengeuka kabisa ambayo haina habari na Mungu.
Umenipa kitu kipya kumbe vazi la hijab sio kwa ajili ya waislamu tu, pia umeongea kuhusu tabia ya mtu haijengwi na dini bali ni tabia kutoka kwa wazazi, sasa kama ni hivyo kwann wazazi wetu wa kikristu hawatoi maadili mazuri na hawana misimamo kuwasisitiza watoto wao haswa wa kike kuvaa mavazi ya kujistiri mwili mzima?
Kwa kifupi wanawake wa kiislamu wanajua kujistiri sana na wana hofu ya Mungu tofaufi na wanawake wa kikristu ambao hawajali kabisa wala hawana hofu, kesho jumapili tembelea kanisa lolote utashuhudia nachosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa nukuu zako nzuri za bibilia takatifu.
Mifano uliyotoa ya kina zuchu, hao tayari ni celebrities wapo katika ulimwengu mwingine wa kiroho tusiwaingize katika huu mjadala hatutamaliza mkuu.
Kiujumla unatoa mifano dhaifu sana mpaka umeingiza mambo ya vigodoro, namaanisha tusiiongelee ile jamii iliyokengeuka kabisa ambayo haina habari na Mungu.
Umenipa kitu kipya kumbe vazi la hijab sio kwa ajili ya waislamu tu, pia umeongea kuhusu tabia ya mtu haijengwi na dini bali ni tabia kutoka kwa wazazi, sasa kama ni hivyo kwann wazazi wetu wa kikristu hawatoi maadili mazuri na hawana misimamo kuwasisitiza watoto wao haswa wa kike kuvaa mavazi ya kujistiri mwili mzima?
Kwa kifupi wanawake wa kiislamu wanajua kujistiri sana na wana hofu ya Mungu tofaufi na wanawake wa kikristu ambao hawajali kabisa wala hawana hofu, kesho jumapili tembelea kanisa lolote utashuhudia nachosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimu na madeni......hahaaa watumishi wengine hawana madeni au kwa kuwa walimu ni wengiPeace be upon you all,
Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins at home"
Mimi ni Mkristu na kwa habari ya malezi ya heshima na adabu nikiri wazi wenzetu Waislamu wamefanikiwa kusimamia maadili mema, adabu na heshima kwa wanawake mpaka wanapokua wake.
Zipo sababu nyingi zinazofanya wenzetu wawe na wanawake wenye adabu:
Moja, ikiwa uwepo wa talaka. Mwanamke wa kiislam toka mdogo anajua yampasa kua na heshima vinginevyo kuna adhabu akikaidi nyumbani ataadhibiwa, akikaidi madrasa ataadhibiwa na akikaidi katika ndoa ataadhibiwa kwa talaka.
Wanawake wa Kikristu wao ni tofauti na wamelelewa katika itikadi za "usawa" hata ndoa ni ya mume mmoja mke mmoja na hata afanye upumbavu gani hakuna talaka ni "mpaka kifo" hiyo automatically na subconceouslly inawapa kiburi hata bila ya wao kujua. (Japo sio wote)
Fuatilia wanawake wanaharakati wa usawa 50/50 ngangari ngangari 99% ni wanawake wa Kikristo.
Mtu mmoja atasema binti wa Kislam akibadili dini nae atakua na jeuri kama kina Matha na Juliana. Welk, jibu ni kondoo hata umpeleke akaishi pamoja na mbwa mwitu banda moja kamwe hatakua mbwa mwitu miaka mia atabaki kua kondoo.
Binafsi kati ya magirfriend 7 watano walikua Wakristu aise walikua na ngebe hatari na wawili (2) Waislamu hawa nilienjoy sanaaaa. Baada ya kufanya kautafiti nilijiapizaga kua nitaoa binti wa kiislamu na kumbadili dini na ndio nilichofanya.
Hata biblia inasema "mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata akiwa mzee" hawa wadada wa Kikristu afu umkute anatoka kanisa na sijui nabii nani, sijui mtume gani alooo mume atajuta mwanadada anamsikiliza "baba nabii" kwa kila jambo. Ngebe ngebe hata ukimpiga bao la uchovu lazima akamwambie "baba" sikuhizi wanawaida dady.
Toxic feminism na wanawake wa Kikristo ni sambamba kama kambale na tope, wanasiasa na uongo, walimu na madeni vitu visivyotenganishwa kama traffic na rushwa, boda boda na koti chafu.