Wakat anakuburuza walio pembeni walikuwa wanashangilia kumbe wewe mda huo unakinywea kikombeMimi Hadi leo Nina kovu nilipigwa na pembe nilipokua mdogo.
Kuna kipindi nilimpanda mgongoni ,aisee akaanza kutimua mbio kuelekea kwenye miba, niliokotwa Kama Yesu vile alivyokuwa katoka kusulubiwa!!mwili una vidonda balaa!!
Ila nilikua napenda pale vitoto vidogo vilivyokuwa vikiingia kwenye shimo la choo halafu unaenda kuviokoa.
Unafunga kitanzi halfu unaingiza shimoni huku ukimulika na tochi
😂 😂 😂 Haya maisha wakati mwingine hatutakiwi kuwa serious sana mkuuUnajua mnachekesha. Yani tunamjadili mbuzi?
Tangu Jiwe adanje anyooshe goti dishi limeyumbaNajiandaa uzeeni tuwe tukiamka tunakwenda kuwachunga Mimi na wewe Asali ya moyo wangu.
Hata sikumbuki ni lini uliwahi kuwa na akili.Tangu Jiwe adanje anyooshe goti dishi limeyumba
Mbuzi wa dar wanaelimu ya kidato cha nneMboni huku Dar hawana noma tena wanaachwa tu wanavuka mpaka barabara wenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile test yao ya papuchi kama yaliyomo yamo huwa ni amazing sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imebidi niulize kwanza maana watu hawakawiiMbuzi mnyama sio code za mbuzi kagoma mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]kesi nyingi vijijini kanda ya ziwa ni za mbuzi kuharibu mazaoNimewavunja sana hao miguu, mbuzi na ng'ombe nimechunga sana.
Bora ufuge kondoo kuliko hao vicheche.
Wakishazoea kulisha shamba fulani, ukiwa njiani unawaswaga wanatimua mbio hata kama ni umbali wa kilometa 3 mbele. Inabidi ukimbizane nao na lazima utakuta wameshaharibu tu.
Raha ya kufuga hao ni nyama, baba alikuwa akichinja kila wiki mbuzi.
Nb: ukitaka kuwa mfugaji wa hutu "tushenzi" basi uwe na eneo kubwa vinginevyo kila siku utaitwa kwa mwenyekiti au mtendaji kujibu mashitaka ya kuharibu mazao ya watu.[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Kuna hawa wa kufunga na kamba aisee akikata kamba atakupigisha tizi ya kiwango cha SGR, usipokuwa makini unaweza gongwa na gari mana mwenzio anavuka road Kwa speed ya mwanga
Wapuuzi sana halafu wanapenda kula mwanzoni mwa shamba,wanapenda sana kula majani changa.Wanapenda mazao ya watu utasema wanajua kulima. Niliwahi kumpiga mmoja ñusura nimuue baada ya kuwaongoza wenzake kula mazao nikapigwa halafu ile nimekaa nasikilizia maumivu kakaja kakanipigia chafya usoni
🤣🤣🤣Wana visirani na viburi sijawahi ona ,
Ila mikoa mingine noma Mbuzi 50 walipikutika mwezi mmoja, yani mbuzi anapatwa na kichaa, ukimpasua unakuta hadi irizi,
Pia kuna watu noma, waroho ata mbuzi kajifia hadi anaanza kuaribika ila wanakula tu....
[emoji16][emoji16]View attachment 2612400
Mbuzi akiangalia vijana wa JF wakiwajadili
[emoji16][emoji16][emoji16]Wakat anakuburuza walio pembeni walikuwa wanashangilia kumbe wewe mda huo unakinywea kikombe