Ukitaka kujua jamii Fulani inajitambua, angalia Maeneo Yafuatayo

Ukitaka kujua jamii Fulani inajitambua, angalia Maeneo Yafuatayo

Taikon leo umechemka hayo uliyoandika yapo kwenye mila na desturi za jamii, tofauti na ndio maana makaburi ya Amerika au Ulaya yanampangilio mzuri na unaweza kushinda pale lakini makaburi ya Iraq au kule kasulu au sumbawanga makaburini kunatisha ukiwa peke yako unaweza usipite
 
Wewe unayewaona wenzio hopeless una lip jipya kila siku kuimba taarabu jamiiforms......una nini hasa cha kuwasema wenzio wewe mchimba chumvi


Acha makasiriko.

Kuchimba chumvi ni KAZI ya heshima inayolisha familia yangu
 
Mifumo ya maisha naungana na [mention]YEHODAYA [/mention] kua jamii ikiwa na pesa kwa maana ya kwamba wanaweza kutatua matatizo yao na wakawa na mahusiano mema huku wakoheshimiana ndio ustaarabu wenyewe,
 
Nimekujibu hakuna jamii inayojitambua na yenye sifa nilizozitaja ikawa na tabia ulizoziorodhesha.

Ukisoma majibu usitumie Tundu zako za pua, tumia macho.

Kesho uende Kanisani
Unalazimisha jibu.

Your analysis is rather shallow.

Umejikita sana kuangalia vitu vinavyoonekana (majengo, ofisi, makaburi etc) na hukugusia kabisa tabia za jamii katika mahusiano ya watu.

Mambo kama jamii inavyo wa treat watu wasio na privilege kama wafungwa , wanawake, vilema, watoto, minorities, kuheshimu uhuru wa watu binafsi, kuheshimu mawazo mbadala au pinzani ni muhimu sana katika kuanglia kama jamii inajitambua.

Your shallow analysis did not even touch that.
 
Acha makasiriko.

Kuchimba chumvi ni KAZI ya heshima inayolisha familia yangu
Narudia tena wewe ni mshamba tu Kama washamba wengine bwana haunaga jipya....makasiriko ndo nn kwan mjini umekuja Leo nn mpaka usielewe mchimba chumvi Ina maana gani
 
Unalazimisha jibu.

Your analysis is rather shallow.

Umejikita sana kuangalia vitu vinavyoonekana na hukugusia kabisa tabia za jamii katika mahusiano ya watu.

Mambo kama jamii inavyo wa treat watu wasio na privilege kama wafungwa , wanawake, vilema, watoto.


Mimi nimetaja Major,
Watu wakithanini miungu yao hapatakuwa na shida Kwa makundi tajwa hapo. Kuanzia wafungwa, wanawake, vilema, watoto n.k.

mtu Kama hathamini anapoishi, anapoabudu, wala hathamini Sehemu walipolazwa Wazee waliomrithisha maadili unafikiri atawathamini hao wafungwa sijui watoto?

Labda tumepishana Uelewa katika uchambuzi wa mambo, na Hilo wala sio kosa, ndio maana tunajadili hapa.

Sasa mtu akileta matusi huwaga ninamjibu atakavyo.
Mpumbavu namjibu kipumbavu na mwerevu nitamjibu kiwerevu, hiyo ndio haki.

Kesho uende Kanisani
 
Narudia tena wewe ni mshamba tu Kama washamba wengine bwana haunaga jipya....makasiriko ndo nn kwan mjini umekuja Leo nn mpaka usielewe mchimba chumvi Ina maana gani

😀😀😀😀

Hasira zako hazitakusaidia Boss.

Mimi najivunia ushamba wangu pale unapokushughulisha na kukufanya uonyeshe mihemko yako.
 
Mimi nimetaja Major,
Watu wakithanini miungu yao hapatakuwa na shida Kwa makundi tajwa hapo. Kuanzia wafungwa, wanawake, vilema, watoto n.k.

mtu Kama hathamini anapoishi, anapoabudu, wala hathamini Sehemu walipolazwa Wazee waliomrithisha maadili unafikiri atawathamini hao wafungwa sijui watoto?

Labda tumepishana Uelewa katika uchambuzi wa mambo, na Hilo wala sio kosa, ndio maana tunajadili hapa.

Sasa mtu akileta matusi huwaga ninamjibu atakavyo.
Mpumbavu namjibu kipumbavu na mwerevu nitamjibu kiwerevu, hiyo ndio haki.

Kesho uende Kanisani
Unajifanya mstaraabu wakati kwenye maandiko yako unatukana watu na kuwaletea dharau
 
😀😀😀😀

Hasira zako hazitakusaidia Boss.

Mimi najivunia ushamba wangu pale unapokushughulisha na kukufanya uonyeshe mihemko yako.
Jivunie hivyo hivyo ushamba wako kwa kujifanya saikolojia unaijua
 
Unajifanya mstaraabu wakati kwenye maandiko yako unatukana watu na kuwaletea dharau


Mimi sio Mstaarabu na wala sijawahi kujifanya hivyo.

Ila wewe akili yako na uduni wako ndio unakufanya unione hivyo.

Sio kosa lako ndivyo ulivyo. Wala sikukatazi kuitumia akili yako kuniona vile utakavyo.

Naheshimu maoni yako kwani najua watu tuko tofauti. Utakavyonichukulia ni Sawa.

Karibu Boss
 
Mimi nimetaja Major,
Watu wakithanini miungu yao hapatakuwa na shida Kwa makundi tajwa hapo. Kuanzia wafungwa, wanawake, vilema, watoto n.k.

mtu Kama hathamini anapoishi, anapoabudu, wala hathamini Sehemu walipolazwa Wazee waliomrithisha maadili unafikiri atawathamini hao wafungwa sijui watoto?

Labda tumepishana Uelewa katika uchambuzi wa mambo, na Hilo wala sio kosa, ndio maana tunajadili hapa.

Sasa mtu akileta matusi huwaga ninamjibu atakavyo.
Mpumbavu namjibu kipumbavu na mwerevu nitamjibu kiwerevu, hiyo ndio haki.

Kesho uende Kanisani
Ukishalazimisha habari za Mungu, katika jamii ambayo tupo tusioamini uwepo wa Mungu, mpaka hapo ushajionesha hujitambui, huna ustaarabu wala usomi.
 
Ukishalazimisha habari za Mungu, katika jamii ambayo tupo tusioamini uwepo wa Mungu, mpaka hapo ushajionesha huna ustaarabu wala usomi.


Mimi sijalazimisha Mkuu!

Tuliwahi kujadili na wewe humu wakati Fulani habari za Mungu.

Mimi napenda mtu huru kifikra, huwaga silazimishi maoni yangu yawe ya wengine, wala maoni ya wengine yawe yangu.
 
Mimi sio Mstaarabu na wala sijawahi kujifanya hivyo.
Ila wewe akili yako na uduni wako ndio unakufanya unione hivyo.
Sio kosa lako ndivyo ulivyo. Wala sikukatazi kuitumia akili yako kuniona vile utakavyo.

Naheshimu maoni yako kwani najua watu tuko tofauti. Utakavyonichukulia ni Sawa.

Karibu Boss
Mm siwezi
Mimi sio Mstaarabu na wala sijawahi kujifanya hivyo.
Ila wewe akili yako na uduni wako ndio unakufanya unione hivyo.
Sio kosa lako ndivyo ulivyo. Wala sikukatazi kuitumia akili yako kuniona vile utakavyo.

Naheshimu maoni yako kwani najua watu tuko tofauti. Utakavyonichukulia ni Sawa.

Karibu Boss
Kwa hiyo wewe katili mbona muoga hata namba ya sm siku hizi hauweki wewe kunguru tu Kama makunguru wengine....Mara leo nipo Moshi mara sijui.wapi....wewe kiazi tu
 
Mm siwezi

Kwa hiyo wewe katili mbona muoga hata namba ya sm siku hizi hauweki wewe kunguru tu Kama makunguru wengine....Mara leo nipo Moshi mara sijui.wapi....wewe kiazi tu


🤣🤣🤣

Umepaniki Mkuu?
Kwa nini sasa!!

Nafurahi kuona wewe ni mtu unayenifuatilia Sana habari zangu na Yale niyaandikayo.
Hii kwangu Makita heshima Sana.

Ingawaje ni Mfuasi mwenye hasira ambazo nafikiri zinatokana na uduni na kutokujiamini.
 
🤣🤣🤣

Umepaniki Mkuu?
Kwa nini sasa!!

Nafurahi kuona wewe ni mtu unayenifuatilia Sana habari zangu na Yale niyaandikayo.
Hii kwangu Makita heshima Sana.

Ingawaje ni Mfuasi mwenye hasira ambazo nafikiri zinatokana na uduni na kutokujiamini.
Mm najiamini vilivyo kukuzidi wewe kukunguru....wewe lazima ufuatiliwe Kama ulivyo mpana kwenye kufuatilia ya wenzio ili uandike
 
Back
Top Bottom