Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Uthibitisho usiopingika kimantiki, usiopingwa na dunia tunayoiona, na usiokuwa na vipande vinavyojipinga vyenyewe.Shida ya kiranga ni Ukorofi
Wewe unataka uthibitisho gani Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uthibitisho usiopingika kimantiki, usiopingwa na dunia tunayoiona, na usiokuwa na vipande vinavyojipinga vyenyewe.Shida ya kiranga ni Ukorofi
Wewe unataka uthibitisho gani Mkuu?
Msamehe tuu Mkuu.
Au hajawahi kuona mtu anapesa lakini mchafu, anaishi makazi ya hovyo.
Ndio maana alipotaja baadhi ya wahindi wala sikumjibu, anachojua kuwa na pesa ni kujitambua.
Anashindwa kujua wapo waliozaliwa kwenye hizo pes
Shida ya kujifanya mjuaji ni UPUMBAVUShida ya kiranga ni Ukorofi
Wewe unataka uthibitisho gani Mkuu?
Uthibitisho usiopingika kimantiki, usiopingwa na dunia tunayoiona, na usiokuwa na vipande vinavyojipinga vyenyewe.
Okk mkuu ntajitaidi kusomaa bibliaMwanzo 25:7
Hizi ndizo siku za miaka ya maisha ya Ibrahimu alizoishi, miaka mia, na sabini na mitano.
Mwanzo 25:8
Ibrahimu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Mwanzo 25:9
Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango ya Makpela, katika shamba la Efroni bin Sohari Mhiti, lielekealo Mamre.
Shida ya kujifanya mjuaji ni UPUMBAVU
Huwezi kuthibitisha kimantiki uwepo wa kitu, kama kitu hicho hakipo.Hapo kwenye kimantiki hapo haiwezekan..
Lakin hata utokeaje wetu haupo kimantiki mkuu
Wewe ni mpumbavu mmoja tu uliyevimbiwa kunde
Okk mkuu ntajitaidi kusomaa biblia
Huwezi kuthibitisha kimantiki uwepo wa kitu, kama kitu hicho hakipo.
Mungu wako hayupo.Habari za kuwapo kwake ni tungo za watu tu.
Ndiyo maanan huwezi kuthibitisha kimantiki kwamba yupo.
Lete abracadabra sasa.
Wewe ni mpumbavu mmoja tu uliyevimbiwa kunde
Utapingaje wakat kweli wewe ni mjuhaHuwaga sipingi maoni yako
Hakikaaa mkuuu ,ilaa c lazimaa kilaa mtu akueleweee ,atakae taka kuelewa aeleweee asiyee elewaa atajuaa yyTatizo ukisema ukweli kuna watu watasema unajiona
Wanafikiri huo ukweli ninawasema wao, kumbe lengo ni watu wajifunze
Unajionesha kwamba huelewi maana ya uthibitisho wa kimantiki ni nini.[emoji3][emoji3]
Unataka nimlete hapo kwenu?
Nasoma comment[emoji28][emoji28]
Wachangiaji 3
Mtoa mada 1
Unajionesha kwamba huelewi mana ya uthibitisho wa kimantiki ni nini.
Ndiyo maana awali nilisema kwamba, una utapiamlo wa fikra dhahania.
You have a deficiency in abstract thinking.
I am asking you to prove the existence of God, logically, in the abstract.
You are stuck in physical evidence.
Huwezi kunielewa.
Utapingaje wakat kweli wewe ni mjuha
Hujathibitisha kuwepo kwa Mungu wa aina yoyote.Sasa Kiranga Kama wewe unashindwa kujua Jambo dogo Kama hilo la uwepo wa MUNGU, unafikiri Mimi na Wewe Nani anaonekana anautapiamlo wa fikra.
Nilikuambia siku zote huwaga natoa majibu kulingana na ntu na ntu.
Mtoto mdogo tuu akishafikisha miaka 15 hata awe mjinga kiasi gani lakini lazima Ajue kuna Mungu.
Sasa inategemeana unahitaji Mungu WA Aina gani
Hujathibitisha kuwepo kwa Mungu wa aina yoyote.
Anza kwa kuthibitisha kwamba Mungu unayemuamini wewe yupo kweli, na habari zake si hadithi za watu tu.