Ukitaka kujua jamii Fulani inajitambua, angalia Maeneo Yafuatayo

Ukitaka kujua jamii Fulani inajitambua, angalia Maeneo Yafuatayo

Haiwezekani mstari ukawepo tu hivi hivi, lazima kuna NANI aliuweka bhana
Umekuta jani la muembe mlangoni mwako.

Hujui kama limewekwa hapo na upepo, mafuriko, sisimizi, guluguja, mtoto wa shule, mchuuzi matunda...

Unauliza "ni Mmasai gani kaweka jani hili la muembe hapa mlangoni?'

Watu wanakuuliza, kwa nini unauliza Mmasai? Umejuaje kwamba ni Mmasai?

Unajibu "Haiwezekani jani la muembe likawepo hapa mlangoni mwangu tu hivi hivi. lazima kuna Mmasai ameliweka".

Ukiulizwa, kwa nini Mmasai?

Unajibu vile vile.

"Haiwezekani jani la muembe likawepo hapa mlangoni mwangu tu hivi hivi. lazima kuna Mmasai ameliweka".

Totally arbitrary and out of whack.
 
Umekuta jani la muembe mlangoni mwako.

Hujui kama limewekwa hapo na upepo, mafuriko, sisimizi, guluguja, mtoto wa shule, mchuuzi matunda...

Unauliza "ni Mmasai gani kaweka jani hili la muembe hapa mlangoni?'

Watu wanakuuliza, kwa nini unauliza Mmasai? Umejuaje kwamba ni Mmasai?

Unajibu "Haiwezekani jani la muembe likawepo hapa mlangoni mwangu tu hivi hivi. lazima kuna Mmasai ameliweka".

Ukiulizwa, kwa nini Mmasai?

Unajibu vile vile.

"Haiwezekani jani la muembe likawepo hapa mlangoni mwangu tu hivi hivi. lazima kuna Mmasai ameliweka".

Totally arbitrary and out of whack.
Kilanga na wewe usikwepeshe swali lako bwana, mi sijasema Mungu ndio aliyekweka huo muhimili, mimi nimesema, huo muhimili lazima kna NANI aliuweka, sasa kama ni Mmasai, upepo, mtoto wa shule nk ndi huyo huyo!

Kimsingi tunakubaliana kuna NANI aliuweka huo muhimili ambao dunia huzunguka kwao, na hatumjui huyo NANI.

Tuishie hapo hapo kwamba huyo NANI hafahamiki ila muhimili haukutokea Automatic, kuna NANI aliuweka, sema wakati anauweka hakumuona and hence hatumjui huyo NANI
 
Kilanga na wewe usikwepeshe swali lako bwana, mi sijasema Mungu ndio aliyekweka huo muhimili, mimi nimesema, huo muhimili lazima kna NANI aliuweka, sasa kama ni Mmasai, upepo, mtoto wa shule nk ndi huyo huyo! Kimsingi tunakubaliana kuna NANI aliuweka huo muhimili ambao dunia huzunguka kwao, na hatumjui huyo NANI. Tuishie hapo hapo kwamba huyo NANI hafahamiki ila muhimili haukutokea Automatic, kuna NANI aliuweka, sema wakati anauweka hakumuona and hence hatumjui huyo NANI
Turudi kwenye jani la muembe.

Tuseme jani limewekwa na upepo.

Upepo ni "nani" au "nini" ?
 
Upepo ndio atakua NANI huyo huyo, mbona rahisi tu mkuu Kilanga
Wewe jifunze Kiswahili ujue wapi pa kutumia "nani" na wapi pa kutumia "nini".

Halafu jifunze kutofautisha "l" na "r" usiharibu jina langu Kiranga, si Kilanga.

Inaonekana hata Kiswahili hujui.
 
Wewe jifunze Kiswahili ujue wapi pa kutumia "nani" na wapi pa kutumia "nini".

Halafu jifunze kutofautisha "l" na "r" usiharibu jina langu Kiranga, si Kilanga.

Inaonekana hata Kiswahili hujui.
Umeanza kuomba Po mkuu? Unaondoka kwenye HOJA taratibu cause pumzi imeanza KUKATA; kubali kwamba umechemsha mkuu, jibu swali unaamini muhimili wa dunia ulikuja tu auto!? Ndio HOJA hapa
 
Umeanza kuomba Po mkuu? Unaondoka kwenye HOJA taratibu cause pumzi imeanza KUKATA; kubali kwamba umechemsha mkuu, jibu swali unaamini muhimili wa dunia ulikuja tu auto!? Ndio HOJA hapa
Hoja utaweza vipi wakati hujui kwamba upepo ni "nini" na si "nani".

Unaelewa kwamba nani inahusika kwa mtu/ mnyama, chenye uhai, na nini inajumuisha hata visivyo na uhai kama upepo na kuita upepo "nani" ni makosa?
 
Back
Top Bottom