Ukitaka kujua mke mmoja hatoshi, subiri mkeo ajifungue

Miezi 7 - 9 mwisho mwisho ni muda wa kuongeza masikio, kujazia miguu ya bia, na kumpa mama kijacho mazoezi mepesi ajiandae Na vita huko "leba ward".


Lakini mkuu umenivunja mbavu na hii mada yako. Nikikumbushe, mama Mzazi ndio anakuwaga mmoja, sio mke
 
Hicho kipindi hiki........................
Ila option ya nyeto haifai maana misuli ikilegea baadae atakwambia humridhishi halafu kipila atakipeleka nje
Apo Ni kutafta mchepuko tu
 
It's because I'm saying truth always?!!!!
Naomba genius nifunge utafiti huyu kwasasa nampa 100% kuwa sio wa kike niombe samahani lakini kam sipo sahihi

kama sio wa kike na zile comment zake za kutafuta mwanaume mwenye hela ni kama vile anatafuta mtu wa kumpiga kizinga.
 
Naomba genius nifunge utafiti huyu kwasasa nampa 100% kuwa sio wa kike niombe samahani lakini kam sipo sahihi

kama sio wa kike na zile comment zake za kutafuta mwanaume mwenye hela ni kama vile anatafuta mtu wa kumpiga kizinga.
Unani[QUOTE="
Then I think you should change that name of yours because you can't recognize me
 
Akiwa mjamzito ingia uwanjani hadi dk ya 89 ndipo upate mapumziko mafupi hadi atakapotengamaa.

Baada ya hapo gemu linaendelea kama kawaida huku mkiendelea kulea kichanga
 
Dah maisha haya magumu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…