Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Russia kwà maana ya Urusi ni dude kubwa duniani very powerful and influencial tunadanganywa sana na western media kwà kuidogosha Urusi.

Hebu waangalie Wagner. Wanatoa kichapo Ukraine wanatoa kichapo afrika magharibi wanatoa kichapo Kongo DRC. Huo ni mkono wa kushoto wa Putin kwà maana ya urusi. Progizini mkuu wa Wagner Group ndio kusema jeshi lake ni sawa tu jeshi la Ufaransa au Italy.

Sasa umeshawahi kujiuliza je Marekani ana mercenary army kubwa na powerful kama Wagner? Je, umeshawahi kuisikia ikifanya makeke makubwa kama haya ya wagner? Kama jibu lako ni hapana basi ujue Urusi sio Vanuatu!
Unawajua blackwater? Unajua walichokifanya Fallujah Iraq ile 2003?

Kaa ukijua tu anachofanya Russia na USA anakifanya au ameshakifanya tena kwa uovu zaidi kuliko Russia

 
Wewe hufai kuwa mchambuzi wa masuala mazito yanayohusu vita coz una mahaba na mihemuko kwa upande ulio chagua so wewe sio gt at all nilivyo kupima

Unafikiri unaweza kumdanganya nani, labda aliye kama wewe mleta mada, et wanadanganywa na western media, eb tuambie wewe vyanzo vyako vya habari ni zipi?

Hakuna taifa lenye kujitapatapa hapa duniani kama taifa la Urusi, na ndo maana kaanzisha vita dhidi ya jirani Ukraine, Urusi ilifanya makosa makubwa ambayo wataijutia maisha yao yote

Wargner PMC imeundwa na Putin kwa lengo maalumu ok. Lakini itakuwa ni vigumu kwa Urusi kurudi kama zamani, ambayo ndio ndoto na matamanio ya Putini ok
 
Wewe hufai kuwa mchambuzi wa masuala mazito yanayohusu vita coz una mahaba na mihemuko kwa upande ulio chagua so wewe sio gt at all nilivyo kupima

Unafikiri unaweza kumdanganya nani, labda aliye kama wewe mleta mada, et wanadanganywa na western media, eb tuambie wewe vyanzo vyako vya habari ni zipi?

Hakuna taifa lenye kujitapatapa hapa duniani kama taifa la Urusi, na ndo maana kaanzisha vita dhidi ya jirani Ukraine, Urusi ilifanya makosa makubwa ambayo wataijutia maisha yao yote

Wargner PMC imeundwa na Putin kwa lengo maalumu ok. Lakini itakuwa ni vigumu kwa Urusi kurudi kama zamani, ambayo ndio ndoto na matamanio ya Putini ok
Comment yako pia iko based on feelings na siyo reality.
 
Comment yako pia iko based on feelings na siyo reality.
Nyie ndo wenye mahaba, ambao hawapendi ukweli as a intelligent nilitegemea ungeendelea kumuelimisha mleta mada ili arudi kuapply his/her mind ktk kuchambua mambo haya na sio kumezwa na mahaba ok

Huwezi kudanganya umma ya wasomi et wanadanganywa na western media wakati huo huo ndo unako tolea umbea unaoleta humu, unafikiri as a intelligent media zipi hizo duniani ambazo hazina propaganda?

Be smart tumia akili bwashee!!
 
Sema Una Kawivu bwana pole sana
Miongoni mwa wapiganaji wa Wagner Group ni Waafrika ikiwemo Tanzania. Pia, miongoni mwa wahanga na waliokufa wakiwa wapiganaji wa hilo kundi ni Waafrika.

Salamu za pole ziende kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wahanga hao wa Kiafrika. Na wewe pia kwa namna moja ama nyingine unastahili pole!
 
Nyie ndo wenye mahaba, ambao hawapendi ukweli as a intelligent nilitegemea ungeendelea kumuelimisha mleta mada ili arudi kuapply his/her mind ktk kuchambua mambo haya na sio kumezwa na mahaba ok

Huwezi kudanganya umma ya wasomi et wanadanganywa na western media wakati huo huo ndo unako tolea umbea unaoleta humu, unafikiri as a intelligent media zipi hizo duniani ambazo hazina propaganda?

Be smart tumia akili bwashee!!
Media zote au nyingi zina propaganda ila kina bbc cnn na MSM wao wamezidi

Yaani walituaminisha kua RUSSIA haina chakula imeishiwa silaha hio ilikua mwaka jana mwezi march au april

Sasa RUSSIA anapigania nini kwasasa kama hana silaha

MSM zilisimama kidete kuiaminisha DUNIA kama IRAQ wana silaha za WMD ila mpaka leo hawajatuonesha

MSM zilizimamia kidete kuaminisha DUNIA kwamba SYRIA walitumia silaha za sumu kule HOMS ila mpaka leo hakuna ushahidi

MSM zilituaminisha kwamba RUSSIA haitaweza kumudu SMO yake hata miezi sita kesho kutwa tunaenda kutimiza mwaka

Mwisho:- MSM sio zakuziamini hata zikikwambia leo alkhamis na ikawa kweli basi katafte mtu umuulize tena akikwambia kama walivyosema MSM hapo uamini kama kweli alkhamis la sivyo usiwaamini hata robo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miongoni mwa wapiganaji wa Wagner Group ni Waafrika ikiwemo Tanzania. Pia, miongoni mwa wahanga na waliokufa wakiwa wapiganaji wa hilo kundi ni Waafrika.

Salamu za pole ziende kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wahanga hao wa Kiafrika. Na wewe pia kwa namna moja ama nyingine unastahili pole!
Kwani kuna shida kwao kua na wapiganaji toka AFRIKA na TANZANIA

Ile ni Private Millitary Company ukiona unaweza kwenda hata wewe unaruhusiwa labda kwa pale TANZANIA wanazuiwa tu sheria za nchi yao ila nchi nyengine kawaida

Kuhusiana na msiba hasa wa jamaa yetu TARIMO umetuuma sana sababu ni MUAFRIKA mwemzetu MTANZIANI na mwisho kabisa BINAADAMU

Ila TARIMO alikufa kishujaa akiipambania DUNIA sio kuiharibu kama wanavyofanya WESTERN na shost zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanachokifanya ni kukusanya wapiganaji kutoka maeneo na nchi mbalimbali wakiwemo wafungwa magerezani, kisha kuwapeleka vitani.

Baadhi ya wahanga wamerejeshwa kwenye nchi walizotokea ikiwemo miili ya waliokufa.
Kufa kwenye mapigano nikawaida

Hao waliopelekwa huko kama wameenda kwa hiyari zao nawakafia huko kuna shida gani maadam walijua kama huko waendapo kuna option nyingi ila mbili kubwa za kufa ama kupona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hufai kuwa mchambuzi wa masuala mazito yanayohusu vita coz una mahaba na mihemuko kwa upande ulio chagua so wewe sio gt at all nilivyo kupima

Unafikiri unaweza kumdanganya nani, labda aliye kama wewe mleta mada, et wanadanganywa na western media, eb tuambie wewe vyanzo vyako vya habari ni zipi?

Hakuna taifa lenye kujitapatapa hapa duniani kama taifa la Urusi, na ndo maana kaanzisha vita dhidi ya jirani Ukraine, Urusi ilifanya makosa makubwa ambayo wataijutia maisha yao yote

Wargner PMC imeundwa na Putin kwa lengo maalumu ok. Lakini itakuwa ni vigumu kwa Urusi kurudi kama zamani, ambayo ndio ndoto na matamanio ya Putini ok
Kubwajinga acha ujinga. Kaa ukijua pale Ukraine Urusi hapigani na Ukraine. Ukraine ni uwanja tuu na kwa taarifa yako hii vita ilianza kitambo sana, sema tu Mrusi amewawai kabla ya mambo yenu kutimia
 
Kwani kuna shida kwao kua na wapiganaji toka AFRIKA na TANZANIA

Ile ni Private Millitary Company ukiona unaweza kwenda hata wewe unaruhusiwa labda kwa pale TANZANIA wanazuiwa tu sheria za nchi yao ila nchi nyengine kawaida

Kuhusiana na msiba hasa wa jamaa yetu TARIMO umetuuma sana sababu ni MUAFRIKA mwemzetu MTANZIANI na mwisho kabisa BINAADAMU

Ila TARIMO alikufa kishujaa akiipambania DUNIA sio kuiharibu kama wanavyofanya WESTERN na shost zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siko kama wewe know that ok, first of all sina upande penye ukweli nasema penye uongo pia nasema, if you are intelligent person unatakiwa utumie akili yako na sio kumeza kila unacholetewa ok,

Unazidi kujiimarisha kwenye uongo, na propaganda hizo hizo za western na Estern media, kujiunga kwa Mtanzania Tarimo mchakato wake haukuwa wa wazi ok, hujui ukweli wake ila unavyoshikilia ni kama umeathirika na propaganda hizo hizo.

Up to now dunia iko salama, kila mtu wana ajenda zao siri, kila upande wanapambana kutawala dunia na ndo kuna msuguano btn western and Eastern bloc ok
 
Mimi siko kama wewe know that ok, first of all sina upande penye ukweli nasema penye uongo pia nasema, if you are intelligent person unatakiwa utumie akili yako na sio kumeza kila unacholetewa ok,

Unazidi kujiimarisha kwenye uongo, na propaganda hizo hizo za western na Estern media, kujiunga kwa Mtanzania Tarimo mchakato wake haukuwa wa wazi ok, hujui ukweli wake ila unavyoshikilia ni kama umeathirika na propaganda hizo hizo.

Up to now dunia iko salama, kila mtu wana ajenda zao siri, kila upande wanapambana kutawala dunia na ndo kuna msuguano btn western and Eastern bloc ok
Mimi siujui ukweli wake ila wewe unaujua

Huko kwenye maslahi ya west na east naungana nawewe ndio kinachopiganiwa hapo

MSM sio zakuziamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubwajinga acha ujinga. Kaa ukijua pale Ukraine Urusi hapogani na Ukraine. Ukraine ni uwanja tuu na kwa taarifa yako hii vita ilianza kitambo sana, Mrusi amewawai kabla ya mambo yenu kutimia
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, umeathirika na propaganda za western and Eastern bloc, tumia akili bwashee so unamanisha propaganda za Russia kwako ni ukweli si ndiyo?

Ukraine ni taifa huru kama ilivyo Tanzania, anayo haki ya kujiunga na jumuiya yoyote ile duniani bila kupangiwa au kuingiliwa mambo yake ok.

Uhalisia, Ukraine umechokozwa na kuvamiwa na Russia kwa sababu na malengo binafsi ya Putin ok, anachokifanya Putin kwa raia wa Ukraine ndicho walichokifanya Western powers katika mataifa mengine.

So kusema kwamba Russia hapigani na Ukraine, et Ukraine ni uwanja tu ni ujinga na kutoielewa historia vilivo ok, Russia anaonyeshwa ubabe wa Magharibi pamoja na kupiga mkwara yote bt Western powers wanamuonyesha kwamba hawamuogopi ok
 
Mimi siujui ukweli wake ila wewe unaujua

Huko kwenye maslahi ya west na east naungana nawewe ndio kinachopiganiwa hapo

MSM sio zakuziamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Unacho paswa kuelewa, kwamba hata TBC ni propaganda ndo zimejaa mle kuelekea kuaminisha wananchi jambo fulani, hizo media zote ni propaganda unacho takiwa wewe kufanya ni kujiongeza na kutumia akili ok.

Katika hii vita ya Russia dhidi ya jirani yake, ni funzo kwa mataifa madogo like Tanzania, kwamba hatuko salama hata kidogo na tunatakiwa tuanze mara moja kuifanyia utafiti madini ya urani ili tusije jikuta tumechelewa.

Ni uonevu wa kiwango cha lami ambayo Russia wanaifanyia Ukraine, kwa wale ambao wamesimama na Ukraine Mungu awazidishie, ule ni ukoloni na ukatili wa ajabu.
 
Kwani kuna shida kwao kua na wapiganaji toka AFRIKA na TANZANIA

Ile ni Private Millitary Company ukiona unaweza kwenda hata wewe unaruhusiwa labda kwa pale TANZANIA wanazuiwa tu sheria za nchi yao ila nchi nyengine kawaida

Kuhusiana na msiba hasa wa jamaa yetu TARIMO umetuuma sana sababu ni MUAFRIKA mwemzetu MTANZIANI na mwisho kabisa BINAADAMU

Ila TARIMO alikufa kishujaa akiipambania DUNIA sio kuiharibu kama wanavyofanya WESTERN na shost zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo!

Nakupa mtihani mdogo tu: funga safari nenda katika familia na ndugu za hao wahanga kisha waambie kwamba ndugu yao/zao walikufa kishujaa wakiipambania "dunia".

Nenda katika mataifa ya Afrika yenye wahanga kutoka Wagner Group, kawaeleze familia na ndugu zao hicho ulichosema.

Nenda kaziambie hivyo serikali na nchi zilizohitaji majibu kuhusu raia wake kufa baada ya kutumika vitani na Wagner Group (Urusi).

Ukisalimika, usisahau kuleta mrejesho hapa!
 
Back
Top Bottom