Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Majeshi ya kukodi ndani ya RUSSIA ndio hayaruhusiwi ila nje ya hapo ruhsa

Nandio maana wagner lipo chini ya RUSSIA ila usajili wake umefanyika nje ya RUSSIA kama sijakosea ni BRASIL ama ARGENTINA

Kuna muda sheria pia inapindishwa ili usalama wa taifa uwe sehemu salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Wagner Group limesajiliwa nje ya Russia kwa sheria ipi na linajiendesha kijeshi ndani ya Russia kwa sheria gani?

Unaongea vitu usivyovijua!
 
Wagner Group ni kikosi kilichoundwa na wapiganaji binafsi kutoka mataifa mengi. Miongoni mwao ni wafungwa kutoka magereza ya Urusi wakiwemo Waafrika.

Umewakuza tu bila facts wala sababu za msingi.

Acha kuumia kiongozi maana naonaga unateseka kweli habari ikiendaga kinyume na NATO/MAGHARIBI
 
Wagner Group limesajiliwa nje ya Russia kwa sheria ipi na linajiendesha kijeshi ndani ya Russia kwa sheria gani?

Unaongea vitu usivyovijua!
Narudia tena wargner limesajiliwa nje ya RUSSIA limesajiliwa huko argentina

Kusajili taasisi wargner nje ya RUSSIA hawana shida na wewe hata kama kazi utakua unafanyia ndani ya KREMLIN ama DUMA

Sasa sijuajua unabisha kusajiliwa nje ya RUSSIA ama unabisha nini

Kuhusiana na kufanya kazi wenyewe wameridhia lifanye kazi popote pale maadam halijasajiliwa ndani ya mipaka ya RUSSIA

Wargner halijiendeshi kijeshi ndani ya RUSSIA linapiga mishe zake nje ya RUSSIA kama hapo UKRAINE west afrique kule natunaliombea liione na kongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi siko kama wewe know that ok, first of all sina upande penye ukweli nasema penye uongo pia nasema, if you are intelligent person unatakiwa utumie akili yako na sio kumeza kila unacholetewa ok,

Unazidi kujiimarisha kwenye uongo, na propaganda hizo hizo za western na Estern media, kujiunga kwa Mtanzania Tarimo mchakato wake haukuwa wa wazi ok, hujui ukweli wake ila unavyoshikilia ni kama umeathirika na propaganda hizo hizo.

Up to now dunia iko salama, kila mtu wana ajenda zao siri, kila upande wanapambana kutawala dunia na ndo kuna msuguano btn western and Eastern bloc ok
Umeandika kwa hisia ukaharibu kila kitu
 
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, umeathirika na propaganda za western and Eastern bloc, tumia akili bwashee so unamanisha propaganda za Russia kwako ni ukweli si ndiyo?

Ukraine ni taifa huru kama ilivyo Tanzania, anayo haki ya kujiunga na jumuiya yoyote ile duniani bila kupangiwa au kuingiliwa mambo yake ok.

Uhalisia, Ukraine umechokozwa na kuvamiwa na Russia kwa sababu na malengo binafsi ya Putin ok, anachokifanya Putin kwa raia wa Ukraine ndicho walichokifanya Western powers katika mataifa mengine.

So kusema kwamba Russia hapigani na Ukraine, et Ukraine ni uwanja tu ni ujinga na kutoielewa historia vilivo ok, Russia anaonyeshwa ubabe wa Magharibi pamoja na kupiga mkwara yote bt Western powers wanamuonyesha kwamba hawamuogopi ok
We mzee wa ok bwana [emoji1787][emoji1787] kwahyo wewe ni intelligent ? Unajua nchi za ulaya na marekani wametoa pesa na silaha kiasi gani kwa Ukraine?

Unajua mercenaries wangapi wapo Ukraine wanapigana dhidi ya urusi? Unajua msaada wa intelligence anaoutoa USA dhidi ya majeshi ya urusi?
Unaelewa kua Ukraine alikua upande wa urusi enzi za USSR? Unafahamu mkataba wa nato na urusi dhidi ya mipaka ya kujitanua kwa NATO kuelekea east?

Tukae tutulie, mtu mwenye nguvu za kijeshi ataonekana, na mtu mwenye nguvu ya mdomo ataonekana... ila kaa ukijua 27% ya ardhi ya Ukraine imeenda, na ndio kwanza operation inakolea.
 
Wagner Group ni kikosi kilichoundwa na wapiganaji binafsi kutoka mataifa mengi. Miongoni mwao ni wafungwa kutoka magereza ya Urusi wakiwemo Waafrika.

Umewakuza tu bila facts wala sababu za msingi.

Sawa, lakini haibadilishi ukweli kwamba ni moto wa kuotea mbali!!

BTW hivi jeshi la marekani lina pure americans wangapi?
 
Pia ni elite forces kutoka spetznats na commando unit mbalimbali duniani plus other normal soldiers. Ila niwatata balaa.

Kuna jamaa mmoja mwenzao alitaka kutoroka katikati ya mapigano kule ukraine aiseee adhabu waliompa sio ya dunia hii mpaka you tube wameiedit ile video jamaa anapigwa na nyundo nzito kichwani sleigh hammer duuuh anapasuliwa fuvu kwà nyundo nzito aiseee wagner ni habari nyingine.
Ok. Kwa mantiki hiyo, Wagner soldiers wanapigana sio kwa sababu wanaipenda na kuitetea Urussi bali ni kwa sababu wanalipwa fedha kwa kazi hiyo ya kuua askari wanaompinga Urussi. Laiti ingelitokea Ukraine angeliwahi kuwakodi hao Wagners kwa donge nono zaidi ya Urussi, basi leo hii ungekuta Wagners wanapigana upande wa Ukraine. Wagners ni money monger hakuna cha uzalendo hapo. Wagners ni lazima watoe adhabu kali na ya kutisha e.g. kukata nyeti za askari wanaotaka au kuonesha dalili ya kujisalimisha na kutelekezwa hapo wajifie kwa kihoro kwani hakuna askari wa Wagner gp. aliyeajiriwa kwa kazi ya kujisalimisha au kutoroka. Askari wa Wagner anatakiwa Afe au Ashinde mapigano na sio vinginevyo. Hata kijana Mtz Tarimo yalimkuta hayo.
 
Back
Top Bottom