Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Hiyo mbana anapambania hapahapa JFKwa mujibu wa Bwana Utam ni Ukraine vitani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mbana anapambania hapahapa JFKwa mujibu wa Bwana Utam ni Ukraine vitani.
Umesema mwenyewe "kufa kwenye mapigano ni kawaida". Ni vyema ukaonesha mfano halisi wa kauli yako ukiwa frontline kuipigania Wagner Group.Kupanga nikuchagua wao wameamua kuipigania field mie nimeamua kuipigania jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa JF anapambania nini ?....na anapambana na nani ?Hiyo mbana anapambania hapahapa JF
Wagner Group limesajiliwa nje ya Russia kwa sheria ipi na linajiendesha kijeshi ndani ya Russia kwa sheria gani?Majeshi ya kukodi ndani ya RUSSIA ndio hayaruhusiwi ila nje ya hapo ruhsa
Nandio maana wagner lipo chini ya RUSSIA ila usajili wake umefanyika nje ya RUSSIA kama sijakosea ni BRASIL ama ARGENTINA
Kuna muda sheria pia inapindishwa ili usalama wa taifa uwe sehemu salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapambana na wamarekani wa Tanzania,Hapa JF anapambania nini ?....na anapambana na nani ?
Acha kuumia kiongozi maana naonaga unateseka kweli habari ikiendaga kinyume na NATO/MAGHARIBIWagner Group ni kikosi kilichoundwa na wapiganaji binafsi kutoka mataifa mengi. Miongoni mwao ni wafungwa kutoka magereza ya Urusi wakiwemo Waafrika.
Umewakuza tu bila facts wala sababu za msingi.
![]()
Wagner mercenaries chief admits Russia facing Bakhmut resistance
Yevgeny Prigozhin has admitted Russian troops are engaged in a fierce fight to take the Ukrainian city of Bakhmut.www.aljazeera.com
Unaonaga "nateseka" wakati umejiunga jana (Feb 15) kwa saa za Afrika Mashariki. ID yako ya zamani iko wapi, ndugu?Acha kuumia kiongozi maana naonaga unateseka kweli habari ikiendaga kinyume na NATO/MAGHARIBI
Kuna muda watu hata ukiwapa fact watabisha tuuuBado haujaanza safari tu? Umeanza kujihami mapema kuwa watakupinga kwa sababu huna facts za kuwathibitishia huo "ukweli" wako?
Wewe nenda tu usiogope. Cha msingi tu, usisahau kutuletea mrejesho!
Kawaida ukiwa upo kwenye mapigano sasa unadhani kuna ajabu ipiUmesema mwenyewe "kufa kwenye mapigano ni kawaida". Ni vyema ukaonesha mfano halisi wa kauli yako ukiwa frontline kuipigania Wagner Group.
Unajitutumua huku umejificha nyuma ya keyboard. Porojo tupu!
Narudia tena wargner limesajiliwa nje ya RUSSIA limesajiliwa huko argentinaWagner Group limesajiliwa nje ya Russia kwa sheria ipi na linajiendesha kijeshi ndani ya Russia kwa sheria gani?
Unaongea vitu usivyovijua!
Umeandika kwa hisia ukaharibu kila kituMimi siko kama wewe know that ok, first of all sina upande penye ukweli nasema penye uongo pia nasema, if you are intelligent person unatakiwa utumie akili yako na sio kumeza kila unacholetewa ok,
Unazidi kujiimarisha kwenye uongo, na propaganda hizo hizo za western na Estern media, kujiunga kwa Mtanzania Tarimo mchakato wake haukuwa wa wazi ok, hujui ukweli wake ila unavyoshikilia ni kama umeathirika na propaganda hizo hizo.
Up to now dunia iko salama, kila mtu wana ajenda zao siri, kila upande wanapambana kutawala dunia na ndo kuna msuguano btn western and Eastern bloc ok
Unasumbuliwa na itikadi za udikteta bwashee, ebu wacha akili yako ifanye kazi yakeUmeandika kwa hisia ukaharibu kila kitu
We mzee wa ok bwana [emoji1787][emoji1787] kwahyo wewe ni intelligent ? Unajua nchi za ulaya na marekani wametoa pesa na silaha kiasi gani kwa Ukraine?Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, umeathirika na propaganda za western and Eastern bloc, tumia akili bwashee so unamanisha propaganda za Russia kwako ni ukweli si ndiyo?
Ukraine ni taifa huru kama ilivyo Tanzania, anayo haki ya kujiunga na jumuiya yoyote ile duniani bila kupangiwa au kuingiliwa mambo yake ok.
Uhalisia, Ukraine umechokozwa na kuvamiwa na Russia kwa sababu na malengo binafsi ya Putin ok, anachokifanya Putin kwa raia wa Ukraine ndicho walichokifanya Western powers katika mataifa mengine.
So kusema kwamba Russia hapigani na Ukraine, et Ukraine ni uwanja tu ni ujinga na kutoielewa historia vilivo ok, Russia anaonyeshwa ubabe wa Magharibi pamoja na kupiga mkwara yote bt Western powers wanamuonyesha kwamba hawamuogopi ok
Sawa, lakini haibadilishi ukweli kwamba ni moto wa kuotea mbali!!Wagner Group ni kikosi kilichoundwa na wapiganaji binafsi kutoka mataifa mengi. Miongoni mwao ni wafungwa kutoka magereza ya Urusi wakiwemo Waafrika.
Umewakuza tu bila facts wala sababu za msingi.
![]()
Wagner mercenaries chief admits Russia facing Bakhmut resistance
Yevgeny Prigozhin has admitted Russian troops are engaged in a fierce fight to take the Ukrainian city of Bakhmut.www.aljazeera.com
Ok. Kwa mantiki hiyo, Wagner soldiers wanapigana sio kwa sababu wanaipenda na kuitetea Urussi bali ni kwa sababu wanalipwa fedha kwa kazi hiyo ya kuua askari wanaompinga Urussi. Laiti ingelitokea Ukraine angeliwahi kuwakodi hao Wagners kwa donge nono zaidi ya Urussi, basi leo hii ungekuta Wagners wanapigana upande wa Ukraine. Wagners ni money monger hakuna cha uzalendo hapo. Wagners ni lazima watoe adhabu kali na ya kutisha e.g. kukata nyeti za askari wanaotaka au kuonesha dalili ya kujisalimisha na kutelekezwa hapo wajifie kwa kihoro kwani hakuna askari wa Wagner gp. aliyeajiriwa kwa kazi ya kujisalimisha au kutoroka. Askari wa Wagner anatakiwa Afe au Ashinde mapigano na sio vinginevyo. Hata kijana Mtz Tarimo yalimkuta hayo.Pia ni elite forces kutoka spetznats na commando unit mbalimbali duniani plus other normal soldiers. Ila niwatata balaa.
Kuna jamaa mmoja mwenzao alitaka kutoroka katikati ya mapigano kule ukraine aiseee adhabu waliompa sio ya dunia hii mpaka you tube wameiedit ile video jamaa anapigwa na nyundo nzito kichwani sleigh hammer duuuh anapasuliwa fuvu kwà nyundo nzito aiseee wagner ni habari nyingine.
Hivi Pure Americans ni watu gani mkuu?Sawa, lakini haibadilishi ukweli kwamba ni moto wa kuotea mbali!!
BTW hivi jeshi la marekani lina pure americans wangapi?
Mmmh. Mbona hii sio ya Wagner? Hawa inaonekana ni kama akina mama wa kwetu wanamtia adabu kibaka fulani kwa kutumia fimbo/bakora hapa bongo?