Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Russia kwà maana ya Urusi ni dude kubwa duniani very powerful and influencial tunadanganywa sana na western media kwà kuidogosha Urusi.

Hebu waangalie Wagner. Wanatoa kichapo Ukraine wanatoa kichapo afrika magharibi wanatoa kichapo Kongo DRC. Huo ni mkono wa kushoto wa Putin kwà maana ya urusi. Progizini mkuu wa Wagner Group ndio kusema jeshi lake ni sawa tu jeshi la Ufaransa au Italy.

Sasa umeshawahi kujiuliza je Marekani ana mercenary army kubwa na powerful kama Wagner? Je, umeshawahi kuisikia ikifanya makeke makubwa kama haya ya wagner? Kama jibu lako ni hapana basi ujue Urusi sio Vanuatu!
He sijakutegemea kuja na thread kama hii., Ivi unajua mpaka Putin ameingiza Wagner group nini kilitokea??? Jeshi lake la awali ambalo alipanga kumaliza kazi Ukrean 3hrs lilifyekwa, vijana alioandikisha kwangu takriban 300 na kuwapa mafunzo ya kijeshi walifyekwa, wafungwa pia ambao alisema atawasamehe makosa yao lakini wakaongeze nguvu kupigana na wao wakafyeka utakumbuka kina Raymond yule wa Tz

Kuna wanajeshi alikodi toka Syria yale makundi ya Islamic state ambao madevu yao yalikua yanaonekana waziwazi kweye picha akiwatumia wengi wameuliwa na wengine kumsaliti lakini majenerali zaidi ya 20 pia walienda na maji ndio mana sasa amekuja na hilo kundi la Wagner group hichi ni kikundi kinapelekwa vitani ni kama huko Tz ukisikia nchi inaingia vitani lakini wanajeshi wanaopelekwa ni KVZ, au Fire, JKU nk.

Lakini jambo hili linasikitisha sana kuona kwamba sasa Putin ameidhalilisha Urusi kwa kumuweka kamanda wake mkuu wa majeshi ya Urusi awe chini ya Wagner group maana yake ni kwamba Urusi imeshaanguka

Kama ulimsikiliza Biden juzi alimcheka sana na kumwambia Putin umechagua vita lakini inashangaza sana kwamba muda mfupi huna tena jeshi sasa unakodi makundi ya kigaidi kupeleka vitani kupigana kwa Taifa la urusi,

Urusi imeshaanguka broo
 
Hivi zelensky hawamu yake ya urais inakwisha mwaka gan?
Wamesema kwa pamoja kwanza wanapigania nchi yao mpaka itakapokuwa huru na mipaka yake yote ndio demokrasia itasimama kama katiba yao ya nchi inavyoeleza, sasa wako busy kumtoa vamizi dikteta ndani ya nchi yao

Lakini kwanini hukutaka kujua Putini ataacha lini urais Urusi??
 
Sasa hapa umeeleza nini? Na wewe hapo unajiona kabisa haujachagua upande?? Uchambuzi wako umekufikisha kuona Russia anaionea wivu Ukraine 🤣🤣🤣🤣. Uchambuzi wa kijinga sidhani ata mtoto wa darasa la plli anayejielewa akafikilia hivyo.

Miaka ya 80s kulikuwa na mahasimu wawili, USA na USSR na wote hawa, walikuwa na wafuasi wengi nyuma yao kipindi cha vita baridi

Baada ya USSR kusambalatika, Russia bado ikabaki na nguvu kibwa kieneo na kijeshi. Kwasababu uadui kati ya USA na USSR ulikuwa ni Russia kwani ndio aliyekuwa kinara wa USSR haukwisha hivyo Russia na USA iliwabidi wasaini makubaliaono ya amani na kati ya makubaliano hayo ni kutokupanuka kwa NATO kuelekea mashariki na vilevile Russia na Ukraine walisaini makubaliano na moja ya makubaliano hayo ni Ukraine kutokujiunga na NATO

Sasa inavyoonekana marekani alisaini makubaliano hayo na Russia kiunafiki na kum andamaini mrusi. Akaanza kuipanua NATO kuelekea mashariki na Russia ililalamika sana kwa kuona makubaliano yao yanavunjwa na hakuna aliyejali. USA haikuishia hapo, akataka Ukraine nayo ijiunge na NATO na kuanzisha projects zake za kijeshi mdomoni mwa Russia

Russia akaona vitendo hivyo ni uchokozi wa makusudi na ni hatari kwa usalama wa taifa lake. Hayo tunayoyaona sasa hapo Ukraine ni mlolongo wa miaka mingi na hiyo vita ni kati ya Russia na USA. Ukraine ni uwanja tu wa mapambano
Huu unaozungumzia ndo ubeberu ok, alafu not 80s yrs braza ni kuanzia soon after WW2 dunia ilikuwa na two antagonistic bloc, USSR ikiongozwa na Russia na shirika lao la kijeshi Warsaw pact dhidi ya West na shirika lao la kijeshi NATO.

Hayo mikatabata ya amani braza unayo zungumzia hapa wewe uliyashuhudia? Au umemezwa na propaganda tu? Ambapo hata kwetu hapa mikatabata tu kimaendeleo ambayo serikali yetu inaingia hatujawai wekewa hadharini sembuse hiyo.

Unavyoongea unafikiri Ukraine ndo nchi pekee huko mashariki et, hivi Ukraine ndugu ndo nchi pekee inayo share mpaka wa moja kwa moja na Urusi? Hayo unaleta ndo propaganda zenyewe acha akili yako ifanye kazi yake ok.
 
Huu unaozungumzia ndo ubeberu ok, alafu not 80s yrs braza ni kuanzia soon after WW2 dunia ilikuwa na two antagonistic bloc, USSR ikiongozwa na Russia na shirika lao la kijeshi Warsaw pact dhidi ya West na shirika lao la kijeshi NATO.

Hayo mikatabata ya amani braza unayo zungumzia hapa wewe uliyashuhudia? Au umemezwa na propaganda tu? Ambapo hata kwetu hapa mikatabata tu kimaendeleo ambayo serikali yetu inaingia hatujawai wekewa hadharini sembuse hiyo.

Unavyoongea unafikiri Ukraine ndo nchi pekee huko mashariki et, hivi Ukraine ndugu ndo nchi pekee inayo share mpaka wa moja kwa moja na Urusi? Hayo unaleta ndo propaganda zenyewe acha akili yako ifanye kazi yake ok.
Kwao uchokozi ni ule wa waisrael kujihami na magaidi wa kipalestina.Fikra zao zimeathirika sana na utumwa mpaka msuli wanaona ni vazi takatifu[emoji1787]
 
Hakuna mkataba kama huo
We mzee wa ok bwana [emoji1787][emoji1787] kwahyo wewe ni intelligent ? Unajua nchi za ulaya na marekani wametoa pesa na silaha kiasi gani kwa Ukraine?

Unajua mercenaries wangapi wapo Ukraine wanapigana dhidi ya urusi? Unajua msaada wa intelligence anaoutoa USA dhidi ya majeshi ya urusi?
Unaelewa kua Ukraine alikua upande wa urusi enzi za USSR? Unafahamu mkataba wa nato na urusi dhidi ya mipaka ya kujitanua kwa NATO kuelekea east?

Tukae tutulie, mtu mwenye nguvu za kijeshi ataonekana, na mtu mwenye nguvu ya mdomo ataonekana... ila kaa ukijua 27% ya ardhi ya Ukraine imeenda, na ndio kwanza operation inakolea.
 
Hakuna mkataba kama huo
Basi hujui chochote kuhusu Cuban missile crisis, hujui chochote kuhusu minsk agreement.

Ingekua rahisi hivyo, Russia angekua na vikosi cuba, venezuela nk. Pia angeweka mitambo yake ya silaha na kuwaweka mamluki wake kama Wagner pale cuba.

Mataifa makubwa yanaishi kwa principles ukigusa masilahi yao yatakukuta ya Gadafi na Zelensky saizi, kaa usubiri mwisho utakuaje pale Ukraine
 
Urusi hana pesa ya kuweka base katika nchi nyingi duniani, hizo nchi ulizozitaja pia Marekani hana mpango wa kuzivamia hivyo hazina haja ya vikosi vya ulinzi vya Urusi nchini mwao.
Basi hujui chochote kuhusu Cuban missile crisis, hujui chochote kuhusu minsk agreement.

Ingekua rahisi hivyo, Russia angekua na vikosi cuba, venezuela nk. Pia angeweka mitambo yake ya silaha na kuwaweka mamluki wake kama Wagner pale cuba.

Mataifa makubwa yanaishi kwa principles ukigusa masilahi yao yatakukuta ya Gadafi na Zelensky saizi, kaa usubiri mwisho utakuaje pale Ukraine
 
Urusi hana pesa ya kuweka base katika nchi nyingi duniani, hizo nchi ulizozitaja pia Marekani hana mpango wa kuzivamia hivyo hazina haja ya vikosi vya ulinzi vya Urusi nchini mwao.
Hahaah sawa mkuu, sawa sawa sikua najua kua urusi hana pesa... shukrani kwa mchango.
 
Umeshajiuliza Wagner wakimaluza Ukraine wataifanya nini urrusi?
Kabila aliwatumia banyamulenge, unajua hao jamaa ndio M23 ya leo?
 
Wagner wameishiwa silaha

Wagner once again published a very graphic video begging to be provided with ammunition. In the video, hundreds of corpses of mercenaries are in a room, placed there to show they could have been alive if help had been given. https://t.co/6kOG7cD8Gw
 
Wewe hufai kuwa mchambuzi wa masuala mazito yanayohusu vita coz una mahaba na mihemuko kwa upande ulio chagua so wewe sio gt at all nilivyo kupima

Unafikiri unaweza kumdanganya nani, labda aliye kama wewe mleta mada, et wanadanganywa na western media, eb tuambie wewe vyanzo vyako vya habari ni zipi?

Hakuna taifa lenye kujitapatapa hapa duniani kama taifa la Urusi, na ndo maana kaanzisha vita dhidi ya jirani Ukraine, Urusi ilifanya makosa makubwa ambayo wataijutia maisha yao yote

Wargner PMC imeundwa na Putin kwa lengo maalumu ok. Lakini itakuwa ni vigumu kwa Urusi kurudi kama zamani, ambayo ndio ndoto na matamanio ya Putini ok
kwa hiyo mkuu,putin aliamua tu kuivamia ukraine bila sababu yeyote?aliamua tu ili ateke maeneo kibabe au?
 
Wagner Group ni kikosi kilichoundwa na wapiganaji binafsi kutoka mataifa mengi. Miongoni mwao ni wafungwa kutoka magereza ya Urusi wakiwemo Waafrika.

Umewakuza tu bila facts wala sababu za msingi.

Mkubwa hao wafungwa nk hutumiwa na Wagner kama human shield ili kumsoma vizuri adui yao,kwa lugha ya kawaida ni kwamba hao wafungwa hutumiwa kama kafara wakati Wagner wenyewe wakiwa wananoa mapanga yao
 
He sijakutegemea kuja na thread kama hii., Ivi unajua mpaka Putin ameingiza Wagner group nini kilitokea??? Jeshi lake la awali ambalo alipanga kumaliza kazi Ukrean 3hrs lilifyekwa, vijana alioandikisha kwangu takriban 300 na kuwapa mafunzo ya kijeshi walifyekwa, wafungwa pia ambao alisema atawasamehe makosa yao lakini wakaongeze nguvu kupigana na wao wakafyeka utakumbuka kina Raymond yule wa Tz

Kuna wanajeshi alikodi toka Syria yale makundi ya Islamic state ambao madevu yao yalikua yanaonekana waziwazi kweye picha akiwatumia wengi wameuliwa na wengine kumsaliti lakini majenerali zaidi ya 20 pia walienda na maji ndio mana sasa amekuja na hilo kundi la Wagner group hichi ni kikundi kinapelekwa vitani ni kama huko Tz ukisikia nchi inaingia vitani lakini wanajeshi wanaopelekwa ni KVZ, au Fire, JKU nk.

Lakini jambo hili linasikitisha sana kuona kwamba sasa Putin ameidhalilisha Urusi kwa kumuweka kamanda wake mkuu wa majeshi ya Urusi awe chini ya Wagner group maana yake ni kwamba Urusi imeshaanguka

Kama ulimsikiliza Biden juzi alimcheka sana na kumwambia Putin umechagua vita lakini inashangaza sana kwamba muda mfupi huna tena jeshi sasa unakodi makundi ya kigaidi kupeleka vitani kupigana kwa Taifa la urusi,

Urusi imeshaanguka broo
du uchambuzi mwingine hatari,kwa hiyo maeneo iliyoteka urusi ni uongo,maana majeshi yake yote yamefyekwa?mkuu uko siriasi kufuatilia mambo?au unaposti unachofikiria.
 
Russia kwà maana ya Urusi ni dude kubwa duniani very powerful and influencial tunadanganywa sana na western media kwà kuidogosha Urusi.

Hebu waangalie Wagner. Wanatoa kichapo Ukraine wanatoa kichapo afrika magharibi wanatoa kichapo Kongo DRC. Huo ni mkono wa kushoto wa Putin kwà maana ya urusi. Progizini mkuu wa Wagner Group ndio kusema jeshi lake ni sawa tu jeshi la Ufaransa au Italy.

Sasa umeshawahi kujiuliza je Marekani ana mercenary army kubwa na powerful kama Wagner? Je, umeshawahi kuisikia ikifanya makeke makubwa kama haya ya wagner? Kama jibu lako ni hapana basi ujue Urusi sio Vanuatu!
Russia angekuwa raini USA wangeingia uso kwa uso

rakini hata hivyo USA si raini kuriko rusia
 
Labda nikusaidie kitu,

Wagner Group limekuwa likijiendesha kijeshi ndani ya Urusi kwa miaka kadhaa kinyume cha sheria na katiba ya Urusi. Limekuwa likifanya recruitments za kijeshi na kutoa mafunzo ya kijeshi kwa kutumia zana za kivita ndani ya mipaka ya Urusi.

Katiba ya Urusi inasema wazi kwamba jukumu la ulinzi na usalama wa nchi ni jukumu la dola pekee kwa maana ya 'state' na siyo majeshi binafsi. Sheria za Urusi (criminal code) haziruhusu raia wa Urusi kujiunga na majeshi binafsi ya kukodi. Hizi sheria zipo mpaka sasa ninapoandika sentensi hii, hazijafanyiwa amendment.

Nilikuuliza swali hapo awali kwamba, nje ya Urusi hilo kundi limesajiliwa kwa sheria ipi? Na, ndani ya Urusi linajiendesha kijeshi kwa sheria ipi?

Jibu ulilotoa linaonesha wazi kabisa kuwa haufahamu hata majukumu ya jeshi jinsi yalivyo kwa ukamilifu wake. Unadhani kwamba kazi pekee ya jeshi ni kwenda kurusha mabomu na risasi vitani, nje ya nchi husika.
Naomba nikujibu

Kwanza RUSSIA sheria zao inakataza kumiliki ama kuandikisha kundi hilo ndani ya taifa la RUSSIA haya sio maneno yangu nimenukuu wao wenyewe

Pia jengine hili lipo DUNIA nzima usalama wa taifa unatakiwa ulindwe kwa gharama yeyote ikibidi hata kuvunjwa sheria za nchi husika kama hujui ujue hili

Pia jeshi nikulinda usalama wa taifa pia dani na nje ya mipaka yake pia ila inategemea na sera za nchi husika maana kuna mataifa yanalinda usalama wao nje ya mataifa yao mfano RUSSIA wnavyolinda usalama wao pale UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kushangilia ukijua kuna nchi inakupenda sana kuliko wao. Iko hivi Marekani, German, Ufaransa na Uingereza wamejipatia mali nyingi sana kipindi cha ukoloni na kuwa nchi za uchumi mkubwa kwa kuiba mali za Afrika. China na Urusi hawakuwepo japo wanatengeneza silaha lkn uchumi wao upo chini kwahiyo wanakuja Afrika kwa kisingizio cha kulinda amani lakini ni wezi wakubwa.
Wanatembeza kichapo? Urusi, Mchina na Marekani ni wezi wakubwa. Wanaiba mali zetu
Kheri tubadilishe wezi tunajua kama tunaibiwa ila acha tuone wezi wapya wanakuja na nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He sijakutegemea kuja na thread kama hii., Ivi unajua mpaka Putin ameingiza Wagner group nini kilitokea??? Jeshi lake la awali ambalo alipanga kumaliza kazi Ukrean 3hrs lilifyekwa, vijana alioandikisha kwangu takriban 300 na kuwapa mafunzo ya kijeshi walifyekwa, wafungwa pia ambao alisema atawasamehe makosa yao lakini wakaongeze nguvu kupigana na wao wakafyeka utakumbuka kina Raymond yule wa Tz

Kuna wanajeshi alikodi toka Syria yale makundi ya Islamic state ambao madevu yao yalikua yanaonekana waziwazi kweye picha akiwatumia wengi wameuliwa na wengine kumsaliti lakini majenerali zaidi ya 20 pia walienda na maji ndio mana sasa amekuja na hilo kundi la Wagner group hichi ni kikundi kinapelekwa vitani ni kama huko Tz ukisikia nchi inaingia vitani lakini wanajeshi wanaopelekwa ni KVZ, au Fire, JKU nk.

Lakini jambo hili linasikitisha sana kuona kwamba sasa Putin ameidhalilisha Urusi kwa kumuweka kamanda wake mkuu wa majeshi ya Urusi awe chini ya Wagner group maana yake ni kwamba Urusi imeshaanguka

Kama ulimsikiliza Biden juzi alimcheka sana na kumwambia Putin umechagua vita lakini inashangaza sana kwamba muda mfupi huna tena jeshi sasa unakodi makundi ya kigaidi kupeleka vitani kupigana kwa Taifa la urusi,

Urusi imeshaanguka broo
Kweli nandio maana vita kwasasa inapigwana MISCOW

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom