Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Ukitaka kujua nguvu na ushawishi wa Urusi waangalie Wagner Group

Ok. Kwa mantiki hiyo, Wagner soldiers wanapigana sio kwa sababu wanaipenda na kuitetea Urussi bali ni kwa sababu wanalipwa fedha kwa kazi hiyo ya kuua askari wanaompinga Urussi. Laiti ingelitokea Ukraine angeliwahi kuwakodi hao Wagners kwa donge nono zaidi ya Urussi, basi leo hii ungekuta Wagners wanapigana upande wa Ukraine. Wagners ni money monger hakuna cha uzalendo hapo. Wagners ni lazima watoe adhabu kali na ya kutisha e.g. kukata nyeti za askari wanaotaka au kuonesha dalili ya kujisalimisha na kutelekezwa hapo wajifie kwa kihoro kwani hakuna askari wa Wagner gp. aliyeajiriwa kwa kazi ya kujisalimisha au kutoroka. Askari wa Wagner anatakiwa Afe au Ashinde mapigano na sio vinginevyo. Hata kijana Mtz Tarimo yalimkuta hayo.
Hao wanafanya kazi za urusi au zisizokinzana na urusi na si kinyume chake.
 
Ha!
Mbwiga yupo kata ya Nangulungu anajadili Wagner group huku maji ya ugali yanachomeka yote
 
Ok. Kwa mantiki hiyo, Wagner soldiers wanapigana sio kwa sababu wanaipenda na kuitetea Urussi bali ni kwa sababu wanalipwa fedha kwa kazi hiyo ya kuua askari wanaompinga Urussi. Laiti ingelitokea Ukraine angeliwahi kuwakodi hao Wagners kwa donge nono zaidi ya Urussi, basi leo hii ungekuta Wagners wanapigana upande wa Ukraine. Wagners ni money monger hakuna cha uzalendo hapo. Wagners ni lazima watoe adhabu kali na ya kutisha e.g. kukata nyeti za askari wanaotaka au kuonesha dalili ya kujisalimisha na kutelekezwa hapo wajifie kwa kihoro kwani hakuna askari wa Wagner gp. aliyeajiriwa kwa kazi ya kujisalimisha au kutoroka. Askari wa Wagner anatakiwa Afe au Ashinde mapigano na sio vinginevyo. Hata kijana Mtz Tarimo yalimkuta hayo.
Hao wanafanya kazi za urusi au zisizokinzana na urusi na si kinyume chake.
 
Ok. Kwa mantiki hiyo, Wagner soldiers wanapigana sio kwa sababu wanaipenda na kuitetea Urussi bali ni kwa sababu wanalipwa fedha kwa kazi hiyo ya kuua askari wanaompinga Urussi. Laiti ingelitokea Ukraine angeliwahi kuwakodi hao Wagners kwa donge nono zaidi ya Urussi, basi leo hii ungekuta Wagners wanapigana upande wa Ukraine. Wagners ni money monger hakuna cha uzalendo hapo. Wagners ni lazima watoe adhabu kali na ya kutisha e.g. kukata nyeti za askari wanaotaka au kuonesha dalili ya kujisalimisha na kutelekezwa hapo wajifie kwa kihoro kwani hakuna askari wa Wagner gp. aliyeajiriwa kwa kazi ya kujisalimisha au kutoroka. Askari wa Wagner anatakiwa Afe au Ashinde mapigano na sio vinginevyo. Hata kijana Mtz Tarimo yalimkuta hayo.
Hao wanafanya kazi za urusi au zisizokinzana na urusi na si kinyume chake.
 
Nyie ndo wenye mahaba, ambao hawapendi ukweli as a intelligent nilitegemea ungeendelea kumuelimisha mleta mada ili arudi kuapply his/her mind ktk kuchambua mambo haya na sio kumezwa na mahaba ok

Huwezi kudanganya umma ya wasomi et wanadanganywa na western media wakati huo huo ndo unako tolea umbea unaoleta humu, unafikiri as a intelligent media zipi hizo duniani ambazo hazina propaganda?

Be smart tumia akili bwashee!!
Sawa
 
Unacho paswa kuelewa, kwamba hata TBC ni propaganda ndo zimejaa mle kuelekea kuaminisha wananchi jambo fulani, hizo media zote ni propaganda unacho takiwa wewe kufanya ni kujiongeza na kutumia akili ok.

Katika hii vita ya Russia dhidi ya jirani yake, ni funzo kwa mataifa madogo like Tanzania, kwamba hatuko salama hata kidogo na tunatakiwa tuanze mara moja kuifanyia utafiti madini ya urani ili tusije jikuta tumechelewa.

Ni uonevu wa kiwango cha lami ambayo Russia wanaifanyia Ukraine, kwa wale ambao wamesimama na Ukraine Mungu awazidishie, ule ni ukoloni na ukatili wa ajabu.
Ni Kama Tanzania tunavowanyia ukoloni watanganyika kwa kuwazimisha muungano na z'ber
 
Leo tena wagner wamemponda msaliti mwingine na sleight hammer linyundo likubwa kilo kumi limesaga kichwa cha defector.
 
Narudia tena wargner limesajiliwa nje ya RUSSIA limesajiliwa huko argentina

Kusajili taasisi wargner nje ya RUSSIA hawana shida na wewe hata kama kazi utakua unafanyia ndani ya KREMLIN ama DUMA

Sasa sijuajua unabisha kusajiliwa nje ya RUSSIA ama unabisha nini

Kuhusiana na kufanya kazi wenyewe wameridhia lifanye kazi popote pale maadam halijasajiliwa ndani ya mipaka ya RUSSIA

Wargner halijiendeshi kijeshi ndani ya RUSSIA linapiga mishe zake nje ya RUSSIA kama hapo UKRAINE west afrique kule natunaliombea liione na kongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nikusaidie kitu,

Wagner Group limekuwa likijiendesha kijeshi ndani ya Urusi kwa miaka kadhaa kinyume cha sheria na katiba ya Urusi. Limekuwa likifanya recruitments za kijeshi na kutoa mafunzo ya kijeshi kwa kutumia zana za kivita ndani ya mipaka ya Urusi.

Katiba ya Urusi inasema wazi kwamba jukumu la ulinzi na usalama wa nchi ni jukumu la dola pekee kwa maana ya 'state' na siyo majeshi binafsi. Sheria za Urusi (criminal code) haziruhusu raia wa Urusi kujiunga na majeshi binafsi ya kukodi. Hizi sheria zipo mpaka sasa ninapoandika sentensi hii, hazijafanyiwa amendment.

Nilikuuliza swali hapo awali kwamba, nje ya Urusi hilo kundi limesajiliwa kwa sheria ipi? Na, ndani ya Urusi linajiendesha kijeshi kwa sheria ipi?

Jibu ulilotoa linaonesha wazi kabisa kuwa haufahamu hata majukumu ya jeshi jinsi yalivyo kwa ukamilifu wake. Unadhani kwamba kazi pekee ya jeshi ni kwenda kurusha mabomu na risasi vitani, nje ya nchi husika.
 
Unafahamu mkataba wa nato na urusi dhidi ya mipaka ya kujitanua kwa NATO kuelekea east?
Huo mkataba umekuwa ukitajwa sana humu jukwaani lakini mara kadhaa nimekuwa nikiomba uthibitisho wa kuwepo kwake. Mpaka sasa hakuna aliyeuleta humu.

Bado naendelea kusubiri!
 
Russia kwà maana ya Urusi ni dude kubwa duniani very powerful and influencial tunadanganywa sana na western media kwà kuidogosha Urusi.

Hebu waangalie Wagner. Wanatoa kichapo Ukraine wanatoa kichapo afrika magharibi wanatoa kichapo Kongo DRC. Huo ni mkono wa kushoto wa Putin kwà maana ya urusi. Progizini mkuu wa Wagner Group ndio kusema jeshi lake ni sawa tu jeshi la Ufaransa au Italy.

Sasa umeshawahi kujiuliza je Marekani ana mercenary army kubwa na powerful kama Wagner? Je, umeshawahi kuisikia ikifanya makeke makubwa kama haya ya wagner? Kama jibu lako ni hapana basi ujue Urusi sio Vanuatu!
Endelea kushangilia ukijua kuna nchi inakupenda sana kuliko wao. Iko hivi Marekani, German, Ufaransa na Uingereza wamejipatia mali nyingi sana kipindi cha ukoloni na kuwa nchi za uchumi mkubwa kwa kuiba mali za Afrika. China na Urusi hawakuwepo japo wanatengeneza silaha lkn uchumi wao upo chini kwahiyo wanakuja Afrika kwa kisingizio cha kulinda amani lakini ni wezi wakubwa.
Wanatembeza kichapo? Urusi, Mchina na Marekani ni wezi wakubwa. Wanaiba mali zetu
 
We mzee wa ok bwana [emoji1787][emoji1787] kwahyo wewe ni intelligent ? Unajua nchi za ulaya na marekani wametoa pesa na silaha kiasi gani kwa Ukraine?

Unajua mercenaries wangapi wapo Ukraine wanapigana dhidi ya urusi? Unajua msaada wa intelligence anaoutoa USA dhidi ya majeshi ya urusi?
Unaelewa kua Ukraine alikua upande wa urusi enzi za USSR? Unafahamu mkataba wa nato na urusi dhidi ya mipaka ya kujitanua kwa NATO kuelekea east?

Tukae tutulie, mtu mwenye nguvu za kijeshi ataonekana, na mtu mwenye nguvu ya mdomo ataonekana... ila kaa ukijua 27% ya ardhi ya Ukraine imeenda, na ndio kwanza operation inakolea.
Ndugu yangu, tayari nimeona umechagua upande, itakuwa ni vigumu kuchambua hili kadhia ya Urusi kwa jirani yake Ukraine wakati umesha jipambanua upande wako, itakuwa sasa ni kupingana na sio kuchambua kwa hoja ok.

Ukraine ni nchi huru, USSR tayari ilisha sambaratika na haitorudi kamwe na hicho ndo kinacho muuma Putin, ungeniwekea hapa huo mkataba wa NATO na Urusi, I think ingekuwa poa sana.

Kutoa silaha, sijui mercenaries,etc, haimanishi Urusi imevamiwa ok, Ukraine ana haki ya kujilinda as a nchi huru na kuwa marafiki anaowataka ok.

Hawa big powers in the world wana tabia ya kuyumbisha mataifa madogo kwa kuwapandikizia viongozi vibaraka watao linda maslahi yao ok.

Russia walifanya hivyo Ukraine kwa kumweka Viktor Yanukovich kulinda maslahi yao pale Kyiv, but kwa bahati mbaya kambi ya Russia ikawa imezidiwa hoja na sera na kambi waliokuwa wakipendelea EU bloc.

Ikapelekea Viktor Yanukovich kukimbia nchi kwenda kwa baba yake Moscow, lakini raia wa Ukraine walikuwa sahihi kabisa waliona wakijiunga EU watanufaika na mengi sana kiuchumi, kijamii, n.k, badala Moscow hakupenda ndo chanzo cha kunyakua Cremea na haya unayo yaona yanaendelea na wewe unashabikia.
 
Ndugu yangu, tayari nimeona umechagua upande, itakuwa ni vigumu kuchambua hili kadhia ya Urusi kwa jirani yake Ukraine wakati umesha jipambanua upande wako, itakuwa sasa ni kupingana na sio kuchambua kwa hoja ok.

Ukraine ni nchi huru, USSR tayari ilisha sambaratika na haitorudi kamwe na hicho ndo kinacho muuma Putin, ungeniwekea hapa huo mkataba wa NATO na Urusi, I think ingekuwa poa sana.

Kutoa silaha, sijui mercenaries,etc, haimanishi Urusi imevamiwa ok, Ukraine ana haki ya kujilinda as a nchi huru na kuwa marafiki anaowataka ok.

Hawa big powers in the world wana tabia ya kuyumbisha mataifa madogo kwa kuwapandikizia viongozi vibaraka watao linda maslahi yao ok.

Russia walifanya hivyo Ukraine kwa kumweka Viktor Yanukovich kulinda maslahi yao pale Kyiv, but kwa bahati mbaya kambi ya Russia ikawa imezidiwa hoja na sera na kambi waliokuwa wakipendelea EU bloc.

Ikapelekea Viktor Yanukovich kukimbia nchi kwenda kwa baba yake Moscow, lakini raia wa Ukraine walikuwa sahihi kabisa waliona wakijiunga EU watanufaika na mengi sana kiuchumi, kijamii, n.k, badala Moscow hakupenda ndo chanzo cha kunyakua Cremea na haya unayo yaona yanaendelea na wewe unashabikia.

Sasa hapa umeeleza nini? Na wewe hapo unajiona kabisa haujachagua upande?? Uchambuzi wako umekufikisha kuona Russia anaionea wivu Ukraine 🤣🤣🤣🤣. Uchambuzi wa kijinga sidhani ata mtoto wa darasa la plli anayejielewa akafikilia hivyo.

Miaka ya 80s kulikuwa na mahasimu wawili, USA na USSR na wote hawa, walikuwa na wafuasi wengi nyuma yao kipindi cha vita baridi

Baada ya USSR kusambalatika, Russia bado ikabaki na nguvu kibwa kieneo na kijeshi. Kwasababu uadui kati ya USA na USSR ulikuwa ni Russia kwani ndio aliyekuwa kinara wa USSR haukwisha hivyo Russia na USA iliwabidi wasaini makubaliaono ya amani na kati ya makubaliano hayo ni kutokupanuka kwa NATO kuelekea mashariki na vilevile Russia na Ukraine walisaini makubaliano na moja ya makubaliano hayo ni Ukraine kutokujiunga na NATO

Sasa inavyoonekana marekani alisaini makubaliano hayo na Russia kiunafiki na kum andamaini mrusi. Akaanza kuipanua NATO kuelekea mashariki na Russia ililalamika sana kwa kuona makubaliano yao yanavunjwa na hakuna aliyejali. USA haikuishia hapo, akataka Ukraine nayo ijiunge na NATO na kuanzisha projects zake za kijeshi mdomoni mwa Russia

Russia akaona vitendo hivyo ni uchokozi wa makusudi na ni hatari kwa usalama wa taifa lake. Hayo tunayoyaona sasa hapo Ukraine ni mlolongo wa miaka mingi na hiyo vita ni kati ya Russia na USA. Ukraine ni uwanja tu wa mapambano
 
Back
Top Bottom