Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #41
Ndugu uelewa wako mdogo.Acha ushamba utakufa masikini nausije kupost unanuka umasikini. Warren Buffet anatembea kwa miguu kwenda kwa mishe zake na ni tajiri 1 acha ushamba
Yes .Wengi wa walimu wa mjini wanaotembelea magari wananunuliwa na waume zao ambao ni maafisa wa idara zenye maokoto mengi aidha Serikalini au binafsi
Nazungumzia picha za ofisi mbili ndani ya jamhuri ya Tanzania zenye hali tofauti ya maisha kwa wafanyakazi wake. Sitoi ushauri wa maisha kwamba Jenga lodge, nyumba, bar au gari.Boss unafeli sana kudhani Gari zuri ndio alama ya Mafanikio. Simshauri Kijana yeyote anayeajiriwa sasa kuanza na gari kabla hajajiwekeza. Nimeajiriwa tu nikajiona hadhi yangu Rav 4. Sitasahau Maisha ya Hasara niliyoishi baada ya hapo. Ashukuriwe Mpenzi aliyenishauri kuuza Gari nihamishie hasira kwenye Ardhi. Ndani ya mwaka alinisaidia kumiliki Mashamba na Nyumba. Nitapanda Daladala mpaka niwe MO au Bakhresa 🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kama una familia gari ni muhimu sana sanaWewe itakuwa Huna familia, Gari kwa sasa sio Luxury tena bali ni basic need, Usalama wa boda Boda ni Mdogo sana Siku Ugongwe ukatike mguu ukajitibu kwa gharama sana
Ukiwa na familia gari ni Muhimu sana
Mimi ninako kaist ila nakapaki nje ya ofisi kwenye kijiwe cha kahawa, sipendi bosi wangu aione.Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Hizo zinaitwa ofisi sukuma siku..Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Ni mtazamo wako tu mkuu.......wengine wanasomesha ,wanahudumia wazazi ,wanajenga ,wameinvest kwenye bizness.Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Hatari sanaHizo zinaitwa ofisi sukuma siku..
Hapo KCU napaelewa sana wale wazee acha kabisa wanazuga Ili wasishtukiweKuna chama cha ushirika kagera KCU 1990. Pale ukienda utakuta magari mawili au matatu parking tena ya milioni kumi, ndani furnitures zimechoka Cpu cijui pentium hipi , photocopy machine wanatumia copy writter Ila wanakula maisha BOT wakasome.
Umeona hee? KCU kuna pesa bwanaHapo KCU napaelewa sana wale wazee acha kabisa wanazuga Ili wasishtukiwe
Ni zipi hizo tabia mie sijuiSasa kijijini gari ya kazi gani?
Kijijini boda inatosha.
Dar es salaam na majiji mengine walimu waliojaa ni wanawake. Nadhani tabia za wanawake unazijua
Huu ndio unaitwa ukweli mchungu...ukiwa na pesa hutapenda kupanda daladala ...lExactly ofisi yetu gari Moja
ASANTE BABA MWENYEGARI. Shukurani hizi zinatoka kwangu Baba mwenyenyumba wako.Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.