Ukitaka kujua ofisi unayotaka kufanya kazi, wafanyakazi wana hali gani, wewe tazama parking. Baaasi

Ukitaka kujua ofisi unayotaka kufanya kazi, wafanyakazi wana hali gani, wewe tazama parking. Baaasi

Acha ushamba utakufa masikini nausije kupost unanuka umasikini. Warren Buffet anatembea kwa miguu kwenda kwa mishe zake na ni tajiri 1 acha ushamba
Ndugu uelewa wako mdogo.
Sijaleta mada kutoa ushauri wa kiuchumi au kuonyesha assets zangu
Just nilikuwa natoa picha mbili za ofisi mbili tofauti zinazoonyesha hali ya maisha ya watumishi wake
 
Boss unafeli sana kudhani Gari zuri ndio alama ya Mafanikio. Simshauri Kijana yeyote anayeajiriwa sasa kuanza na gari kabla hajajiwekeza. Nimeajiriwa tu nikajiona hadhi yangu Rav 4. Sitasahau Maisha ya Hasara niliyoishi baada ya hapo. Ashukuriwe Mpenzi aliyenishauri kuuza Gari nihamishie hasira kwenye Ardhi. Ndani ya mwaka alinisaidia kumiliki Mashamba na Nyumba. Nitapanda Daladala mpaka niwe MO au Bakhresa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nazungumzia picha za ofisi mbili ndani ya jamhuri ya Tanzania zenye hali tofauti ya maisha kwa wafanyakazi wake. Sitoi ushauri wa maisha kwamba Jenga lodge, nyumba, bar au gari.
 
Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Mimi ninako kaist ila nakapaki nje ya ofisi kwenye kijiwe cha kahawa, sipendi bosi wangu aione.
 
Kazini kwetu hakuna Gari kata nzima analo diwani tu, yalobaki ni huwa yanapita tu maana kuna barabara kuu ya Mkoa.

Vituo vyote vya Afya, Shule zote za Msingi na Sekondari mpaka office za serkali.

#Tunaomba pole au tuache kazi...?
 
Kuna pahala nilifanya kazi...watu wote wana magari .lakini hakuna anayepaki gari ofisini...........
Parking ipo kubwa ila tupu.....ukiona gari jua ni mteja....au mgeni.......
 
Kwenye kampuni za wachina utakuta gari moja tu ya meneja.wengine mtakuja na boda
 
Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Hizo zinaitwa ofisi sukuma siku..
 
Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Ni mtazamo wako tu mkuu.......wengine wanasomesha ,wanahudumia wazazi ,wanajenga ,wameinvest kwenye bizness.
 
Kuna chama cha ushirika kagera KCU 1990. Pale ukienda utakuta magari mawili au matatu parking tena ya milioni kumi, ndani furnitures zimechoka Cpu cijui pentium hipi , photocopy machine wanatumia copy writter Ila wanakula maisha BOT wakasome.
Hapo KCU napaelewa sana wale wazee acha kabisa wanazuga Ili wasishtukiwe
 
Kuna kampuni flani nilipata kazi mfanyakazi mwenzangu nilikotoka akaniambia ukifika kule ukiona parking ya magari mengi ya wafanyakazi tena wa chini usije shangaa.
Kweli nikafika huku yaani ukiwa na RAV4 ni usafiri tu wa kawaida
Asubuhi ukija kazini unaweza kosa nafasi ya ku paki
Hapa mtu kukuliza je gari yako ni ya aina gani hata kama hajui una gari ni jambo la kawaida
Ni sawa na kwa sasa mtu akuambie aise nipe namba yako ya simu tuwasiliane ni swali la kawaida tu anajua lazima unayo.
Ila tu ndugu zangu niwaambie mtu kuwa na gari sio kipimo halisi cha utajiri au mafanikio ya mtu maana mwingine kainunua kwa mkopo anaishi kwa tabu sana kwa ku bomu na familia inaishi kwa tabu sana.
Ila pamoja na yote ndugu zangu kwa dunia ya sasa gari sasa sio luxury ni necessity kama vile simu ya mkononi ila tuache utani gari uzuri wake linaficha umasikini jamani.
 
Hello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote.
Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
ASANTE BABA MWENYEGARI. Shukurani hizi zinatoka kwangu Baba mwenyenyumba wako.
 
Haya mambo ndiyo yanasababisha watu waingie mikopo migumu ya magari .
 
Back
Top Bottom