Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Mimi nimefanyakazi kwenye USAID Funded Projects pesa nyingi hubaki huko huko Marekani. Kwanza viongozi wa ngazi za juu za project lazima wawe Wamarekani na wanalimpwa mara 10 zaidi ya Mtanzania pia kuna wafanyakazi ambao wako based US lakini wanakuwa wanalipwa pesa hizo za project na pesa hizo zinalipwa kwenye account za mhusika huko huko USA, vifaa vyote vinatoka Marekani kwa bei ya juu sana. Pia mkiwa mnasafiri lazima mtumie ndege za US flag. Hivyo pesa ambazo zitakuwa zimewanufaisha watz kati ya hizo ni asilimia robo tu lakini kwenye matangazo wanatoa pesa zote wameleta TZ. Wamarekani ni matapeli sana.
Kampuni yetu ilipewa tenda ya ku-supply vifaa vya utafiti ila sharti ilikuwa kununua kwenye maduka ya Marekani. Hiyo ndo siku nilijua uhuni wa USAID. Kampuni iliambulia faida kidogo sana.
 
Kampuni yetu ilipewa tenda ya ku-supply vifaa vya utafiti ila sharti ilikuwa kununua kwenye maduka ya Marekani. Hiyo ndo siku nilijua uhuni wa USAID. Kampuni iliambulia faida kidogo sana.
Badilisheni Donors muende kwa Waraabu mnaowauzia rasilimali zetu...
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Pesa zipo mifukoni mwa samia bushiri na toto lake pumbavu bwana abdul muhoozi
 
Pesa zipo mifukoni mwa samia nushiri na toto lake pumbavu bwana abdul muhoozi
Tangu kuasisiwa nchi hii haijawahi kuwa na ufisadi wa kutisha km huu wa awamu ya Samia
 
Trillioni moja, billioni mia tatu na kumi, millioni mia mbili themanini na sita na elfuarobaini na nane.......
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Na ulijua hiyo pesa ilienda kufanya nini?
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Trump ni mdau wetu muhimu wa maendeleo.
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Hivyo vijichenji havitoshi ku-fund health care system kufanya iwe universally FREE
 
Pesa inapoingia Rais na mhazini mkuu hukaa na kuandaa miamala kwenda kwa wakubwa ili wajenge mahoteli yao ya biashara haya mnayoyaona.
Kisha nyingine ndio hupelekwa sasa rasmi kwenye afya nako huko kuna ma papa
 
Naona wanazoa tu hiyo pesa inaonekana hauna ukaguzi kabisaa...wapo busy kutangaza kuvunja rekodi ya makusanyo TRA huku pana fedha inaingia bure hawasemi kabisaa..
 
Seems haujui hata mashiroka yanafanyaje kazi

I bet hata 1/5 ya hiyo hela haijafika Tanzania. Mostly imeisha kwenye mishahara na per diems
 
Tatizo Moja ni kwamba bado Kuna watu wakifanya majukumu Yao vyema katika nafasi wanazokalia wao kwenye vichwa vyao wanaona kama ni favour wanawafanyia watanzania. Asipofanya anaona sahihi tuu maana favour hailazimishwi Wala kuhojiwa.

Nchi nyingi za wenzetu hawajinasibi kwa huduma au projects ambazo wamefanya maana wananchi watawashangaa na kuwahoji mlitaka mfanye Nini instead? Tukupigie makofi kwa kutekeleza majukumu yako ambayo unalipwa mshahara mnono au tukupigie magoti na kushika miguu yako ili utekeleze hayo majukumu? Unayopokea kwayo mshahara na posho kama zote.

Hiyo mentality ikiondolewa uwajibikaji utaonekana na watu hawatataka kusijudiwa ili wawajibike kazini
 
Seems haujui hata mashiroka yanafanyaje kazi

I bet hata 1/5 ya hiyo hela haijafika Tanzania. Mostly imeisha kwenye mishahara na per diems
Ndio maana DFPs walikuwa miungu watu.. 😄😄😄
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Fedha za USAID zilikua zinakuja na maelekezo, huwezi kununua vitanda wala magodoro kwa fedha hizo, zaidi zilikua zinafanya kazi za ukimwi
 
Saa nyingine hizi huwa sio fedha kama fedha

Marekani ni ngumu sana kukupatia fedha, anachofanya ni kukupa ARV au chanjo zikiwa overpriced ndo maana utaona kwamba wametoa kiasi kikubwa cha pesa ila sivyo ilivyo

Same same wanachofanyiwa Ukraine, wanapewa silaha obsolete halafu Marekani wanaweka high price ionekane ni mabilioni ya fedha
Umenikumbusha mbali mkuu,ndivyo ilivyo,nakumbuka katika hotuba moja ya baba wa taifa wakati aliomba msaada,nadhani kulikuwa na njaa nchini,hata ye mwl alijua baadae,kumbe jamaa walitoa msaada wa mahindi,lkn waliandika kama cash money kiasi fulani.
 
Huo ni misaada kweli lakini ni tone katika bahari. Tanzania kuwa na huduma za wastani za afya itataka labda si chini ya hizo pesa mara 20
Si ajabu ukakuta wewe ni ofisa mwandamizi ndani ya hii serikali iliyojaa wezi na matapeli.
Percival,
  • Je budget ya wizara ya afya ni shilingi trillion ngapi kwa mwaka?
  • Je hiyo budget inategemea tu msaada kutoka USAID peke yake?
  • Je bila huo msaada wa USAID huduma za afya zingesimama nchini?
  • Je misaada tunayopata kwa kutembeza bakuli kama matonya inaishia wapi?
  • Je mapato yanayotokana na kodi na tozo lukuki ya kausha damu zinatumikaje?
  • Je mapato tunayopata kwa kuuza mali asili zetu kama wenda wazimu zinatumikaje?
  • na maswali mengineyo mengi tu.

Percival, kwa sasa nitaachia hapo ila nakukumbusha tu kuwa dola milioni mia tano inakaribia shilingi trilioni na nusu na hapo hapo madeni yetu yalizidi trilioni hamsini.

Je hii ina maana gani? Ngoja nikusaidie hii ina maana mikopo yetu peke yake ni zaidi ya mara hamsini ya huo msaada wa USAID na huo ni moja tu katika misaada lukuki tunayopata.

Percival, jitafakari.
 
Back
Top Bottom