kuku na mayai yake noma unaeza kusababisha ugomvi mkubwa sanahapo utakuwa umekosea, unatakiwa kuanza na maza haus kwanza, kisha wanae, then ndiyo unaanza kuingiza wa kutoka nje sasa...wanakuwa wamekaa dirishani wanacheka kicheko cha umbea we unasimamia show bila kujali!
pale pale bado cjahama
Mkuu wala hujakosea hapo sinza na magomenio kuna kahaba za kutosha ogopa. mimi nimewahi piga wakutosha hapo. kuna kipindi nilikuwa natongoza kupitia mitandao ya Badoo, Twoo na Tagged. aisee huko madem wanajiuza live tena kwa bei simple kabisa. kuna mmoja nilijifanya kumsifia akaniambia acha kujizungusha hapa hela yako tu. ikabidi nijiongeze
Habari za Kino Shem??!!Samahanini, naomba msituharibie soko jamani
kweli kabisa wapo ila usirogwe ukampata kicheche kutoka maeneo hayo ni hatari.(kino, magomeni na sinza.)
umesahau kwa wachunaji wa tabata... wengi wao ni single moms afu wako aged kinoma.. wamebakia wanahaha tu.. (esp tabata segerea)
ya mknAnauliza bkra ya wap unayo
ya mkn
Kuna kaukweli mkuu
Samahanini, naomba msituharibie soko jamani
taratibu. watoto wa kike wa kino, temeke, sinza, magomeni nawaheshim sana.Sinza nimeishi kwa miaka saba kabla ya kuhamia shambani, mabinti wamepanga chumba kizuri, anaishi vizuri ulizia kazi yake.nikiwa secondary nilikuwa namsindikiza bro.kutengeneza tv za wadada wa sinza waliopanga nikagundua tabia za baadhi yao zimekubuhu
Wana Jamiiforums
Kuna wakati wakina dada wengi wanapata shida kuolewa kutokana na maeneo wanayotoka, utafiti nilioufanya maeneo niliyoyataja ni nadra sana kupata mke bora ambaye hajashawishika, kuna kipindi ndogo wangu alitaka mchumba, alihangaika sana kupata mwenza kwani wanawake wengi wenye mvuto hukaa maeneo hatarishi ambayo ni Sinza, Magomeni, na Kinondoni, kuna siku tulipata mchumba maeneo ya kinondoni shamba.
Tunaanza kuchumbia tu tulipewa orodha ya wanawake hatari sana naye akiwemo.
Kwa ufupi wakazi wa Kinondoni shamba wengi wanajuana kwa majina na tabia, kwa kuwa wasichana wengi wamesoma Oysterbay, Mbuyuni, Sekondari kisutu, Kambangwa , Kinondoni musilim.
Hivyo kitabia karibu wanafanana, ukienda magomeni vile vile, tumeamia Bunju tu tukapata mchumba aliyetulia.
Sehemu za wake waliotulia ni Mwenge, Kijitonyama, Kimara, Mbezi juu, mbezi chini , unajua ni kwa nini? wengi wanaishi kwao.