Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mwanaume anaona sifa kulala na kila mwanamke
Sijawahi ona hii mahali aiseee
Anyway ni maisha yake maamuzi yake.
We hujawahi ona ila ndo reality wanaume wengine ni very introverted hawawezi kusema au wengine hawamo jf ila sisi wanaume tunatomba hizo **** mpaka basi tena kuna wengine wamemzidi mkuu hivyo usishangae bora yeye anakula wanawake wa watu sasa wale wanaokula masista wa kikatoliki tena 3somes kabisa na matako yao yalivyomakubwa hao utasemaje

Uzuri jamaa hana unafki wowote ule anasema ukweli kutoka moyoni na experience zake

[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Mtoa mada wee ndo ujaitambui,
Unatuleteaje habar za lema huku MMU

Huku MMU tunajadili MAPENZI,MAHUSIANO na URAFIKI


Ukija MMU afu ukategemea kupata habar za Lema na kwann Tanzania Ni maskini.

Basi Wewe ndo utapaswa ukapimwe akili[emoji4]
 

Mmhh nilidhani nishaona yote[emoji849]
 
Mtoa mada wee ndo ujaitambui,
Unatuleteaje habar za lema huku MMU

Huku MMU tunajadili MAPENZI,MAHUSIANO na URAFIKI


Ukija MMU afu ukategemea kupata habar za Lema na kwann Tanzania Ni maskini.

Basi Wewe ndo utapaswa ukapimwe akili[emoji4]
Wewe ni mpuuzi na story zako za kijinga. Wewe jamaa sijui ni gasho au ni mpenda sifa sana! Maana mada zako za wanawake unajiona mwamba kumbe unajidhalilisha tu.

Kuna muda kama umelewa gongo bora uwe unakaa kimya tu sio kuandika upuuzi wako kisa eti kuna wajinga wanakuunga mkono kwa mada zako za kijinga.
 
umeandika kwa hasira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…