Ukitaka kuuza gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana

Ukitaka kuuza gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.

Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.

Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M

Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.

Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.

Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.

Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.
 
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.

Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo hua sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.

Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M

Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.

Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.

Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ana Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.

Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.
Hio Ist yenyewe unless kama matunzo hayakuwa mazuri ila DF unaweza kuuza million 8 easily kama muendeshaji alikuwa mtunzaji🤣🤣🤣...

Sema hongereni inaonekana mazingira ya uchumi mmeyaweka vizuri huko kwenu. Kutembelea gari ya 90M sio jambo la mchezo.
 
Jamaa mmoja alipataga mapesa(shughuli zake Ni tenderpreneur) miaka ya 2008 hapo, wahuni wakamshikisha Hummer 1.

Aisee akaja kutetereka kwny 2011 hapo kuja kuliuza lile dude haliuziki(kitu ilikua na CC 6600) afu neno reliability hailijui.Alikuja kuuza hio gari 'for peanuts' mwaka 2015 kwa mzambia mmoja hivi.Siku hizi anatembea na tako la nyani 😄😄.Wajapan Ni ndg zetu wa damu wale.
 
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.

Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.

Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M

Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.

Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.

Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.

Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.
Ishu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?
 
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.

Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.

Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M

Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.

Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.

Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.

Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.
yani usirogwe boss mie nmenunua benz b class kwa 16.5m lasy month nmekuja kuiuza kwa 8m tena kwa mbinde mno
 
Hiyo bei ya IST aliyouzia ni kwa namba C ya mwishoni kama ina fog na sport rims + android radio na imetunzika.

Madalali wanakuambia,Full AC,full document- utaomba koti uvae.

Hayo ma-Ford ni mwendo wa Liqui Moly tu 5L 200K+ though miles za kutosha ila kama wewe ni wa Total SAE 40,ujipange.😁
 
Back
Top Bottom