Ukitaka kuuza gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana

Ukitaka kuuza gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana

Kule kupatana ziko Amazon mpk za kwny mil 17 huko na nilishaikaguaga moja na ilikua poa kabisa.Tatizo la wabongo ni 1 tu wanapenda kuangalia upuuzi wa No.,ikishakua no.A au B etc hio Gari Hata iwe Kali vipi jiandae kuiuza kwa hasara tu.
Ile amazon nyekundu kule kupatana umeikagua mkuu?
Hali yake ikoje?
Au wewe ndiye muuzaji?
 
Hahahahah
Kule kupatana ziko Amazon mpk za kwny mil 17 huko na nilishaikaguaga moja na ilikua poa kabisa.Tatizo la wabongo ni 1 tu wanapenda kuangalia upuuzi wa No.,ikishakua no.A au B etc hio Gari Hata iwe Kali vipi jiandae kuiuza kwa hasara tu.
Wabongo wanataka namba D
 
Haya ni Mawazo ya kimaskini sana , na ukweli watu Wana mentality za kishamba sana ,gari isipokuwa Toyota bac watu hawataki kbs ila ukweli Kuna brand Bora na imara na reliable zaidi ya Toyota nimenunua Mazda cx5 mpk Leo cjajuta
 
Malawi currency yao ipo juu kuzidi Tanzania sababu ya kwanza hii uifahamu.

Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
Na mimi nilipokua nasoma nilikua na hizi taarifa pia...magari Malawi yapo chini sana kwa sababu ya kodi ya kuingiza gari malawi haizidi Tsh 1500,000 kwa gari ndogo zipo zingine wanalipia laki nane ya Kitanzania maroli ya mchanga kodi ilikua haizidi Tsh 8m sasa hivi wameongeza sababu kubwa ni kuwa wao hawana mrundikano wa kodi kws Wananchi wake..hizo sababu za thsmani ya Fedha ni kwenye makaratasi ila ukiibadili hela unapata thamani ya Tsh...
 
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.

Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.

Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M

Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.

Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.

Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.

Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.

Nimeishi Marekani mda sana, sijui ni m Tanzania mjinga kiasi gani ambaye Hali ya fedha si stable ata spend 90m kununua gari, wakati for 7m unaweza pata nzuri sana!
 
Back
Top Bottom