Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Madalali wanakwambia chembe cha moyo😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile amazon nyekundu kule kupatana umeikagua mkuu?Kule kupatana ziko Amazon mpk za kwny mil 17 huko na nilishaikaguaga moja na ilikua poa kabisa.Tatizo la wabongo ni 1 tu wanapenda kuangalia upuuzi wa No.,ikishakua no.A au B etc hio Gari Hata iwe Kali vipi jiandae kuiuza kwa hasara tu.
Vipi changamoto zake ni zipiilikuwa mpya kabisa haina chngamoto hata 1 toka nilivyoiuza kwa hasara hyo hata ukiniletea gar ya mjeruman kwa 2m sinunui maana najua ntakuja kuiuza laki 5View attachment 2262071
Wabongo wanataka namba DKule kupatana ziko Amazon mpk za kwny mil 17 huko na nilishaikaguaga moja na ilikua poa kabisa.Tatizo la wabongo ni 1 tu wanapenda kuangalia upuuzi wa No.,ikishakua no.A au B etc hio Gari Hata iwe Kali vipi jiandae kuiuza kwa hasara tu.
Gari ya kichoko sanaHahah hata Mimi nina allergy nayo Sana aisee.
Malawi currency yao ipo juu kuzidi Tanzania sababu ya kwanza hii uifahamu.Nachoshangaa Nchi kama Malawi utakuta aina zote za magari na mengi yanapita Tanzania sisi wenye bahari kutwa kudanganyana kuhusu magari...
Na mimi nilipokua nasoma nilikua na hizi taarifa pia...magari Malawi yapo chini sana kwa sababu ya kodi ya kuingiza gari malawi haizidi Tsh 1500,000 kwa gari ndogo zipo zingine wanalipia laki nane ya Kitanzania maroli ya mchanga kodi ilikua haizidi Tsh 8m sasa hivi wameongeza sababu kubwa ni kuwa wao hawana mrundikano wa kodi kws Wananchi wake..hizo sababu za thsmani ya Fedha ni kwenye makaratasi ila ukiibadili hela unapata thamani ya Tsh...Malawi currency yao ipo juu kuzidi Tanzania sababu ya kwanza hii uifahamu.
Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
Point!Kwani unanunua gari ili uuze? Kama vipi aligawe tu.
Mahindra na ndugu zakeSisi tunaoendesha gari za India tuna comment wapi?
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.
Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.
Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M
Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.
Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.
Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.
Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.