Wanazo polisi zinaitwa foton sauvana utakuwa unazijua hadi kwenye misafara zinakuwepo zinafanana na fortuner.hata siijui hio mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazo polisi zinaitwa foton sauvana utakuwa unazijua hadi kwenye misafara zinakuwepo zinafanana na fortuner.hata siijui hio mkuu
Hii gari ina upya gani kabisa ?ilikuwa mpya kabisa haina chngamoto hata 1 toka nilivyoiuza kwa hasara hyo hata ukiniletea gar ya mjeruman kwa 2m sinunui maana najua ntakuja kuiuza laki 5View attachment 2262071
Nimeshangaa anasema gari mpya kabisa.. 😃😃jamaa aliyekuuzia alikupata kweli yani🤣 hio gari ungemkazia akuachie kwa 9M tu top top.
Mi nilijua ni namba latest labda DZC hapo 😂😂😂 sema gari used from JapanNimeshangaa anasema gari mpya kabisa.. 😃😃
Foton ndio zile wanaendesha wakuu wa vituo au sioWanazo polisi zinaitwa foton sauvana utakuwa unazijua hadi kwenye misafara zinakuwepo zinafanana na fortuner.
Hahahahah jamaa analeta utani huyu. Yani kamshahara Sungura uweze kununua Touareg na kulihudumia au Prado TX?Mtu wa mshahara wa kuunga unga hawezi nunua Touareg, PradoTX au Fortuner mzee baba
Hiyo gari ni used from tanzania 😃😃😃 haina upya wowote tena namba DUZMi nilijua ni namba latest labda DZC hapo 😂😂😂 sema gari used from Japan
Mchina ana gari gani ya chini ambayo wabongo wanatembelea zaidi ya Yutong,Howo, Faw, Shacman, Higer na tule tugari twa polisi kama Prado?
Hii Haval nimeiona imekaa vizuri sana.Mchina ana Pick Up fulani zinaitwa JMC Vigus
Halafu kuna Haval H9 bonge moja la SUV.
Hizi ndio watu wanazowanazo humu mtaani.
Katika hizo mbili nimekutana na JMC Vigus, aiseee hii gari ina umeme, mzungu anasubiri.
Labda ni Director wa kitengo flani pale VodacomHahahahah jamaa analeta utani huyu. Yani kamshahara Sungura uweze kununua Touareg na kulihudumia au Prado TX?
Ila kwa gari za mchina ninazofahamu, aiseeee hayupo nyuma kwenye tech.Tunaitwa Haval. Na Mchina katoa new model yake,kali haswa kwa muonekano na latest features. Anapambana hahika
Pia inaonekana watu wengi wana experience nzuri sana na hiyo gari.Hii Haval nimeiona imekaa vizuri sana.
Honda ni moja kati ya gati reliable sana.Ishu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?
Kama unanunua gari kwa ajili ya kuuza, nunua toyota. Nje ya hapo ni kuyatafuta.yani usirogwe boss mie nmenunua benz b class kwa 16.5m lasy month nmekuja kuiuza kwa 8m tena kwa mbinde mno
Spare sio swala la kulia lia, spear kama pesa ipo ndani ya wiki unapata. Uchumi wa wamiliki magari wengi ni wa tandika kwenye spare za kukata.Honda ni moja kati ya gati reliable sana.
Kinachowapa watu kigugumizi ni upatikanaji wa spea.
Toyota tumejenga udungu tena zaidi ya udungu hata ukikosea oil kama haya matoleo ya zamani huwazi kama mwenye Nissan X trail
Na sio kwamba gari mbovu?
Labda ni Director wa kitengo flani pale Vodacom