MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Sisi tunaoendesha gari za India tuna comment wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ipi?mm huniambii kitu kwa German cars ni heshima kuwa nayo
Toyota tumejenga udungu tena zaidi ya udungu hata ukikosea oil kama haya matoleo ya zamani huwazi kama mwenye Nissan X trailIshu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?
Hatariyani usirogwe boss mie nmenunua benz b class kwa 16.5m lasy month nmekuja kuiuza kwa 8m tena kwa mbinde mno
Hahahahah hizo gari zingine zina vinasaba vya kibepari japo ni za Japan. Huwa zinakera sababu ikizengua kitu kuipata spare part ni mtafutano kama haujajipanga gari lazma inyewe na kunguru kwa miezi kadhaa mbele ndio iendelee kuendesheka.Ishu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?
Na sio kwamba gari mbovu?yani usirogwe boss mie nmenunua benz b class kwa 16.5m lasy month nmekuja kuiuza kwa 8m tena kwa mbinde mno
ilikuwa mpya kabisa haina chngamoto hata 1 toka nilivyoiuza kwa hasara hyo hata ukiniletea gar ya mjeruman kwa 2m sinunui maana najua ntakuja kuiuza laki 5Na sio kwamba gari mbovu?
Mkuu nafikiri hali sio shwari.Hio Ist yenyewe unless kama matunzo hayakuwa mazuri ila DF unaweza kuuza million 8 easily kama muendeshaji alikuwa mtunzaji🤣🤣🤣...
Sema hongereni inaonekana mazingira ya uchumi mmeyaweka vizuri huko kwenu. Kutembelea gari ya 90M sio jambo la mchezo.
jamaa aliyekuuzia alikupata kweli yani🤣 hio gari ungemkazia akuachie kwa 9M tu top top.ilikuwa mpya kabisa haina chngamoto hata 1 toka nilivyoiuza kwa hasara hyo hata ukiniletea gar ya mjeruman kwa 2m sinunui maana najua ntakuja kuiuza laki 5View attachment 2262071
Uchawi ni urahisi na upatikanaji wa spare zakeIshu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?
Hii yawezekana kabisa sidhani kama hii factor ni ya kupuuzia hali ya uchumi sio shwari kabisa watu wanauza Mali kwa bei ya kutupwa.Mkuu nafikiri hali sio shwari.
Leo nimeletewa Amazon na imetunzwa sana inauzwa kuanzia 20ml sijaamini..mtu anashida ya haraka amepambana apate pesa ya haraka wapi
Ni kweli mkuu.Hii yawezekana kabisa sidhani kama hii factor ni ya kupuuzia hali ya uchumi sio shwari kabisa watu wanauza Mali kwa bei ya kutupwa.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kuna gari ukinunua ni ndoa ya kikristo mkuu.ilikuwa mpya kabisa haina chngamoto hata 1 toka nilivyoiuza kwa hasara hyo hata ukiniletea gar ya mjeruman kwa 2m sinunui maana najua ntakuja kuiuza laki 5View attachment 2262071
Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.
Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.
Kina Tata na Mahindra[emoji23][emoji23]Sisi tunaoendesha gari za India tuna comment wapi?
Tx ni gari ganiKumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini.
Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza.
Mwaka jana ndugu yangu alinunua Ford Everest ya karibu milioni 90, kaitumia mwaka mmoja na miezi kadhaa juzi hapa amepata changamoto ya kimaisha anataka aiuze, bei kubwa anayoletewa ni 50M
Gari bado mpya kabisa lakini bei anayopata kutoka kwa watu haizidi 50M, yaani kwa mwaka mmoja na miezi 5 hasara ya 40M.
Wakati huo mwaka 2016 alimnunulia mke wake IST namba DF milioni 12, juzi kaiuza 6.5M.
Mimi na kimshahara changu cha kuunga unga nilitaka kujitoa mhanga kwa Touareg ama Audi ila nimeacha kwanza. Acha niendelee na Toyota kwanza wakuu.
Nimepanga ku-upgrade kwenda TX ama Fortuner. Ulaya wasubiri kwanza nitakufa kwa presha.
Foton sijuiMchina ana gari gani ya chini ambayo wabongo wanatembelea zaidi ya Yutong,Howo, Faw, Shacman, Higer na tule tugari twa polisi kama Prado?
Tule tu-FotonMchina ana gari gani ya chini ambayo wabongo wanatembelea zaidi ya Yutong,Howo, Faw, Shacman, Higer na tule tugari twa polisi kama Prado?
hata siijui hio mkuuTule tu-Foton