Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
Labda hapendi show off tu 😃😃😃Director wa VDC hawezi sema ana pesa ya kuunga, wale wanapokea take home nene na masurufu kibwena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hapendi show off tu 😃😃😃Director wa VDC hawezi sema ana pesa ya kuunga, wale wanapokea take home nene na masurufu kibwena
Ni zaidi ya miaka 50 iliyopita enzi za Nyerere serikali ya Tanzania iliingia mikataba mingi na serikali ya Japan kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kampuni ya Toyota hii ndiyo kampuni ya Kwanza kufanya biashara na serikali yetu kwenye ishu za magari.Ishu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?
Na hio Amazon itakua kwny no. A au B Huko.Amazon Bado imetunza sana thamani yake.Mkuu nafikiri hali sio shwari.
Leo nimeletewa Amazon na imetunzwa sana inauzwa kuanzia 20ml sijaamini..mtu anashida ya haraka amepambana apate pesa ya haraka wapi
Kule kupatana ziko Amazon mpk za kwny mil 17 huko na nilishaikaguaga moja na ilikua poa kabisa.Tatizo la wabongo ni 1 tu wanapenda kuangalia upuuzi wa No.,ikishakua no.A au B etc hio Gari Hata iwe Kali vipi jiandae kuiuza kwa hasara tu.Ni kweli mkuu.
Amazon kwa 20ml hata kama ni mbovu labda
Na Kuna watu wanapenda zile Tata pick up(Xenon) Yaani humwambii kitu,ukimletea story za Hilux,NP3000 etc anakuona unaleta mzaha tu.Na Ni wabongo kabisa sio Hata wahindi 😄😄😄Kina Tata na Mahindra[emoji23][emoji23]
😄😄 Mimi nilidhani mchizi kwa kua yeye ni dalali wa magari atakua anayajua jua magari hata kidogo,Kumbe hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiMi nilijua ni namba latest labda DZC hapo 😂😂😂 sema gari used from Japan
Gari ilianza vipengele kwa kukosa ile vent hapo juu ya bonnet kabla ya kioo.Itakuwa ilikuwa na chrismas tree.
Gari siipendi ile yani imekaa kama gutaNa Kuna watu wanapenda zile Tata pick up(Xenon) Yaani humwambii kitu,ukimletea story za Hilux,NP3000 etc anakuona unaleta mzaha tu.Na Ni wabongo kabisa sio Hata wahindi 😄😄😄
Anazi underpower sana gari zake so hazina speedIla kwa gari za mchina ninazofahamu, aiseeee hayupo nyuma kwenye tech.
Halafu mchina haweki maengine makubwaaaaa au maturbo kwenye gari zake.
Gari zake zina engines za kawaida ila zinakuwa na tech za maana. Hivyo overall inakuwa na performance nzuri.
Hahah hata Mimi nina allergy nayo Sana aisee.Gari siipendi ile yani imekaa kama guta
tu foton salivanna.Mchina ana gari gani ya chini ambayo wabongo wanatembelea zaidi ya Yutong,Howo, Faw, Shacman, Higer na tule tugari twa polisi kama Prado?
Kuna gari ngumu kama landcruiser hata ikiwa A na imetunzwa mimi na beba, ikiwa injini na body vinesimama huwa sijali najua siri za hizi chuma za kaleKule kupatana ziko Amazon mpk za kwny mil 17 huko na nilishaikaguaga moja na ilikua poa kabisa.Tatizo la wabongo ni 1 tu wanapenda kuangalia upuuzi wa No.,ikishakua no.A au B etc hio Gari Hata iwe Kali vipi jiandae kuiuza kwa hasara tu.
Wajanja tunakuelewa Sana mkuu.Kuna gari ngumu kama landcruiser hata ikiwa A na imetunzwa mimi na beba, ikiwa injini na body vinesimama huwa sijali najua siri za hizi chuma za kale
Na mwenye masikio Ni Bora amsikilize huyu mjerumani mweusi la sivyo atajuta.Kama unanunua gari kwa ajili ya kuuza, nunua toyota. Nje ya hapo ni kuyatafuta.
Zinaitwa fotonTunaitwa Haval. Na Mchina katoa new model yake,kali haswa kwa muonekano na latest features. Anapambana hahika
Benz wanatoa matoleo mengi aina hiyo ya Benz hata huko sokoni ipo bei ndogo sana sijajua huko Japan...ilikuwa mpya kabisa haina chngamoto hata 1 toka nilivyoiuza kwa hasara hyo hata ukiniletea gar ya mjeruman kwa 2m sinunui maana najua ntakuja kuiuza laki 5View attachment 2262071
Harafu nae anakuja kutushauri eti alikua na Benz...Nimeshangaa anasema gari mpya kabisa.. 😃😃
haya ni matokeo chanya ya kile kipindi cha wanyama ITV.Ishu sio tu gari ya Japan, hapa Tanzania ukiwa na gari yoyote ambayo sio TOYOTA (hata kama ni ya Japan mfano Honda, Mazda, Nissan nk) utapata tabu sana kuiuza! Sijui toyota walitukamata wapi masikio kudhani kwamba gari zao ndio bora kuliko zote?