Ni vile mmeamua kushupaza shingo,,,wewe Mwenyewe Nina uhakika kabisa hupendi kuambiwa Ukweli, lazima utaamia.....unaeza Kuta una pua kubwa,Ila ukiambia Mathias una pua mbaya sana, lazima itakuuma na wakati ni kweli una pua mbayaHii haitabadilisha ukweli kuwa wanawake wanapenda kuambiwa uongo
Iko pande zote Ila wanawake wengi ukiwaambia ukweli umeisha Ila ukiwadanganya na kuazima Hadi gari lazima uwale WA kutosha.Vice versa is true....hata nyie mnadanganywa Sana na Wanawake na mnajaa,ukionyeshwa true colors hamtaki.... brother hii kitu ipo pande zote mbili believe me,
Kama unadate na wanaume wanaoshinda vijiweni jichunguze.Kwa mfano wanaume asilimia 99.8 ni WAMBEA,WASENGENYAJI,hawana SIRI...Ila hawapendi kuambiwa huu Ukweli...wanapenda kuambia eti wanaume Wana kifua ukiwa na jambo lako mwambie mwanaume atakutunzie weeee Thubutuuuuuu utalikuta kijiweni asubuhi na mapema Kabla hata bunge la bajeti halijaanza
Hata wanaume wako tayari kudanganywa na wewe kachunguze hili.Iko pande zote Ila wanawake wengi ukiwaambia ukweli umeisha Ila ukiwadanganya na kuazima Hadi gari lazima uwale WA kutosha...
JF ni kijiwe tosha...na hapa ndio mfano halisi wa tabia za umbea za wanaume........nyuzi zote ni wanaume kutoa habari za vyumbani na sio wanawakeKama unadate na wanaume wanaoshinda vijiweni jichunguze.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Acheni kupindisha mambo hata wanaume wanapenda sifa,Tena nyie sifa zenu ndio kibokooooo mnaweza hata kutaka kupigana na kundi la panya road wenye mapanga kisa umeambiwa na mtoto mzuri "mpenzi najua hao unawamudu"πππππππbasi mbichwa huooooi unajitosa kupiganaIn short mwanamke anatakiwa kupewa sifa sababu huwa ndizo zinampa ujasiri sasa ukianza kumponda na kumsema apo unatengeneza inferiority ndani yake.
Kwahyo n vzuri sana tukaishi nao maana tuan jua kwamba wana short temper kitu kidogo tu kinaweza kimuharibia kabisa au kimchanga akawa na maswali mengi kwa nn huyu amesema hivi au ameniambia hivi.
Pia hata makazini humo ukiwa na boss ambaye ni mwanamke aisee ni taabu japokuwa sio wote wanatabia hzo ila hiyo tabu yake si poa. Ni vyema kuishi nao tu
Yah, kweli kila mtu anapenda sifa lakini zina tegemeana na upande.Acheni kupindisha mambo hata wanaume wanapenda sifa,Tena nyie sifa zenu ndio kibokooooo mnaweza hata kutaka kupigana na kundi la panya road wenye mapanga kisa umeambiwa na mtoto mzuri "mpenzi najua hao unawamudu"[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]basi mbichwa huooooi unajitosa kupigana
Tuishie tu hapo Kila mtu anapenda sifa...inatoshaYah, kweli kila mtu anapenda sifa lakini zina tegemeana na upande.
Kwa sis wanaume ni rahisi kupewa sifa na pia tuanuwezo wa kufanya maamuzi kulingana na hyo sifa ni ya kitu gani kama ni ya kushindikiza kitu inataegemeana either to face it or let it go.
Ila kwa mwanamke ni ngumu sana ukisampa sifa yaani ile sifa kuna mawili either itampoteza kabisa au itamjenga kwahyo hiyo ndo tofauti pale kwenye maanuzi na ufikiliaji
Sawa dada mzuriTuishie tu hapo Kila mtu anapenda sifa...inatosha
Wanaume wote mliocoment humu pamoja na mtibeli wenu acheni uongo na kujifariji,hakuna binadamu anayependa kuambiwa Ukweli si mwanaume Wala si mwanamke,How?
1.Wanaume wengi mmekuwa mnakasirika pindi anapoambiwa Ukweli na Wanawake kwamba "Fulani huna uwezo wa kunimiliki kwa kuwa huna kipato Cha kukutosha wewe na kunihudumia Mimi"hili neno huwa ni chanzo cha Vita ya tatu ya Dunia...huwa hampendi kabisa kusikia huu Ukweli mnapenda kuambiwa hivi"Fulani wewe ni mpambanaji hakuna kitu unashindwa"wakati kiukweli humuwezi kweli kumgharamikia huyo mtu
2.Unakuta mwanaume mchafu,ananuka kwapa,kinywa kichafu,viatu navyo uvundo Sasa jaribu kumwambia Ukweli,hiyo utakuwa umepress kinu Cha nuclear...WW3
Kuna scenario nyingi,nachoka kuandika,Ila kung'ang'ania mwanamke ndio hapendi kusikia Ukweli Nina mashaka,mi nadhani ungesema Kuna baadhi ya binadamu either ni wa kike au wa kiume hawapendi kusikia ukweli
Kwa mfano wanaume asilimia 99.8 ni WAMBEA,WASENGENYAJI,hawana SIRI...Ila hawapendi kuambiwa huu Ukweli...wanapenda kuambia eti wanaume Wana kifua ukiwa na jambo lako mwambie mwanaume atakutunzie weeee Thubutuuuuuu utalikuta kijiweni asubuhi na mapema Kabla hata bunge la bajeti halijaanza
Nakubaliana na mtoa mada[emoji4]
π€£π€£π€£Kweli kabisaaππ
Wapo WA hivyo, lakini tupo ambao hata tushikiwe bunduki Siri hatutoi.
Ila ogopa wanaume wenye Kampani kuanzia marafiki watatu kwendelea, kiasiili ni wambeya kama Wanawake tuu.
ππPoa nimekusomaJoanah ndio maana nikasema Wanawake wengi(kumaanisha sio wote) na hata wanaume wachache hawapendi kuambiwa ukweli. Lakini wanaume wengi ukweli tunaukubali ndio maana ukifika kijiweni Watu wanachanana ukweli unaweza kusema hawapendani lakini sivyo.
Lakini njoo kwenu ninyi Wadada, ni Wadada wachache wenye mioyo ya kuukubali ukweli.
Ninyi wenyewe wengi wenu kuambiana ukweli mitihani na ndio mwanzo wa kuchukiana.
ππPoa nimekusoma
Nilimiss ubishi wako bwana,
Uko poa lakini?
π€π€π€π€π€π€π€π€Anaandika, Robert Heriel
Yaani ukitaka kugombana na Wanawake wengi, wewe waambie ukweli. Wanawake ni viumbe ambavyo havitaki Ukweli. Hii ni Kutokana na kuendesha na Hisia. Kikawaida Hisia hazihitaji Uhalisia/ukweli.
Na sio Wanawake tuu hata baadhi ya wanaume wanaotumia hisia hawapendi Ukweli. Wanadai ukweli unaumiza, lakini unaumiza nini? Jibu ni kuwa unaumiza Hisia. Ukweli hauumizi Akili, kwani Akili inapenda vitu vyenye Logic, mantiki ambavyo vingi ni ukweli, uhalisia.
Wanawake wenyewe wanajuana kuwa wanaendeshwa na mihemko, hivyo kama ni marafiki watakachokuwa wanajaribu kulinda urafiki wao NI kuhakikisha wanaridhisha hisia za marafiki zao. Ni ngumu Sana marafiki wa kike kuambiana ukweli. Na ikiwa mmoja atamuambia mwenzake ukweli basi itaonekana anamuonea Wivu. Hivyo ndivyo Saikolojia Yao ilivyo.
Mwanamke ni akheri umdanganye ili afurahi kuliko amwambie ukweli. Wanawake wengi ndio wako hivyo. Ukweli kwao ni kizungumkuti.
Malezi ya Binti WA kike yanahitaji umakini na utulivu mkubwa. Baba au Mama unapomlea Binti yako ni lazima ucheze na Saikolojia yake. Malezi ya Binti yako ni tofauti kabisa na malezi ya kijana wako wakiume. Nazungumzia kwenye umri wa balehe.
Elewa kuwa Mwanamke anapokuambia au kushauri Jambo atatoa maelezo kulingana na hisia zake juu ya kitu hicho. Mfano, kama Mwanamke hakupendi na akaambiwa atoe maelezo kukuhusu basi atatoa Maoni yanayolenga kukukera, kukuumiza, na kukupa uchungu.
Ni rahisi kujua uelekeo wa hisia za Mwanamke Kwa MTU Fulani, kujua anampenda au hampendi, kujua anawivu naye au chuki au laah!
Taikon hashauri Mwanamke kuwa msingi Mkuu wa kukushauri mambo nyeti Kutokana na kuwa Wao wengi wao hawayachukulii mambo katika msingi WA uhalisia Bali huyachukulia mambo katika msingi WA hisia za Wakati huo.
Mwanamke au mtu yeyote anayeendeshaa na mihemko aongeapo wala usimchukulie Serious Kwa sababu anavyoongea mara nyingi hamaanishi uhalisia wa kile akisemacho, Bali anazungumzia hisia zake tuu. Jambo ambalo Leo ni hivi kesho ni vile Jambo ambalo linawafanya wawe vigeugeu wasio na msimamo.
Ukitaka kupendwa na Wanawake wengi Duniani itakupasa uwe Mnafiki, na msema uongouongo ili kuzichota hisia zao. Kamwe usithubutu kusema Ukweli uwapo katika USO WA Mwanamke ikiwa unataka kupendwa na Mwanamke.
Moja ya Kanuni tulizozitumia enzi hizo tunajifunza kutongoza Wanawake ilikuwa kuwaambia Uongo unaopatana na hisia zao. Hivyo ndio Njia nyepesi ya kupendwa na Wanawake.
Wanawake wakifanya upuuzi wasifie au usiwe na habari nao, watakupenda. Ingawaje wapo Wanawake Wachache ambao hao NI kama miujiza na maajabu ambao hutumia Akili, hawa ni exceptional.
Mwanamke hata kama hajapendeza mwambie umependeza, hata kama havutii mwambie anakuacha Hoi.
Kujiamini Kwa Wanawake wengi halipo katika mantiki/Akili Bali katika hisia ambazo hutegemea anasikia nini Kutoka Kwa Watu.
Ndivyo tunavyomaliza Wikiendi Hii.
Ni Yule Mtibeli.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam