Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Nakubaliana na wewe. Nampata yule najua labda ni muda wangu. Mwezi mmoja tu nagundua ni garasa. Mwaka jana nimewapa muda wa3 lakini nilichokikuta ni ujinga-ujinga tu. Bahati mbaya nimeshachoka kukaa peke yangu, hata sijui nafanyaje
Tumia zile hesabu zako za Kihasibu. Utapata kwa urahisi sana ndugu Mwasibu. 😁
 
Ukweli mchungu ni kwamba smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni

Ukiwa na akili kubwa kupata mke Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe ukubali kuoa kilaza

Sababu ukiwa na akili kubwa unakuwa una akili ya kumsoma mtu.

Pia Kama una pesa umetafuta mwenyewe kwa jasho lako. Maana yake wewe una akili nyingi. Pesa hazipatikani kijinga..

Ukiwa na akili na una vipesa utapata shida sana kupata mtu wa kuoa.. maana wenye akili wapo wachache.

High value men ngumu sana kumpata high value woman hapa Tanzania. Sio kwamba hawapo ila wapo wachache sana sokoni.

Kwa ufupi smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni. Wanaopatikana kiurahisi ni wale akili ndogo, Wazembe, wavivu, wapenda kulelewa.

NOTE : AKILI KUBWA HAIMAANISHI ELIMU KUBWA

You can have a PhD and still be an idiot! Education and intelligence are two different things.
Mwanaume hautakiwi kujishusha hata siku moja. Pambana ujiongezee thamani na baada ya hapo watajileta kama nzi na mwishowe utachagua anaekufaa. Mwanamke unaetakiwa kuoa haumfuati wala kumbembeleza kuna mazingira yatakuja tu utashangaa mambo yanakuwa marahisi kwako ukiwa nae. Mwanamke yeyote anaekushushia thamani ikiwemo anaekufanya ujishushie thamani huyo sio mke wa kuoa. Hata kwa wazungu mwanaume anaejishusha ni yule ambae hana hela na anagawana majukumu na mke wake 50 50. Mabilionea wa huku ana mke na bado ana vimada na mke bado anatulia. Sijui hii kasumba ya wanaume kujishusha mliitoa wapi ?
 
Mke wa brother ameondoka kwao baada ya mume kukataa kujishusha.

Kitu cha ajabu sana mwanamke anatoroka kurudi kwa wazazi wake kisa tuu ameshindwa kumtawala mume kwa kila namna.

Ndoa za siku hizi zimekuwa za ajabu ajabu
Hatar sana mkuu.

Tatizo kuna Majamaa wachache wanachangia sana dada zetu kuwa na hii mentality.

Mfano mzuri humu majukwaani wanaotetea ndoa ni wanaume pia uki mcheki yupo incompetent kwenye kuhandle ndoa basi ni shida tupu.

Kiukweli mkuu ndoa hazina maana tena sikuhizi.
 
Hili hata mimi nimeliona kwa wanawake wenye akili kubwa kupata mume siyo Tanzania tu bali Africa ni mtihani kwa sababu wanaume wengi wa kiafrika hawana logic, yani karne hii bado kuna mwanaume anawaza mke amsaidie majukumu yake ya kutafuta pesa na bado anataka huyo huyo mke ampikie, amfulie, amtii na bado amlee kama mtoto mdogo, ni mwanamke aliye desperate na ndoa na mwenye low self esteem tu ndiye anayeweza kufanya huo upumbavu
Hapo kwenye ..."amtii" ndipo ulipochemsha. Sasa kama mwanamke hamtii mume huyo ni mke ama business partner?
 
Now days
Ndoa ni kwa wanaume wapumbavu pekee!.

Hapo uliposema "mpaka ujishushe"

Mimi nimeelewa hivi
Kujishusha=submissiveness

A man should not be submissive to anything or anybody (INCLUDING FRAUDULENT WHITE BOY AND HIS FATHER DIPICTED IN A BLACK BOOK)

Thus why
MGTOW is the best possible way for smart people.

KATAA NDOA IS THE BEST AND SMARTEST WAY FOR A MAN.
@dronedrake
 
Kwenye macho ya system
Wanawake wote ni sawa
Wanaeake wote wanakuwa treated kwa sawa kwasababu they are in the same class (high value)

Wanawake wote ni high value
Duniani kote.
Hata kihistoria mpka hivi leo tunavyoongea.
Mpaka kunawakat sheria huwa inapindishwa kwasabb tu muhusika ni mwanamke.
Do i need to justfy this?

Naturaly all women need to be:
1.Protected
2.Loved unconditionally


Kwa wanaume kuna
Classes nyingi.
1. Upper class
2.middle
3.Lower class

Pia kuna subcatezgories kwenye uper na middle class..

SOCIAL RELATIONSHIP WISE CATEGORIES
1.ALPHA
2.BETA
2.SIGMA
NK.
nyingine huwa zinaingia kwenye hizo tatu juu..

Ninaweza nikageralize kwenye categiries 2, ambazo ni
1. High value men
2. Low value men.

Nitajitahidi kuelezea nivyoelewa kulingana na unavyouliza
Ulimuelewa lakini mtoa comment aliposema wanawake wote wapo sawa alimaanisha kwenye masuala gani, anyway hapo kwenye classes kwani kwa wanawake hakuna high, mid na low ni vigezo gani umetumia kusema kwamba wanawake wote duniani wanakuwa treated the same, halafu pia una uhakika kuwa wanawake nao hawajagawanyika katika hayo makundi ya alpha, beta na sigma kwamba wanawake wote duniani wanawatreat wanaume wao sawa
 
Hapo kwenye ..."amtii" ndipo ulipochemsha. Sasa kama mwanamke hamtii mume huyo ni mke ama business partner?
Mhudumie ili akutii mkuu kwa sababu hicho pekee ndio msingi wa utii wa mwanamke kwa mwanaume wake, kitendo tu cha kutaka akusaidie majukumu yako huyo tayari ni business partner, ukikubali kumpa majukumu yako basi uwe tayari na kumpa nafasi yako
 
Ukweli mchungu ni kwamba smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni

Ukiwa na akili kubwa kupata mke Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe ukubali kuoa kilaza

Sababu ukiwa na akili kubwa unakuwa una akili ya kumsoma mtu.

Pia Kama una pesa umetafuta mwenyewe kwa jasho lako. Maana yake wewe una akili nyingi. Pesa hazipatikani kijinga..

Ukiwa na akili na una vipesa utapata shida sana kupata mtu wa kuoa.. maana wenye akili wapo wachache.

High value men ngumu sana kumpata high value woman hapa Tanzania. Sio kwamba hawapo ila wapo wachache sana sokoni.

Kwa ufupi smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni. Wanaopatikana kiurahisi ni wale akili ndogo, Wazembe, wavivu, wapenda kulelewa.

NOTE : AKILI KUBWA HAIMAANISHI ELIMU KUBWA

You can have a PhD and still be an idiot! Education and intelligence are two different things.


Nakubaliana na Wewe 500%.

You Are Absoulutely Right.
 
Back
Top Bottom