UkΓ­wa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Una_sajest nini wewe kama babu yetu wa jf
Nendeni vyuoni kusoma ila suala la Mke mtuachie Wazee wenu tuwatafutie wake bora.

Huku Vijijini wapo wengi wazuri tunawafahamu kuanzia historia ya Wazazi wao pamoja na tabia njema.

Huwezi kutafuta Mke huko vyuoni kwenu, mabinti ambao wanavuta Shisha/walevi/ wasio na heshima na ambao hadi wanafika miaka 25 wanajua size zote na nanii kuanzia mandongo hadi kibamia πŸ™Œ
 
Wake wa ndoa ya mkeka (wa kuoa kwa lazima) huwa wanadumu na hawana chenga kabisa.
 
Busara za babu
The clever one.
 
Mwandishi yuko vizuri lakini hawa wa kuoa ndo changamoto,mimi nilifanya hivyo lakini mateso niliyoyapitia wakati mwingine ni siri nitakayokufa nayo.na hatimaye nimempata ninayeona ananifaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…