Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Maarifa yatakulevya mkuu.

WΓ sio kuelewa wape muda, wataujua ukweli baadae
 

Mwanadamu hatabiriki, kumjua kiwango cha kusema unamjua mtu hilo suala halipo. Ndiposa waswahili wanasema hujafa hujaumbika. Kwamba mtu/watu hubadilika.

Ndiposa kwenye kuoa, ukipata mtu mmeelewana, mkakubaliana...ndoa ifungwe.

Mambo yakibadilika, ndoa ikawa ndoana, ukiweza vumilia, ukishindwa achana naye kisha anza upya. Maisha ni safari imejaa hekaheka
 

Vijana mnaandika maneno mengi sana kuwahusu hawa viumbe, wakati mlitakiwa mtumie maneno machache yenye kujitosheleza.

Kwanza kabisa mnatakiwa mjue hakuna mkamilifu, ukimpata mwanamke mwenye tabia njema na dini oa. Tabia njema ni jambo kubwa sana, ambalo ungelijua usingeandika maneno mengi hivi.

Kuna sifa za msingi na sifa za ziada. Tabia njema na dini, hizi ndio sifa za msingi ambazo zikitimia hizi kadhia inakuwa imeisha.
 
"Tabia njema na dini"

NAKAZIA
 
Hicho kipengere namba 4 sasa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ jiandae kuitwa marioo.. wao wenyewe wanayaangalia mahusiano na ndoa kama fursa ya kupata hela halafu ndio akupe wewe tena
 
Ndoa ni utapeli uliohalalishwa kisheria na kijamii.
 
Mkuu wa like kesho asubuhi piga supu chapati mbili ila itabidi ulipie

Hili swali lako hata huko kwenyw jamii ukiuliza hawana majibu, tunapigishana michango ila michongo ya kuhakikisha michango ikiyokea tunaimudu hatupeani/hatujadili/hatushauriani
Wabongo waambie unatarajia kuoa watakuchangia milioni za kutosha tu, wasikie umekufa watatoa hela za rambirambi nyingi tu ila wape business plan yako waambie umekwama mtaji hakuna atakaekuchangia hata buku.
 
ukishindwa achana naye kisha anza upya. Maisha ni safari imejaa hekaheka
Hapo kwenye kuachana ndipo maumivu makali anakutana nayo mwanaume maana mali zake zinagawanywa wakati za mwanamke haziguswi., kumbuka sheria ya ndoa haitambua kipato na mali za mwanamke. Kwa mwanaume kuoa ni kamali
 
Kamali huwa Ina kupata na kukosa. Sasa upande wa kupata ktk ndoa (hasa wanaume) mbona siuoni? Hebu tusaidie kudadavua.
Mwanaume anatakiwa ku-provide security kwa mwanamke na in-return mwanaume huyu atafaidika na huduma za nyumbani kutoka kwa uyo mwanamke. Tatizo ni kwamba anachotakiwa ku-provide mwanaume kipo kisheria na anachotakiwa ku-provide mwanamke kinategemeana na hiyari yake. Ndio maana nikasema kwa mwanamke ni mchongo wa uhakika kwa maana haki yake inalindwa kisheria ila kwa mwanaume ni kamali kwa maana mwanamke asipotimiza wajibu wake hauna cha kumfanya kisheria kumbuka ukimpa talaka mali zinapigwa pasu kwa pasu hata kama mwanamke ndio tatizo.
 
Ni kweli. Na ni kwa muktadha huo, ndiyo maana mabaharia wanahitimisha kwa kusema kuwa " ndoa haina faida kwa mwanaume".
 
Ni kweli. Na ni kwa muktadha huo, ndiyo maana mabaharia wanahitimisha kwa kusema kuwa " ndoa haina faida kwa mwanaume".
Binafsi mahusiano ya kimapenzi na mwanamke siwezi kuepuka nishapitia mahusiano mengi sana na bado sijafika mwisho lakini ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la "ndoa" sitakuja kuweka saini yangu.
 

Tabia njema inatokana na maadili ya kitamaduni au dini.
Elewa maadili ya tamaduni au dini hii sio maadili ya dini au tamaduni nyingine.

Kwa hiyo unaposema tabia njema ni lazima urejelee maadili ya tamaduni au dini ipi.
Upo Mzee
 
Hicho kipengere namba 4 sasa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ jiandae kuitwa marioo.. wao wenyewe wanayaangalia mahusiano na ndoa kama fursa ya kupata hela halafu ndio akupe wewe tena

Hiyo ni kauli ya kuwadhibiti wanaume wajinga waendelee kuwa misukule yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…