Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona hii ya kupiga ngumi raia au ni mfano tu?Yeah mkuu ila Tanzania, mwanajeshi mmoja mpumbavu na katili anampiga ngumi ya kuua raia mmoja, watanzania wengi pale wote mikia yao wakaifwata na kuja kulalama humu
Naaam!
kama kawa mkuuKwa Mzoli bado papo hapo mkuu?
Sababu za kutokwenda huko mojawapo ni lugha. Hustling haina maana ya kupambana na uhalifu. Elewa kwanza maana ya hustlingHakuna sehemu nimesifia uhalifu
Ni kama useme Tanzania ni maskini huwezi sema unasifia umaskin ni kweli ni maskini
Kuwa na gharama kubwa za maisha haimaanishi kuna hustling we umeshaona kuna mtu anaenda kutafuta maisha luanda
Sehemu yeyote ukiona group kubwa wanaenda kutafuta maisha ujue huko kuna hustling
Too low chang'ombe wale walevi na wavuta bangee..tembeaa nzerSasa mji kuwa na vibaka ndio hustling?
Basi kama ndo hivyo chang'ombe ya Dodoma ni super street Duniani, ukitoboa chang'ombe huwez shindwa mtaa wowote hapa Duniani
Sasa kama washafika wasieleze maswahibu waliyo wahi kuyapata?,punguzeni wivu na chuki,hujazuiwa kutembea.Huu uzi kila mtu yupo/keshafika S.A na anajua kona zote za uhalifu na magenge ya kihuni !
Jambo Tanzania !!!!
Acha wivu wa kipumbavu, na wewe toa uzi kuhusu Ottawa, Canada 🇨🇦Huu uzi kila mtu yupo/keshafika S.A na anajua kona zote za uhalifu na magenge ya kihuni !
Jambo Tanzania !!!!
Kitchanga huko North kivu si mchezo kwakweliiiAfrica nzima!!!!😳😳
Umewahi fika GOMA wewe?
Yani hapo dodoma ndio wahuniSasa mji kuwa na vibaka ndio hustling?
Basi kama ndo hivyo chang'ombe ya Dodoma ni super street Duniani, ukitoboa chang'ombe huwez shindwa mtaa wowote hapa Duniani
Kha!kha!Sasa mji kuwa na vibaka ndio hustling?
Basi kama ndo hivyo chang'ombe ya Dodoma ni super street Duniani, ukitoboa chang'ombe huwez shindwa mtaa wowote hapa Duniani
Jf ni lidude likubwaHuu uzi kila mtu yupo/keshafika S.A na anajua kona zote za uhalifu na magenge ya kihuni !
Jambo Tanzania !!!!
hahahaaaaaaAfrica nzima!!!![emoji15][emoji15]
Umewahi fika GOMA wewe?
hahahaaaaahuu uzi mbona kama kila ntu kafika J'berg!
kwenda kwenye mji haimaanishi ndo mizur au kuna fursa kuliko kwingine bali ni upepo wa wakati huo umelalia wapiHakuna sehemu nimesifia uhalifu
Ni kama useme Tanzania ni maskini huwezi sema unasifia umaskin ni kweli ni maskini
Kuwa na gharama kubwa za maisha haimaanishi kuna hustling we umeshaona kuna mtu anaenda kutafuta maisha luanda
Sehemu yeyote ukiona group kubwa wanaenda kutafuta maisha ujue huko kuna hustling