Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

Sio kila mahusiano yanalenga kuzaa wanawake wanapaswa kujua hili.

Hata kwenye ndoa tu wanaume wanazaa kwa hesabu sembuse nje huko unazani atakuelewa?!
 
Halafu wengine wanazitegesha makusudi sababu ya kutaka kuwafanya watoto vitega uchumi kwa kupewa ruzuku ya malezi na matunzo ya mtoto. [emoji848]
 
Imagine watoto wanahangaika mitaani usiku wanalawitiwa wanalala kwenye maboksi kila aina ya ukatiri wanatendewa, Baba yupo busy kuzalisha wengine huyu dogo sijui akili zake zina shida gani
Tatizo kubwa hili[emoji26]
 
Wewe hufai kuwa mwanaume chagua jinsia tofauti,uanaume ni majukumu

Ungeandika Kwa Kutumia jina lako halisi ningekuona umeiandika Jambo la maana Sana. Kwani Watu wanaokujua wangethibitisha je unakimbia majukumu au hukimbii.
Lakini hapa tutasema ni wimbo WA bubu unaipigwa na kiziwa Kwa kipofu
 
Bwana Robert Heriel wanaokupinga hawajaelewa Ulichokiandika. Niwasaidie tuu kuwajulisha kuwa Mleta Uzi Hana Nia ya kuwataka wanaume wasilee watoto wa nje la hasha! Bali wanawake wasizae na waume za watu au wanaume ambao hawajawaoa Kwa kutegemea matunzo sawa na watoto wa Ndoa.


Mimi naungana na Robert kuwaasa kinadada kutokufanya mapenzi na wanaume wasio waume zao. Wafahamu ni heri atelekezwe na Manaume aliyemuoa kuliko atelekezwe na mume wa mtu au mwanaume ambaye hajajitambulisha Kwao.

Wanaume tuepuke wanawake wanaotuomba mbegu Kwa ahadi ya kuwa hawatasumbua wake zetu.
Midomo ya Malaya Hudondoza Asali.
 
Wakikuskia na wakakuelewa niite ndubwi nimekaa paleee. Yaani wenzako wanajibebesha mimba makusudi na wanaanza kumsumbua mke ili mke asuse yaende yenyewe. Wakiona inashindikana wanaroga kabisa
 
Akikuomba mbegu mpime kiuchumi kama yuko huru mpe wala haina neno,

Ilimradi iwe salama.

Maana Dunia ina mengi!

Lakini iwapo uchumi wake si huru ni tegemezi hapo kimbia kama Nabii Yusuph kwa Portifa.

Swala hapo ni status ya kiuchumi ikoje ?

Huru au tegemezi?
 
Hapa ndo uzuri wa Mungu si Athumani wala Robert

Chukua haya maneno yako yaweke mbeke ya Mwenyezi Mungu alafu uje na mrejesho

Mume kudanganya hana mke sio kosa eh?
Mume kuzini nje ya ndoa sio kosa eh?
Mume kutotenda haki kwa mwanamke mwingine sio kosa eh?
Kila mwanamke ana tamaa kafata pesa kwa huyo Bwana?


Na hii ndio sababu watoto wa nje nao maisha huwa yanawanyookea tu kwa kudra za Mwenyezi
Ndani ya Ndoa is the best ila si kila kitu
Tumuogope sana Mungu SANAAA
Mungu si Athumani
 
Unajua hata Hajiri alipopata kiu jangwani Mungu alimpa chemchemi na hadi leo tunakunywa maji ya zamzam tukienda Hijja
Tumuogope sana Mungu
Sanaaa
Mungu ni wa kila mmoja

Uko ndani ya ndoa kaa na mkeo tu all your life usizini nje
 
Js imagine
Uzuri Mungu yupo na ye mizani yake si kama binadamu

Hata hichi watu wanachopigia debe hapa hawajui madhara yake

Issue ya msingi ni aliyeoa usizini nje ya ndoa yako.,mtoto akizaliwa wajibika
Fainali uzeeni
 
Kalenda ya uzazi Mungu kaiweka kwa mwanamke. Hivyo anapaswa kujijua na kuchukua tahadhari kuepuka mimba zisizo tarajiwa.

Utamlaani Mwanaume kukutelekeza lakini itakuwa kama dua la kuku lisilompata mwewe.
Uzuri Mungu ana mzani wake
Iweje mwanandoa unazini nje?
Na kama huna ndoa uasherati wa nini?
Tumuogope Mungu Sanaaaa jmn
 
Sijui kwanini mnakimbia kuwajibika
Mwanaume usizini na asie mkeo
Na usifanye uasherati na kuzaa ovyo
Oa zaa na mkeo tu na utulie tulii maisha yako yote na mkeo tuuu
Mbona hili ni jepesi

Uzinzi Mungu kakataza
 
Sio kila mahusiano yanalenga kuzaa wanawake wanapaswa kujua hili.

Hata kwenye ndoa tu wanaume wanazaa kwa hesabu sembuse nje huko unazani atakuelewa?!
Kwanini kuanzisha mahusiano yasiyo na malengo afu watoto mnatelekeza?
Usifanye tendo na mtu usiyetaka kuzaa nae.
 
Unajua hata Hajiri alipopata kiu jangwani Mungu alimpa chemchemi na hadi leo tunakunywa maji ya zamzam tukienda Hijja
Tumuogope sana Mungu
Sanaaa
Mungu ni wa kila mmoja

Uko ndani ya ndoa kaa na mkeo tu all your life usizini nje

Kwa mwanaume uzinzi ni starehe ambayo haimuathiri kama Dada zetu.
Ndio maana wazee wetu wa kale hawakuwa wajinga kumdhibiti Mwanamke dhidi ya kuziniwa ili Asipate madhara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…