Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Nilishasoma Mwanzo hadi Ufunuo ila sijaona hiyo miakaSoma mitahli yote
Ukimaliza ingia soma Hebrew yote
Ukitoka soma 1 korintho yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishasoma Mwanzo hadi Ufunuo ila sijaona hiyo miakaSoma mitahli yote
Ukimaliza ingia soma Hebrew yote
Ukitoka soma 1 korintho yote
Rudia tena mbona IPO zaidi ya mara 10Nilishasoma Mwanzo hadi Ufunuo ila sijaona hiyo miaka
Fanya kweli tuone kama kweli nitachomeka...Utachomwa na gesi shauriako
Nimerudia ila sijaonaRudia tena mbona IPO zaidi ya mara 10
[emoji28][emoji28][emoji28] mama mchungajiSoma mitahli yote
Ukimaliza ingia soma Hebrew yote
Ukitoka soma 1 korintho yote
Mnacheza nimeokoka more nataka kwenda Mbinguni nikisubiria unyakuo nikiwa na Miaka 400[emoji28][emoji28][emoji28] mama mchungaji
Hayo ni maandiko tu....Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Akipunguza umri wa hapa duniani siku ya kiama bado atahukumu ama itakuwaje?50thebe umebakisha mingap
Smart911 Seth saint Bujibuji Simba Nyamaume Ushimen nyie mmebakisha mingap
Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
View attachment 2727635
So unataka tuzini na mwanaume?Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
View attachment 2727635
Wewee, JifunzE Kwa waliokutanguliaHayo ni maandiko tu....
Mandiko mengi ya dini ni illogical.
Wewe inakuingia akilini..? kwamba....ukizini... Mungu ana punguza 5 years kwenye umri uliotakiwa kuishi.
Kuna watu now wana umri wa miaka 60 na walisha zini mara 50 hadi kufikia umri huo.
50*5 years = 250 years + 60 years
Hapo ina maana wasinge zini, wangeishi kwa miaka 310.
Au hayo maandiko yana maanisha kitu tofauti..?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Gesi inamsubiria motoniha ha haa
Akipunguza umri wa hapa duniani siku ya kiama bado atahukumu ama itakuwaje?
Anatembelea Rehema za Mungu Huyo au kaokoka kimya kimyaAiseee kama ni ivo basi kuna ndugu yangu atakuwa amebakiza nothing mpaka sasa
Usizini - amri ya 6So unataka tuzini na mwanaume?
Kasome mithali yoteKuzini ndiyo nini. Binadamu ni mnyama kama wanyama wengine walivyo kuja duniani Kwa ajili ya kuzaa tu. Je nini kifanyike mtu azaliwe., Jibu unalo. Mengine ni upofu wa kiimani tu kama vile ndoa. Kwani binadamu Yuko duniani Kwa ajili ya ndoa. Ndoa ni tungo za kiimani Ili kuwafanya watu wasizae au wasiongezeke ili kuendelea kutawaliwa. Uislamu na ukristo ni dini za kitumwa. Jitambue
Rudia kusoma uzi nimeuwekaAisee huo mstari wa kupunguza miaka sijauona bado.
Please uweke hapa niuone
Huwa sisomi vitabu vya dini za kuletwa. JitambueKasome mithali yote
Ukitoka ingia 1 Corinthians utajua
Huwa sisomi vitabu vya dini za kuletwa. Jitambue