Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Amina mtumishi
 
Amina, Mbinguni watakupa maua yako
 
Tofauti ya umri kati ya mume na mke unaijua?
Mume kaoa mke aiyemzidi 10yrs, mathematically nani ataanza kufa?

Wewe mumeo kakuzidi miaka mingapi ili upate hitimisho?
Hoja yako ya mgane na mjane haina mashiko.
Aisee, haya basi kaa na uzinzi wako utaisoma namba
 
Mnapita mengi yapi kwenye ndoa
Ivi nyie mkipewa uwezo WA kwenda leba mtaweza??
Maana sahivi wanawake wanatengeneza hela kuliko nyie, sasa mengi yapi??
 
We umesema 5 years zinapungua. Ndio maana nakwambia mbona solomoni hakufa mapema. Ishu ya kuondolewa ufalme. Ni nyingine but about 5 years hapo umemlisha Mungu maneno maana Hakuna kifungu hiko.
Hukusoma, Mungu Alimwambia ufalme wako ulikuwa NI WA milele sababu ya uzinzi wewe ufalme naukatisha nampa mwingine na nyumba yangu haujengi wewe
Sasa sijui we nikipofu au?
Kasome Biblia bwana Acha uzinzi
 
Ana punguza kivipi??kwani tulikubaliana kabla??nitahitaji ushahidi wa hili kutoka Kwa Baba Muumba Wa Mbingu na nchi!!Tuonyeshane ushahidi wa hayo makubaliano.###KivumbiSikuHiyoHukoMbinguni###Kuliko cha kina Mdude na mwambukusi hapa ulimwenguni Tz!!
Kasome Biblia
Methali yote
Korintho WA Kwanza yote
Hebrew yote
Ufunuo yote
Mwanzo yote
Kutoka yote
Ukimaliza utaniambia
 
Mnapita mengi yapi kwenye ndoa
Ivi nyie mkipewa uwezo WA kwenda leba mtaweza??
Maana sahivi wanawake wanatengeneza hela kuliko nyie, sasa mengi yapi??
Wanawake wanapitia mateso sawa sijakataa mfano hilo mojawapo la leba but baada ya muda yanaisha me nimesemea wanaume tunapitia yale ya kukutoa uhai kabisa hiv unaweza kulinganisha matokeo ya kwenda leba na matokeo ya kutegwa sumu ety boss 😀 [emoji4]
 
Tutaisoma tukifika huko huko mbinguni Kwa Baba naamini itakuwepo na imeandikwa sijui Kwa Kiswahili,,,kirumi au kiingereza!!
 
 
Acheni hizo! Ina maana wanandoa wanaokufa mapema ni wachepukaji? Ila ujue Biblia imeandikwa na binadamu.
Kwa mwongozo WA Mungu
 
Uongo

Me nimeshazini na zaidi ya 27 ,, hesabu yako nimekata miaka 135
 
Hivi unajua kuishi na mwanamke ambaye hamjafunga ndoa kanisani kwa wakristo ni uzinzi, kuna watu wameishia kwenye uchumba miaka 10+ (uchumba sugu), tuchukulie mfano kwa wiki wanazini mara 4, la mwezi wanazini mara 16, kwa mwaka wanazini mara 192, kama wameishia kwenye uchumba sugu miaka 10 mfano itakua wamezini mara 1920..

Ukizini mara moja unapungua miaka 5, kwa case ya hao wachumba watakua wamepungua miaka 9600...

In any case alichoandika muanzisha Uzi sio kweli....non sense!
 
Hukusoma, Mungu Alimwambia ufalme wako ulikuwa NI WA milele sababu ya uzinzi wewe ufalme naukatisha nampa mwingine na nyumba yangu haujengi wewe
Sasa sijui we nikipofu au?
Kasome Biblia bwana Acha uzinzi
Na ufalme haukuisha sababu ya uzinzi. DAUDI mwenyewe alikuwa mzinzi mpk akaua na ufalme haukuisha. Ufalme uliisha sababu ya kuabudu Miungu mingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…