Kuna Wake ni Vichomi mpaka ukitoka nje ndio unakuwa unaongeza miaka mitanoNimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
View attachment 2727635
We una matatizo kichwaniMwanamke kila
Mwezi anaingia period , Mwanaume maisha yake yote yuko free 24/7, Januari hadi December kila Mwaka yuko tayari kwa matumizi,
Halafu mnataka muwe sawa kima hutaki ya mwili ?
Daah, haya maandishi muwe mnaandika taratibu Wakuu
wenza
Hili kabila la kiduanzi
Hamna kabila lina encourage uke wenza
Kwanini wanaume waliotalaka wake zao, hutumia watoto wao kutongoza wanawake wapya? Je wanakuwa wanapenda au ni matapeli tu?
Dada: money penny nisaidie Money penny: ndio boss Dada: nimekutana na kaka mmoja, juzi ijumaa, tukaanza kuchat akasema anatafuta mke wa kuoa Money penny: ndio boss Dada: tumeongea kwa simu for hours siku ya kwanza, jioni yake akampa simu mwanae anisalimie tukaongea na mwanae muda wa dk 15...www.jamiiforums.com
UuuwiKuna Wake ni Vichomi mpaka ukitoka nje ndio unakuwa unaongeza miaka mitano
Acha kubweka unatupigia makeleleKabila gani?
Sijakuelewa.
Tatizo lenu ni mapokeo tu ha ujinga wa kisaikolojia.
Mimi huwa nawauliza wanawake una panic umekuwa sms za mchepuko kwenye simu ya mumeo, Kwani what are you loosing kwa mumeo kuchepuka ?
Halafu mwingine Mwanaume wake hata Hela hana Halafu ana mind kuchepuka.
Maana angekuwa na Hela ungesema anamalizia kwa michepuko lakini hana Hela Ina maana hao wanapendana kwa dhati ya moyo, mchepuko hampendei Hela .
Napo mke Eti ana mind .
Ni mapokeo na ujinga.
Muhimu wewe ombe iwe salama yasiwepo magonjwa
Sawa jiniThubutuuu!
Watu tuko tofauti.
Donβt generalize.
Du bado ninaishi hadi Leo!!!!!Basi mi nitakuwa nimepangiwa kuishi miaka mabilioni!!Kwa hili
Kuna watu wana maisha mafupi sanaπ
We una matatizo kichwani
Unaishi kwenye ulimwengu wa kufikirika
Haujawahi kupenda subiri ukipenda utakuja kutuambia
Hizo siku 5 za period utaona ni siku 1
Hio miezi 3 ya uzazi utaona ni siku 3
Sawa jini
Kama ni kweli, basi mimi nilishakufa miaka mingi iliyopita.Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
View attachment 2727635
Sawa jini
Una mingap weye?Du bado ninaishi hadi Leo!!!!!Basi mi nitakuwa nimepangiwa kuishi miaka mabilioni!!
Wewe ndio hujawa matured na kuujia uhalisia wa ulimwengu.
Soma vitabu,
Jifunze kwa mentors wa mahusiano hautakuwa ulivyo sasa.
Allow your mind to be open ready to learn new things.
Usijione kuwa tayari unajua kila kitu.
Hushangai hamna mtu anaesupport comment yako?Mmnh wewe kumbe una matatizo.
Ukiishiwa hoja unabaki na hayo ππ
Jini linaweza kuandika ukajibizana nalo ?
Ndivyo ulivyofundishwa?
Wapi huko walikokufundisha hivyo?
You look very small minded person.
You are now making personal attacks instead of discussing the issue !
I canβt argue with a fool.
I ignore you ππ
Jini linalo tembeaKama ni kweli, basi mimi nilishakufa miaka mingi iliyopita.
Kuishi mileleπ€
Hovyooo ππ
Jini unaweza kujibizanaza nalo?!
Nyie Dunia ndio huwa inawafunza.
Halafu mnaenda kusumbua manabii na waganga mrudiane na wenza wenu.
Isaya 4: 1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.Ndivyo Mungu alipanga ati