Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Ungekuwa hvy bas sueleman angekufa siku ya pili toka anamalizia kuwa t... Wale mabint au mnasemaje wanangu,... Na huyo mungu bas hana msimamo mana ana wivu wa kipuuz au mnasemaje wanangu? Mtoa mada tuonyeshe andiko au mnasemaje wanangu,? Na hilo andiko hatulikubali maana wameandika watu kama sisi au mnasemaje wanangu?
 
Kama nilivyoandika uzi
Hiyo zaburi ndio inasema hivi ? ⏬
Unavuta bangi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…