Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Nimetoka kusoma Biblia sasahivi

Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbayaaa

Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 Tu

Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Acheni upotoshaji na ubinafsi wa kikatoliki swala la kufanya mapenzi ni pana sana
 
Kwa hesabu hizo Kuna wamba Wana miaka - 20 lakini nashangaa wapo hai na wanadunda mtaani na wameadvance wanafyatua wake za watu 😆😆😆😆! Ila mkuu biblia haisomwi kama riwaya! Kuna akili kubwa na unyenyekevu mkubwa katika kuisoma
 
Nimetoka kusoma Biblia sasahivi

Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbayaaa

Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 Tu

Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Babu zetu,wazee wetu wamezaa huko na huko na wengi wako miaka 90 au zaidi
 
Back
Top Bottom