Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Umesoma biblia ipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USITUTISHENimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mungu wangu kumbe hii laki nlotunza nijenge nkamwagilie tu Moyoo
Sijui itakuwaje sasa [emoji848]Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Nimerudia kusoma!Rudia kusoma uzi
Alafu niambie umeshazini na wanawake wangap mpaka sasa?!
Je umeoa?! Kama hujaoa ume do na wangap mapaka sasa?!
Ni kawaida kwa watu wa pwani 🤣Mimi naona naongezeka, Niko miguuni Kwa Yesu naomba toba na Rehema kama Daudi Kwa.machozi
Nimeona wajukuu 10 mpaka sasa
Kama ni hivo basi wengine tunaishi kwa mkopo tukifa tunadaiwa.Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Huenda kasoma WamakabayoUmesoma biblia ipi mkuu?
mfano mi mi role model wangu ni Daudi na SuleimanMbona Suleima,mtoto wa mchepuko wa Days,the king,Mungu alimpa utajiri na vyote,hadi malkia wa Sheba "the queen of south alikwenda kumsujudia👌alikuwa na wake Mia 3 na masuria aka michepuki Mia 700
Hapa mleta mada ana hoja gani?
Wanajihujumu
Hiyo zaburi ndio inasema hivi ? ⏬
Unavuta bangi ?
🤣🤣🤣Tukaguane Sasa
Mmoja alisema nanukuu"kwa binadamu ni kawaida kuchunguzwa hapa na pale"
Mwingine Akasema#yuko anachapa kazi,au mlitaka kumwona kariakoo anazurura?🤣
Kumbe Yuko kwenye friji mzena🤣aloo
Waliandika hivyo ili kuwafanya binadamu wawe wastaarabu, lakini hakuna ukweli wowote
Mithali 6:32,[emoji23][emoji23][emoji23]
Daudi aliomba toba Kwa kulia Sanamfano mi mi role model wangu ni Daudi na Suleiman
Mithali 6:32Duh!
Kama ni kweli, hizi ni hatari.
mfano mi mi role model wangu ni Daudi na Suleiman
Mithali 6:32Kifungu gani kinasema mbona kutishana hivyo wakuu 🤔
Mithali 6:32Hahaha ni kweli
Uzinzi ni dhambi inayotendeka ndani ya mwili
Inakuchafuaaa
🤣🤣🤣
Mithali 6:32Ungekuwa hvy bas sueleman angekufa siku ya pili toka anamalizia kuwa t... Wale mabint au mnasemaje wanangu,... Na huyo mungu bas hana msimamo mana ana wivu wa kipuuz au mnasemaje wanangu? Mtoa mada tuonyeshe andiko au mnasemaje wanangu,? Na hilo andiko hatulikubali maana wameandika watu kama sisi au mnasemaje wanangu?
Suleiman alikua hana akili?Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Ndio maana Mungu alimwondoa fasta😂😂Suleiman alikua hana akili?