Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #61
Kwahiyo Biblia umeandika.uongo??Waliandika hivyo ili kuwafanya binadamu wawe wastaarabu, lakini hakuna ukweli wowote
Soma Biblia anti utajua ukweli na uongoSijasoma ile nimecheka kishenzi yaani , hivi uongo unasaidia nini kwani?
Mwulize Mungu πππKwanini iwepo upande wa wanaume..???
π€£π€£Katarama huyo,wazee wa roadDuuuh! Umetisha umeingi na Ally's au Katarama?
Kwa huu uchache wetu, na wanaohitaji tendo wako wengi, inabidi kutii maagizo, nendeni duniani mkaongezekeKwahiyo Biblia umeandika.uongo??
Woi
We tuambie umezini na wangap Tukupe salio la maisha yako
Mbona Suleima,mtoto wa mchepuko wa Days,the king,Mungu alimpa utajiri na vyote,hadi malkia wa Sheba "the queen of south alikwenda kumsujudiaπalikuwa na wake Mia 3 na masuria aka michepuki Mia 700Kama ni hvyo rikiboy angeshakufa siku nyingi sana
Ila Samuel,muonaj alitumwa na Mungu kwa Daudi,akamwonya akamwambia acha dhambi zako,bila hivo utakufaπKama ni hvyo rikiboy angeshakufa siku nyingi sana
Acheni upotoshaji na ubinafsi wa kikatoliki swala la kufanya mapenzi ni pana sanaNimetoka kusoma Biblia sasahivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbayaaa
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 Tu
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Sii ningekuwa nilishakufa π€£π€£π€£π€£mzabzab namba zinasomaje hapo kwako?
Eeh watupe jibu maana wao wanajifanya malaika sana wakati ndio hao hao wanameza manii zetuna mwanamke akizini inakuaje
Umesoma kitabu gani, sura ya ngapi mstari wa ngapi?Nimetoka kusoma Biblia sasahivi
Babu zetu,wazee wetu wamezaa huko na huko na wengi wako miaka 90 au zaidiNimetoka kusoma Biblia sasahivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbayaaa
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 Tu
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mie sijabakiza kabisa, sa ajui itakuaje...π
Vipi niku punguzie miaka yangu 5, au bado uta danjaππ€£ UshimenMie sijabakiza kabisa, sa ajui itakuaje...π
Ma snitch ka wewe nangoa pua.Stendi ushazini?!