Mimi Sina akili kabisa ndiyo maana nataka nikuzini....😅😅Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Wagane NI wachache kuliko WAJANERico strong kala Wanawake tufanye 100+ hivi kwa kumuonea huruma[emoji28]
Sasa 100×5=500 WTF[emoji15]
MIAKA 500
Kweli hata sulemani hakufikii Kwa maamuzi yakoMimi Sina akili kabisa ndiyo maana nataka nikuzini....😅😅
kwa wiki hii nimepunguza miaka 30Hivi mdogo wangu,unakufa leo mchana au kesho? Mwachiluwi
Solomon ufalme wake ulikatishwa akarithi mwanae mcha Mungu, Mungu alimkasirikiaMbona mnamlisha Mungu maneno. Kama ni hivyo solomoni angekufa mapema sana
Wagane NI wachache kuliko WAJANEkwa wiki hii nimepunguza miaka 30
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Hapana🤣🤣
Mleta uzi anatuchota akili eeh
Wagane NI wachache kuliko WAJANEMstari wa kupunguza hiyo miaka mitano ni mimi tu sijauona au nna kengeza?
In the beginning Mungu alimuumba Adam akampatia mwanamke mmoja tu ambaye ni Hawa...vilevile maandiko yanasema mtu atamuacha babaye na mamaye ataambaatana na mkewe na hao wawili watakua mwili mmoja...hapo tunaona Mpango wa Mungu ni mume kuwa na mke mmoja tu na si vinginevyo....Suleiman alikengeuka Kuna kabila Mungu alimkataza asioe lakini yeye akaoa wale wanawake wakamgeuza moyo akaanza kuabudu miungu Kua na wanawake wengi ulikua ni ubatili wa Suleiman haukua Mpango wa Mungu na Mungu alimstahi Suleiman sababu aliweka agano na Daudi baba yake kua ataubariki uzao wake na hatauangamiza sababu Daudi alikua anamcha sana Bwana katika watu wote Daudi ndo alikua anamcha sana Bwana ...
Ndiyo alivoanza uzinzi akili ziliondoka sababu wale makahaba walimgeuza moyo
Anhaa sawa
Acha tuKhakhakhaaaa!!
Ukweli mchungu huu dadalake!!
Wagane NI wachache kuliko WAJANEnitofautishie kati ya uashelati na uzinzi? Alafu nikwambie kitu
Wagane NI wachache kuliko WAJANESio 5 years Sasa, ni kweli lakin hesabu haziko sawa
Wagane NI wachache kuliko WAJANENa wanaozini na waume za watu wanapunguziwa miaka mingapi au nikwa wake za watu tu?
Alikufa na Miaka 60🚶🚶🚶Hao walipiga saaana. Na walienda umri mkubwa
Wagane NI wachache kuliko WAJANEMwanaume huwa azini
Anaezini Ni mwanamke[emoji4]
Na ufalme wake ulikatwa katikati akafa kabla ya Muda na hekalu hakumjengea MunguAlikuwa nazo. Na hekima pia.