Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.
Panga parking za magari za kutosha.
Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.
Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.
Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.
Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.
Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.
Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.