Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

H

Mimi najichanganya au wewe?
Wewe unaamini sababu ni rent kubwa, mm nakuambia sababu sio ukubwa wa rent Bali uchumi tulionao hauruhusu.

Hata rent ilishushwa bado sehemu kubwa itabaki wazi sababu uchumi wa watu hauruhusu. Wewe umeandika nadharia. Mambo ya kufikirika zaidi ikiwa uhalisia hauendani kabisa

Unasema yajazwe maghorofa hapo kwenda juu, bila kujua wataojenga hayo maghorofa watapata hasara sababu uchumi wa watu upo chini. Ndio nikakutolea mfano hapo sinza Kuna psssf tower ipo wazi hadi leo hii
Niambie no apartment ipi ya mtu binafsi ( ghorofa ) Ambayo Haina watu Dar ?
 
Nimekubali kuwa similiki chochote kwa asimilia mia. Eneo likiwa na madini ama likihitajika tu na wenye mamlaka unapisha tu. Sijui kama tathmini ya fidia itahusu mpaka hisia za wamiliki. Ewe banda langu nilikupenda sana lakini sirikali imekupenda zaidi,jiandae kupumzika kwa amani
Kwa manufaa ya Umma, inamaana kunufaisha wengi zaidi kuliko mmoja pekee
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Tumechelewa sana kufanya master plan hasa kwenye majiji,
Na wanapaswa kwenda kupanga mapema mji unakoelekea na sio tena katikati ya miji
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.

Hii inawezekana na ni kitu kizuri. Nina shaka na watu waliopo kama wana uwezo wa kuibeba vision kama hii mpaka ikafanikiwa, bila kuleta hadithi za mambo yasiojulikana
 
Simple? Hizo trillion of money za kulipa fidia na kuanza kujenga upya zinatoka kwa nani?
Hapo kwa individual hawezi kufanya huo uwekezaji ila inakuwa ni kampuni ya commercial real estate wanaweza kufanya hivo gradually sio kwa mkupuo.

Unajua pale buguruni nyumba hazijajengwa kwa ustaarabu sasa mfano ukinunua nyumba za chini kama 10 kwa hata milioni 300 kwasababu zile nyumba ni choka mbaya, hapo unaweza pata eneo kubwa ukapandisha apartment za kwenda juu za ghorofa 10 ambapo hapo unaweza kupata apartment za kutosha hata zaidi ya 50
 
Wakifanikiwa kuipanga upya kimakazi Dar! Na baadae kufanya haya nchi nzima! Hili linaweza kuwa jambo kubwa zaidi la kimaendeleo kuwahi kufanywa katika nchi hii.

Ila kama kupanga na kuijenga upya waanze na maeneo yaliyojengwa vibaya zaidi kama Manzese, Kigogo, Mbagala, Mabibo na kwingneko. Then ndo waende hayo maeneo mengine.
Naona kunaangaliwa sehemu kwenye fursa za kibiashara zaidi.
 
Hapo kwa individual hawezi kufanya huo uwekezaji ila inakuwa ni kampuni ya commercial real estate wanaweza kufanya hivo gradually sio kwa mkupuo.

Unajua pale buguruni nyumba hazijajengwa kwa ustaarabu sasa mfano ukinunua nyumba za chini kama 10 kwa hata milioni 300 kwasababu zile nyumba ni choka mbaya, hapo unaweza pata eneo kubwa ukapandisha apartment za kwenda juu za ghorofa 10 ambapo hapo unaweza kupata apartment za kutosha hata zaidi ya 50
Mitazamo inatofautiana, wengine wanabiashara zao zinawalipa kununuliwa ni pigo kubwa
 
Karakana ni sehemu ya Dar mpya, kwa nini unakuwa mgumu wa kuelewa? Kunguni mna shida sana
Huo ni mradi wa BRT inshu za sijui dar mpya mara wanapanga upya si wangechukua manzese, vingunguti au buguruni?
Mita za mraba 233,000 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa BRT unaofanywa na DART zinajumuisha maeneo yafuatayo:-
1. Makutano ya barabara ya Bagamoyo na Kunduchi (Mbuyuni) ni sqm 156,000 kwa ajili ya ujenzi wa Karakana kuu.
2. Eneo la Halmashauri ya Ubungo lililopo Simu 2000 sqm 35,000 kwa ajili ya ujenzi wa Karakarana kuu.
3. Bokobasiaya sqm 18,000 kwa ajili ya ujenzi wa kituo mrishi na maegesho ya magari.
4. Makutano ya barabara ya Sam Mujoma na Chuo Kikuu cha Ardhi mkabala na Mlimani City sqm 24,000 kwa ajili ya ujenzi wa kituo mrishi na maegesho ya magari.
 
Back
Top Bottom