Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamandaaaaa mbona yowe kukupata nibonyeze button ipi???Hizi tabia zangu kiukwel n za kurithi kutoka Kwenye damu na Kwa jinsi ninavyomuona wangu anaenda kuwa mara kumi ya mm[emoji28][emoji28][emoji28] cjui itakuwajee jmn uwiiiii
😂😂😂😂😂Usibonyeze yyt mkuu acha yalivyoKamandaaaaa mbona yowe kukupata nibonyeze button ipi???
I00%Kila mtu anajujua tabia zake, kama wewe ni mwanamke je uko tayari mtoto wako wa kiume aowe mwanamke mwenye tabia zako?
Na wewe mwanaume uko tayari mtoto wako wa kike aolewe na mwanaume mwenye tabia kama zako?
Sio kizazi kijacho mkuu. Kuanzia kizazi hiki ni shiidaKama kataa ndoa inavyozidi kupamba moto ndivyo kizazi kijacho kitavyo hustle kwenye mahusiano mazuri ya ndoa.
Haijalishi mtoto apate mume/mke mwema mahusiano mazuri yatakua hadimu sana.
Mungu tu awanusuru watoto wetu.