Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Habari kama hizi zinanogesha sana usiku wangu😃😃😃
 
Ndo ile basi tu hata NATO wanajua, hata Zelensky kwa Sasa ashajua Kwamba kuipiga Russia Ni swala gumu. Vita washashindwa.
Marekani ameahidi kuwapa mifumo mizito ya kurusha makombora masafa matefu Minne (4) Aina ya HIMMARS. Cha ajabu Russia inayo mifumo ya mfano huu kwa maelfu . Eti leo Ukraine inajitapa itaitumia mifumo hiyo kuitoa Russia katika occupied regions za Ukraine. Hi ni aibu na home kubwa
 
Cry [emoji22][emoji22]

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ngoja yabaki magofu, Uzuri Russia ana prisoners of war wakutosha kutoka Ukraine wataenda kujenga huko kwa viboko usiku na mchana
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kinachotekwa ni ARDHI; vilivyo juu yake kama majengo na miundombinu, vitajengwa Kama vilivyokuwa vimejengwa awali hata na kuzidi.
Raslimali iliyoko chini ya ardhi, kama madini na gesi, vitabaki kuwa chini ya aliyeiteka.
GO Vladmir Putin; PUT THEM IN.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji419][emoji28][emoji28]
 
Cry [emoji22][emoji22]

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Akili huna [emoji706][emoji706]
 
Narudia tena akili hauna [emoji706][emoji706]
 
Mijitu mingine bwana , yaani mmekaa kabisa mnaikebehi Russia, hivi mna akili kweli

Yaani mnashindwa kutambua nguvu ya Russia katika zama hizi kuwa sio nchi inayo paswa kubezwa hata kidogo bali ni taifa linalo paswa kuogopwa sana

Imagine taifa linapigana vita huku likiwa limewekewa vikwazo lukuki lakini Bado linatoa kichapo katika uwanja wa vita kama vile hakuna kikwazo chochote kile walicho wekewa bad Enough vita wanayo pigana wanae pigana nae ana pewa support ya silaha na Mataifa 28s lakini Bado Wana chapika .. still mnashindwa kutumia logic nakuiona Russia kuwa ni lidubwana la kuogopa badala yake mnaendelea kuibeza !? .. aiseee kweli Kuna watu akili hamna [emoji706][emoji706]
 
Sperm yenye speed ikijaribu kutoa maoni kwa mihemko na hasira
 
Muda utasema Kama wataamua ku retaliate au laa,maana Kama wameweza kuokoa maeneo mengine km Kharkiv,lviv n.k sidhanikm watauachia mji wa Sieverodonesk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…