Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Dini ikikufanya uwadhadau,kuwatukana na kuwakejeli binadamu wenzio achana nayo,haifaiMakafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Wewe unayeamini Quran kushushwa wakati hakukuwa na shahidi wa kuthibitisha hili si wa kuonea huruma... Quran ilishushwaje wakati maandiko yake tayari yalikuwepo hata kabla Mohamad hajazaliwa... Unasemaje maandiko yameshushwa, wakati yesu mwenyewe kasoma torati kwa kuishika kwenye sinagogi... Anatokea mtu anasema haikuwepo, eti kashushiwa yeye tuHivi mtu anayeamini kuna mungu watatu na anayeamini atapona kwa kukanyaga mafuta hao si wakuwaonea huruma kabisa
Tulishawaambia kuwa haya mambo ya kupeana vitabu yako Kwa manabii wa mchongo.Hata huyo mnayedai alipewa kitabu hakuwahi kukiona.Ni wapi Muhammad aliwahi kuiona Quran?Mleta mada biblia alipewa nabii gani?
Kaka!Defensive machinsm at work.
Ngoja nikufuate huku huko unakotaka kujificha, nifyeke hicho kichaka chako cha Karanga unachotaka kukitumia.
Kati ya manabii laki 2 na 24 wanaotambulika na uislamu na vitabu vya kiislamu kama ulivyo sema, nitajie manabii wawili ama watatu wanaosema Mungu hana Mwana then huu mjadala utakuwa umeisha.
upande wangu mimi naweza kukupa verse za akina:-
KING DAVID.
SULEIMAN.
MUSA.
ISAYA.
JEREMIA ETC WANAKUBALI KUWA MUNGU ANA MWANA NA UNAWEZA SEMA VITABU VYAO HAVITAMBULIKI KATIKA ISLAM.
SO TUJADILI KUPITIA VITABU VYA KIISLAM TU.
Uzuri wanakuja ku dilute dini wanafanya kazi njema sana ,ndo maana kwa sasa waislam wala kitimoto na wapiga mvinyo wameongezeka kuliko kipindi chochote,,,,na waislam wengi hawana upepo wa kusoma albadili maana hawatimizi matakwaMakafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Hapa kuna orodha ya wanafunzi sita wa Yesu ambao walikuwa maarufu kwa kutoa maelezo kuhusu maisha, mafundisho, na matendo ya Yesu katika Injili:Tutajie wanafunzi sita tu ambao walinukuu walinukuu habari za Yesu.
Nitatunga mbwa mimi usijaliTunga
Tunga na qeww tuone akili zako mbwa mkubwa wewe
Opinion yako.Kuna andiko lolote ku prove hoja yako nje ya biblia na Quran?Kwani lengo la kuleta nabii si kuilea jamii kwa kuipatia muongozo utokao kwa Mungu?
Adam alikuwa ni baba na kiongozi kwa familia yake na ndiye mtu wa kwanza. Unafikiri mwongozo wake juu ya malezi na kuiongoza familia yake na kuyatawala mazingira ulikuwa unatoka wapi? Ulikuwa unatoka kwa Mungu.
Na namna ya kuiongozo familia yake kiroho mwingozo alikuwa anaupata kutoka kwa nani? Jawabu ni kwa Mungu.
Hivyo akafanywa kuwa Nabii kwa familia yake. Ni kama manabii wengine walivyotumwa kwa watu wa jamii yao/eneo lao tu. Halikadhalika na yeye. Akifanywa kuwa nabii kwa ajili ya kuiongoza familia kwenye mazingira ambayo wao ndiyo viumbe wa kwanza wa aina yao kuishi. Yaani binadamu.
Aanze kwanza kukata Hilo shingo lake.Jamaa anatamani kutembeza upanga
Wewe vipi bado unaamini Quran ilishushwa wakati maandiko mengi ya manabii yalikuwepo hata kabla Mohamad hajazaliwa... Unashushiwaje kitu ambacho tayari kilikuwepo?Ulisema Musa ndio aliandika na muda huo huo mnasema ni Kumbukumbu la Taurati hili si sahihi.
Kwa mujibu wa maelezo yako, inaonekana nyinyi wakristo hamjikiti sana katika kujua uhakika wa maandiko na wapi yametoka, na kujua lipi sahihi lifatwe na lipi si sahihi lisifatwe.
Wewe aliyeshushiwa Quran Kuna ushahidi akishushiwa au ni stori TU umeaminishwa!?Mleta mada biblia alipewa nabii gani?
Ku prove nini?Opinion yako.Kuna andiko lolote ku prove hoja yako nje ya biblia na Quran?
Nitajie Mstari wowote kwenye Quran unaotaja Amri 10 alizopewa MusaAmri kumi za MUNGU walizopewa wakristo ndizo hizo hizo wanazofata na kushika waislam. Kama unabisha niambie wapi sio kweli.
Uwezi kusema Dini zinafanana wakati hata siku ya kuabudu sio moja... Hata wahindu wanasiku yao ya kuabudu, uwezi kusema Wahindu na wakristo ni sawa eti kwa sababu wote wana siku ya kuabuduDini zote zina siku maalumu ya ibada, yaani Jumapili na ijumaa.
Kutoa Sadaka haimaanishi mnafanana, hata Devil Worshipers na wachawi wanatoa Sadaka... Sadaka sio hoja ya kufanya dini kufananaDini zote wanatoa sadaka siku za ibada na siku za kawaida wanahimizwa kufanya zaka na sadaka binafsi.
Lugha sio hoja, hata Devil Worshipers shipers wanatumia kiingereza na wachawi wanatumia kiswahili kama waislamu haimaanishi ni dini mojaDini zote zinatumia lugha za kigeni yaani English,latin na kiarabu
Mungu umwabudie wewe sio amwabudie jirani yako.... Wahindi wanaabudu Ngombe...Dini zote zina muabudu MUNGU, na zinamlaani shetani
Utofauti wa vitabu tu inamaanisha dini hazifanani... Zingekuwa zinafanana zingekuwa na kitabu kimojaDini zote zina vitabu vikuu yaani Bible na Msaafu vyenye mafundisho na kanuni za kale zenye maudhui ya kisasa.
Wakati Muhammad anawataja "Watu wa Kitabu"Alikuwa anarefer kitabu gani?Mkuu narudia tena Biblia ni muunganiko wa vitabu vilivyoandikwa na watu tofauti... Yani maandiko yao yaliunganishwa na kuitwa biblia, na biblia imeandikw nyakati tofauti tofauti, kuna agano la kale lililoandikwa kabla ya Yesu na yesu alilikuta, na kuna agano jipya ambalo limeandika injili ya Yesu kristo... Biblia imeandikwa sio kwa pamoja bali kwa kukusanya maandiko kutoka kwa manabii wa kale, wanafunzi wa yesu na wafuasi wa Mungu
Hujasoma Maelezo yangu ukayaelewa? kayasome..Ndio inawezekana kuwepo watu wawili tofauti kabisa wenye jina linalofanana... Kitu kinachofanya watu hawa wawili kusemekana kuwa ni mtu mmoja ni kufanana kwa matukio au historia yao... Ila wasipofanana tu matukio basi hao sio mtu mmoja... Mfano Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kabisa kwa sababu historia zao hazifanani.
mkuu Tangu umezaliwa Umewahi kuona Jina la Mtu linatafsiriwa..Yesu ni tafsiri tu ya kiswahili
Jina "Yesu" ni tafsiri ya Kiswahili ya jina la Kigiriki "Ἰησοῦς" (Iēsous), ambalo lenyewe ni tafsiri ya jina la Kiebrania "ישוע" (Yeshua) au "יְהוֹשֻׁעַ" (Yehoshua), linalomaanisha "Yahweh anaokoa" au "Yahweh ndiye wokovu."
Kama ilivyo kwa majina mengine ya kiebrania yaliyotafsiriwa kuja kiswahili kama Yohana, Musa, Petro na mengineyo. Kitu pekee kinachofanya jina hilo kudhiriisha huyo mtu ni mfanano wa historia na matukio yao
mkuu Jitahidi Kusoma sanaHajiri kipindi anaolewa alikuwa bado kijakazi, na hata hakupata haki zote kama mke. Hata mtoto wake hakufanywa mwana mkuu machoni pa Ibrahim badala yake Mke wake Sarah baada ya kuzaa ndio isaka akafanywa mtoto mkuu machoni pa baba.
Hoja zako ni nzuri lakini misingi yako ya kuamini hiki ulichokiandika haitofautiani na wale waamini dini.Kuna mwamba anaitwa Mfalme Constantine mkuu, mtawala wa kwanza wa dola ya Roma kuingiza Ukristo kwenye serikali ya Roma na yeye mwenyewe kuingia kwenye Ukristo. Huyu ndiyo master mind wa biblia, sehemu kubwa ya mpangilio wa vitabu vya agano jipya vilipangwa kwa maelekezo yake. Vitabu vya agano la kale vingi ni hadithi za maisha ya wayahudi na sheria za dini ya kiyahudi (Judaism).
Malengo ya mtawala Constantine katika kuunda biblia ilikuwa ni kutengeneza ushawishi wa kisiasa kupitia dini ya kiyahudi lakini waongeze udambwidambwi mwingine ili kunogesha kwa kuweka agano la kale na jipya. Baadhi ya wasomi na watafiti wa elimu ya dini wanaamini kwamba sehemu kubwa ya hadithi za agano jipya ni za kutungwa na watawala wa dola ya Roma kwa maslahi yao ya kisiasa katika kujenga ushawishi ulimwenguni.
Walikuwepo enzi hizo ndio wanasema ni Maandiko yake na baadhi aliyaandika yeye na ndivyo tunavyoamini... Ni kama wewe unavyosema Quran imeshushwa na Mohamad, je baada ya kushushwa na Mohamad, maisha yaliyofuta ya historia ya Mohamad mpaka kifo yaliongia vipi kwenye Quran?Sasa kama ilikuwa ngumu, kwanini yanafanyiwa kazi maandiko yake na huku mnajua wazi ya kuwa hakuna hakika yake ?