robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
kwani akiishi kijijini kuna nin...mh. unaishi kijijini?
anadai ameanza kulisikia juzkwani akiishi kijijini kuna nin...
sema hajui tu kiswahili labda ingeleta maana...............anadai ameanza kulisikia juz
Ok asante lakini limekua likitumika kama kiungo hivi linawekwa kwenye kila sentensi ndio inanichanganyamubashara = live
lipo kwenye kamusi ila limepata umaarufu sana nyakati hizi kama neno ''kuchakachua'' lilivokuwa maarufu wakati ule......Ok asante lakini limekua likitumika kama kiungo hivi linawekwa kwenye kila sentensi ndio inanichanganya
ya mwambie lina maana ya m0ja kwa m0ja , ana kwa ana au live (kiingreza)sema hajui tu kiswahili labda ingeleta maana...............
[emoji121]Wandungu naomba kujuzwa neno Mubashara lina maana gani hasa maana limekua gumzo sasa na je ni kiswahili sanifu kwenye kamusi lipo? Mimi binafsi neno hili nimelisikia mwaka jana kwenyesherehe za Uhuru 9 desemba ambapo lilitumiwa na kituo cha ITV wakitangaza matangazo ya live kutoka uwanja wa uhuru. So mwenye kuelewa atujuze na kama kuna maneno mengine mapya ya kiswahili weka hapa ili tuyafahamu tutoke ushamba wa lugha yetu....
Ni watu hawajui maana yakeOk asante lakini limekua likitumika kama kiungo hivi linawekwa kwenye kila sentensi ndio inanichanganya
kwenye comment zote hii ndiyo iko sahihi!Ni neno ambalo limetoholewa kutoka kwenye lugha ya kiarabu lenye maana sawa na live kwa kiingereza....