ingia tiktok andika hashtaq ya Xi Jinping halaf mponde , watafuta hiyo comment mapema ila hashtaq ukimponda kiongoz wa west , comment inaachwa , tiktok imekaa kisiasa zaid sio app ya kuachwa popote paleHapo marepublican washaona biashara kubwa so wanataka shea tu hamna lingine zaidi, fitna za maslahi binafsi
Kama zilivyo sheria za kichina eti ni kweli makampuni ya kimagharibi yanayoendeshwa shughuli zake yanatakiwa (wanalazimishwa) kushea teknolojia na wazawaSheria za kipumbavu kama ya Marekani ni kujitoa tu
balance of power huipat kwa kuvamia Taiwan au Ukraine bali ni kuwakusanya wanyonge kwa ushawishi
Inafurahisha sana yaani nchi ya Amerika anajilinda na kulinda brand yake ila mTanzania anaumia.Nani ameonyesha msimamo?
Brand gani analinda?Inafurahisha sana yaani nchi ya Amerika anajilinda na kulinda brand yake ila mTanzania anaumia.
The thread should be tiedIshu kubwa sio kuwa na uhusiano na serikali ya china au lah,
Kwa wenzetu, hakuna kampuni kubwa yoyoye isiyokuwa na mkono wa serikali kuanzia kwa U.S, China Russia na kadharika
ishu ya Tiktok, inawezekana ni sababu U.S Intelligence agencies zikawa zinataka ziwe na access ya user data, ndio maana wanataka source code. Kwa wenzentu taarifa za watumiaji ni mtaji hasa kwenye R.D na n.k
Ishu za facebook na whatsapp china ni the same, hawakufukuzwa, ila waliambiwa waweke server china na serikali iwe na access ya hizo data, Meta (obvious nyuma yake kuna maelekezo ya serikali ya US) walikataa hayo masharti,
Kama ishu ni Tiktok kuwa na ushirika, kwanini wanataka share ziuzwe kwa raia, wa U.S, simple sababu share holder anakuwa sehemu ya umiliki na atapewa access ya data na vitu nyingine,
Chupi zinakusanya mbonaHawawezi ushindani hao. walianza figisu kwa Huawei, ZTE nk.
Sasa hivi na magari ya umeme kutoka China kodi ni 100%.
Keshokutwa watakuja kudai boxer au chupi kutoka china zinakusanya intelligence.😂