Ukweli ambao wengi hawaujui ni kuwa China haijawahi kuifungia mitandao ya kijamii ya Marekani, ila mitandao ya Marekani ilikimbia kutoa huduma China

Ukweli ambao wengi hawaujui ni kuwa China haijawahi kuifungia mitandao ya kijamii ya Marekani, ila mitandao ya Marekani ilikimbia kutoa huduma China

Hapo marepublican washaona biashara kubwa so wanataka shea tu hamna lingine zaidi, fitna za maslahi binafsi
ingia tiktok andika hashtaq ya Xi Jinping halaf mponde , watafuta hiyo comment mapema ila hashtaq ukimponda kiongoz wa west , comment inaachwa , tiktok imekaa kisiasa zaid sio app ya kuachwa popote pale
 
Sheria za kipumbavu kama ya Marekani ni kujitoa tu
Kama zilivyo sheria za kichina eti ni kweli makampuni ya kimagharibi yanayoendeshwa shughuli zake yanatakiwa (wanalazimishwa) kushea teknolojia na wazawa
 
balance of power huipat kwa kuvamia Taiwan au Ukraine bali ni kuwakusanya wanyonge kwa ushawishi

  • BRI (Belt and Road Initiatives hii ni worldwide)
  • BRICS (Hii ni worldwide. Inazidi kupata ushawishi na new member countries wanataka kujiunga)
  • FOCAC (Forum on China-Africa Cooperation)
  • CASCF (China-Arab States Cooperation)
  • SCO (Shanghai Cooperation Organisation. China, Eurasia countries)

  • China-LAC Summit (China Latin America Summit)

  • ASEAN-China SOM-DOC (China, South East Asian countries)

  • China-Central Asia Summit (China, Kazakhstan, Turkimenistan, Kyrgyzstan, Uzbekistan & Tajikistan)
 
Ishu kubwa sio kuwa na uhusiano na serikali ya china au lah,
Kwa wenzetu, hakuna kampuni kubwa yoyoye isiyokuwa na mkono wa serikali kuanzia kwa U.S, China Russia na kadharika

ishu ya Tiktok, inawezekana ni sababu U.S Intelligence agencies zikawa zinataka ziwe na access ya user data, ndio maana wanataka source code. Kwa wenzentu taarifa za watumiaji ni mtaji hasa kwenye R.D na n.k
Ishu za facebook na whatsapp china ni the same, hawakufukuzwa, ila waliambiwa waweke server china na serikali iwe na access ya hizo data, Meta (obvious nyuma yake kuna maelekezo ya serikali ya US) walikataa hayo masharti,
Kama ishu ni Tiktok kuwa na ushirika, kwanini wanataka share ziuzwe kwa raia, wa U.S, simple sababu share holder anakuwa sehemu ya umiliki na atapewa access ya data na vitu nyingine,
The thread should be tied
 
Hawawezi ushindani hao. walianza figisu kwa Huawei, ZTE nk.

Sasa hivi na magari ya umeme kutoka China kodi ni 100%.

Keshokutwa watakuja kudai boxer au chupi kutoka china zinakusanya intelligence.😂
Chupi zinakusanya mbona
Wewe tuuu, ndio ujui
 
Back
Top Bottom