Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kila nyumba ina miti ya maparachichi,Theories za supply na demand ndizo zimeyumbisha hiyo biashara kwa kiasi kikubwa,
The higher the supply the lower the demand
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nyumba ina miti ya maparachichi,Theories za supply na demand ndizo zimeyumbisha hiyo biashara kwa kiasi kikubwa,
The higher the supply the lower the demand
We ndio unifafanulie, hayo maparachichi yameandikwa made in Kenya wakati yametoka Tukuyu na njombe.Unafahamy kitu kinaitwa tracebility?
Wakenya walikuwa wanapromote soko la mbegu za mapapai.Umenikumbusha kilimo cha mapapai
Kulima papai na ukafanikisha kutoa makubwa ni mtihani haswa
Na bado unaweza kupata mazuri ila kuyauza ndo mtihani
Soko la uhakika ni la ndani tuKatika Mazao yote Ya Matunda yanayolimwa Tanzania, Wakulima wa Machungwa wanapiga hela kama Mkulima atakua Mtulivu, kilimo hiki Hakina siasa, Mtu mwenye heka Moja ya michungwa aina ya Valencia imbayo imechanganya kuzaa, kupata kuanzia milioni 6 ni mambo la kawaida, tunachoomba Mungu siasa isije ikaingia huku ,Tukaanza kuundiwa bodi,
Watu wanauza mpaka Tsh 100 kwa chungwa Moja bei ya Shamba kama unakua na Uvumilivu na unauza huku unaringa
Nashauri kama una pesa zako kidogo lima mazao ya chakula tu viazi, mpunga, mahindi nk hivi vinalipa. Huku pesa ipo na kama location ulipo ni nzuri lima mazao yanayohifadhika like kahawa, miaka miwili inazaa, management yake rahisi. Nalima kahawa makete pia ni mwaka wa tatu tayari nimeanza kuvuna.
Mkuu unaweza ni connect na mkulima wa machungwa wa aina hiyo ya valencia?Katika Mazao yote Ya Matunda yanayolimwa Tanzania, Wakulima wa Machungwa wanapiga hela kama Mkulima atakua Mtulivu, kilimo hiki Hakina siasa, Mtu mwenye heka Moja ya michungwa aina ya Valencia imbayo imechanganya kuzaa, kupata kuanzia milioni 6 ni mambo la kawaida, tunachoomba Mungu siasa isije ikaingia huku ,Tukaanza kuundiwa bodi,
Watu wanauza mpaka Tsh 100 kwa chungwa Moja bei ya Shamba kama unakua na Uvumilivu na unauza huku unaringa
Mkuu safi sana umezungumza vizur sana..hii biashara ya mazao unaijua vizur na nimfatiliaji.Ukitumia akili kwenye jambo lolote unalofanya utakwepa mishale kama hii. Nimesoma na kufuatilia sana parachichi kwa China na nimekubali ni biashara ngumu sana.
1. Soko lake kubwa hasa hizo Hass ni China ambapo wao soko lao linapanda na kushuka kutokana na supply wanayopata kutoka Mexico, Kenya, Australia na zaidi ya nusu kutoka Peru. Ikitokea ni msimu wa Peru huko kwingineko bei inashuka sana, muda wa kupiga hela ni pale nchi nyingine zinapokuwa sio msimu.
China iko busy kujitosheleza kwenye parachichi kwahiyo soko litazidi kupungua, na uzuri wa China ni nchi kubwa yenye usawa wa bahari tofauti sana kila eneo hivyo kila upande unaweza zalisha kwa msimu wake na zikawa sokoni mwaka mzima.
2. Teknolojia hatuna. Unavuna parachichi unapakia kwenye fuso utamuuzia nani uko nje? Hamna cold rooms, hamna grading, hakuna refrigerated trucks, hamna kupima quality, water content, protein, texture, ile nyama ya ndani, mbolea haipimwi, ardhi wanatifua tu hata hawajui ardhi gani ina nini na inakosa nini. Tunaenda kienyeji.
3. Serikali inasubiri kutoza ushuru na kodi, yenyewe hata haijui hiyo biashara na kilimo chake inafanyikaje. Hakuna support kabisa sababu parachichi zikiachwa nchi haitokufa njaa.
4. Ni zao lenye usumbufu na linataka mtaji mkubwa. Wakati huo haliuziki ndani, ukikosa soko la nje ukauza ndani unakula hasara kutokana na gharama kubwa za uendeshaji.
5. Ni zao gumu sana kuuzwa, yani hawa walanguzi wetu wakienda nje uko wanapigwa za uso kirahisi sana. Unatafuta certifications za ubora na kila kitu unapeleka msimu huu, msimu ujao unaweka mtaji wote then Wachina wanapima wanakuta water content kubwa kisa mvua zilizidi uko Niombe. Zinamwagwa, huyo mfanyabiashara atarudi?
Mwaka juzi Wakenya walizuiwa na TFDA ya China kwamba kuna mlipuko wa fruit flies parachichi zao zinaenda na mayai yake. Wakaambiwa ukitaka kuuza menya uuze ile nyama ya ndani. Sasa process ya kumenya na kuuza nyama ya ndani alafu hiyo nyama isiwe nyeusi hata kidogo sio kazi ya kitoto.
Haya yote nimeyajua nikiwa sina mpango wa kulima, ningetaka kulima ningejua mengi zaidi. Sasa mkulima yeye akisikia kwenye redio anaamka na kufyeka eneo atengeneze shamba. Content creators ile ndio kazi yao, kuongea. Usikubali kushikwa masikio
Itakua kweli mbona wakenya wanapeleka sana parachichi nje..nadhani kwa africa wanaongoza kuuza parachichi nje..! Wale jamaa wamechangamka huku wa tz tukiwa usingizi..Kila kitu huwa hakiwezekani Tanzania sijui shida nini au maagano Yale ya mwenge
Jamaa anajuaMkuu safi sana umezungumza vizur sana..hii biashara ya mazao unaijua vizur na nimfatiliaji.
Aisee kumbe!,tukaingia mkenge kizembe kabisaWakenya walikuwa wanapromote soko la mbegu za mapapai.
Laana,hata unga wa mahindi wanaexport south Sudan,vitunguu wanachukua Arusha,manyara Wana exportItakua kweli mbona wakenya wanapeleka sana parachichi nje..nadhani kwa africa wanaongoza kuuza parachichi nje..! Wale jamaa wamechangamka huku wa tz tukiwa usingizi..
Mkuu nilijiuliza hilo swali kwamba lazima parachichi zizae kwa pamoja mbona viumbe vingine vinazaliwa siku moja ila vina mature tofauti. Naomba hoo elimu ya kuzifundisha zizae mda naotaka.Mbona bado Parachichi linahitaji hata huku nchini. Binafsi nimepanda huku Rungwe na kule Kilolo Iringa. Mengi umesema kweli hususan kwenye gharama za kulihudumia. Kuhusu soko, linacheza kwa kulingana na mwaka/msimu na soko la Dunia. Binafsi nimeyatrain maparachichi yangu so huwa naona mwezi wa 9 hadi 11 (OFF SEASON) ambapo duniani hakuna Parachichi so soko huwa la uhakika na ninapiga Bingo hapo. Kikubwa uwe na source ya maji ya uhakika tu mkuu.
According to code of conduct from college desa, it state that " teach the syllabus, don't teach your ideas!".Kwa hiyo kahawa, mahindi, mpunga na viazi ni mazao ya chakula, sio mazao ya biashara, yani hayauziki!
Na parachichi ni zao la biashara, sio zao la chakula, kwa hiyo parachichi haliliki!
Unajua wale walimu wa primary wale walitukaririsha madudu mengi vichwani, tulikuwa hatujielewi na wao hawajielewi masikini ya Mungu!