Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Kama ulimsoma Napolean Hill ktk kitabu chake How to be rich.Tuliwaonya Rungwe walipokua wanakata migomba ili kuanzisha kilimo cha parachichi. Binafsi niliwaambia waww makini, wasikimbilie wote huko , kwani kwa wingi wanaoenda nao itapelekea zao hilo lipatikane kwa wingi na hivyo kushuka thamani.
Zaidi kwa kuwa hawana access na soko, wao wanajikuta wanalima ili kujazilizia demands za yule mzungu mwenye access na soko, na wakishakuwa wenggi wataishia kumfaidisha huku wao wakudumaa
Yeye anasema, ukiona umeanguka kwenye biashara basi fanya mara mbili yake.
Wale wasiojua structure of the markert and how it operate watajitoa taratibu na kubaki wajasilia mali halisi.
Mimi chuoni nilijifunza kwamba kila kitu kina utitiri hivyo ni wewe kushindindana na utitiri, na tatizo sio kuzalisha bali kuzalisha bidhaa bora na kuuza.
Marketing and selling is everything in business and entrepreneurship.
Ukishindwa kuuza wewe unakosa sifa za mjasiliamsli.
AVOCADO ni industrial crop sasa iweje ioze wakati ni bidhaa ya kiviwanda?
Sisi kama vijana tunatakiwa to innovate different products tuache ujinga wa kusubiri wazungu,wahindi, warabu na wachina kufikiri kwa niaba yetu.
I have alternative for my Avocado.
Bahati mbaya sijaanza kuuza zangu kushuhudia zinavyooza kwa kukosa wateja, ila parachichi zangu hazitaoza.
Ukichunguza uzalishaji wa Avocado ni subsistence agriculture, yaani ni tushamba twa kuokoteza ispokuwa Rungwe Company.
Sasa iweje unishawishi eti Avocado zimezalishwa sana wakati vishamba ni vya kuokoteza?
Avocado agriculture bado sans sana ktk ukubw, yani bado inaachwa na machungwa,chai, nduzi, miwa nk.
Mimi natamani nione mkulima mmoja walau minimum awe na heka 10.
Tujiuliza kikijengwa kiwanda kikubwa kitapata AVOCADO mda wote?