Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Parachichi balaa zaidi tena haya ecologia bora mfuga kuku.Anayefuga kuku wa mayai ni sawa tu na mkulima wa parachichi. Hakuna kitu kwenye hizo mambo.
Chini ya mlima Rungwe Mwekezaji alikuja akalima akashawishi na wenyeji pia, ambao humuuzia yeyeMigomba ilifyekwa mno, misitu ikachomwa moto na kuvunwa hovyo ili wapande maparachichi.
Kwa maana waliopanda mwaka juzi saivi wanalia tu,parachichi liliwafaidisha wale watu wa mwanzo kabisa miaka ya 2011 kidogo mpaka mwaka juzi.
Rahisi kuongelekaAcheni, kateni miti. Mimi siikati na ndio kwanza mwezi wa8 naenda kuchimba mashimo mengine 1500. Na lengo ni kufikisha miche 5000. Wewe kata yako. Chungwa sio Avocado japo yote ni matunda.
Endeleeni kusubiri wachina na warabu, mimi siwafikirii kabisa hao watu.
Binadamu yoyote alieshindwa kuyatawala mazingira yake huyo ni sawa na ng'ombe.
Innovative brain is not for everybody, is something gifted from god and it is for few people.
Mfano mdogo ni kwamba ktk eneo nalolima kuna barafu isio sikia dawa but mimi nimeisha innovate njia yangu ya kuokoa parachichi zangu na barafu huku wengine wakilalama kuungua barafu zao.
Ni hivi siwezi kukuwekeeni njia hapa za kufuata ili muuze hizo Avocado. Nyie ziungue, zidode mkose soko muache mie ndio naongeza mashamba.
Mzungu hajawahi toa siri jinsi anazalisha products zake sasa nyie endeleeni kumsubiri mzungu awafunulie.
Mimi simuhurumii mtu yoyote ambae anashindwa kuuza Avocado zake na wala si ilaumu serikali maana wengi wao hawajawahi fanya chochote cha uzalishaji zaidi wanahitaji kodi yao tu.
Nakupongeza sana kuwa ktk mtazamo hasi kwani wengi mkiwa ktk mtazamo chanya mtafanya njia kuwa ngumu. Walalamishi wakiwa wengi huwasaidia wale wanaofanya mambo yao kwa akili yao.
Poole asee, Mm mafinga sehemu gani aseeNililima heka 50 hizo Hass Ovacado mafinga nilipoangalia gharama msimu wa kwanza nikajikuta nimepata mil 14 ndg zangu hela niliyokua nimeweka pale nilitamani kulia mchozi...ovacado ni shida kubwa sana bora ulime mihogo
Ufugaji wa samaki unashida gani ndugu?Tikiti gani uuze hapa Bongo upate Mil 20? [emoji23]
Walianzia mbali Mimi huwa siwasikilizi hata, Mara ufugaji Sungura, Ufugaji wa samaki, Kilimo cha parachichi, tikiti maji, kilimo cha Vanila...then hawakupi kbs soko
Sahihi ndugu, unastahili PhD kabisa wewe. Huo ndio ukweliUkiona wanasiasa wanahimiza watu walime zao Fulani. Hilo zao achana nalo, Ni mtego.
Ukiona zao halina bodi Wala wanasiasa hawalisemi ujue Hilo Ni dili na wanasiasa wenyewe watakua wanalilima.
Nikuhakikishie, nchi hii hakuna anayemtakia mwenzie mema.
Umeshawahi kumsikia mwanasiasa akihimiza watu walime viazi vya chips ambavyo vinasoko mwana mzima?
Hapa watu wanaona mambo hayawezekani, acga tu wapagawe wafeli wakimbue.Mkuuu
Kwa barafu la makete unalizuiaje kwa mfano
Tupe ABC
Story nyingi we sema barafu unaizuiaje simple and clearHapa watu wanaona mambo hayawezekani, acga tu wapagawe wafeli wakimbue.
Mie nsha iinivate simple method na baendelea na utafiti kuboresha. Natumua simple method.
Leo nimejifunza njia zingine mbili kutoka kwa wenye akili wanao tumia ubongo.
Mkuu viazi vya chipsi havina soko mwaka mzima na hakuna wanasiasa wanalima hilo zao. Nayo ni perishable goods kama matunda tu.Ukiona wanasiasa wanahimiza watu walime zao Fulani. Hilo zao achana nalo, Ni mtego.
Ukiona zao halina bodi Wala wanasiasa hawalisemi ujue Hilo Ni dili na wanasiasa wenyewe watakua wanalilima.
Nikuhakikishie, nchi hii hakuna anayemtakia mwenzie mema.
Umeshawahi kumsikia mwanasiasa akihimiza watu walime viazi vya chips ambavyo vinasoko mwana mzima?
Tumia akli mkuu. Humu kuna hali ya kudharauliana, hivyo chemsha kichwa.Story nyingi we sema barafu unaizuiaje simple and clear
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Tuwekee hapa hizo simple methods nao wajifunzeHapa watu wanaona mambo hayawezekani, acga tu wapagawe wafeli wakimbue.
Mie nsha iinivate simple method na baendelea na utafiti kuboresha. Natumua simple method.
Leo nimejifunza njia zingine mbili kutoka kwa wenye akili wanao tumia ubongo.
Nnavojua mmMkuu viazi vya chipsi havina soko mwaka mzima na hakuna wanasiasa wanalima hilo zao. Nayo ni perishable goods kama matunda tu.
Mda huu nakwambia bei ime drop from elf 80 mpaka elf 40. Ni bora hata kulima avocado kuliko viazi, very expense na wakulima wengi hawapati faida ispokuwa misimu michache tu na mara nyingi ni mwanzo wa msimu.
Viazi mviringo ndio biashara kichaa bora hata avocado.
Naishi kwenye mabonde ya hili zao na nalima. Ni pasua kichwa.
Kilimo chetu kwa ujumla kinachangamoto mtu akitoboa ujue huyo ni mjanja sana na anatumia akili yake vuzuri.
Hongera, huku nje tunaaninishwa parachichi ni fursaNimefanya kilimo cha parachichi kwa miaka nane sasa, nilichokiona ni haya;
1. Kilimo kina mzunguko wake ni mdogo parachichi huzaa kidogo kidogo kadri miaka inavyoenda, unatumia million 10 unapata million mbili.
2. Bei hazijadiliki anayeamua ni mnunuzi unless uwe na mtaji mkubwa ambayo unakuruhusu ku export mwenyewe, na uwe na uwezo wa kuwa na cold room Ili zikikomaa uchume uzihifadhi kama bei hueilewi kwa kipindi hicho (hii mitaji watanzania wengi hatuna). 3. Management ya parachichi ni ngumu sana linahitaji maji kidogo (hapa unaweza manage kumwagilia) linahitaji mbolea za chumvi na mbolea za majani, sumu. Kila nk kwa kiasi kidogo, linahitaji muda Kwa wingi, upatikanaji wa Samadi ni mtihani sana (wengi wamejikuta parachichi zimedumaa na wengine wanazalisha reject kwa wingi) kisa tu wameshindwa kuwa na Samadi, udhibiti wa nyasi (ukweli ni kuwa Ili miti iwe Bora unahitaji kulima badala ya kufyeka nyasi)
Nimefanya observation shambani kwangu panapolimwa pana matokeo kuliko panapofyekwa, distance kati ya mti na mti inamua sana miti iliyokaribu inasumbua sana na mingi huwa haizai vizuri. Hizi issue zimefanya watu tukimbie mashamba yetu, hata kiwango cha pesa kinachotajwa wengi hawapati ni figure za uwongo Ili kujifariji, njoo na hoja zako kupinga zangu hapo juu, zangu ni hizo.
Nashauri kama una pesa zako kidogo lima mazao ya chakula tu viazi, mpunga, mahindi nk hivi vinalipa. Huku pesa ipo na kama location ulipo ni nzuri lima mazao yanayohifadhika like kahawa, miaka miwili inazaa, management yake rahisi. Nalima kahawa makete pia ni mwaka wa tatu tayari nimeanza kuvuna.
NB: Mazao ya chakula ndio kila kitu hizi nyingine tabu umezitafuta.
Kapande tena, uidraft itawahi kuzaa.Nikikumbuka kwa bibi kuna mjukuu alishawahi kata miti ya maembe na maparachichi ili kuvuna mbao napata hasira sana. Yule jamaa sintokaa nimwelewe.
.Nchi za wenzetu zinajali sana walaji.
Tanzania ni nchi ambayo haijali walaji ndio maana Matunda huanguliwa na kupakiwa kwenye mafuso
Nchi zingine mf Marekani nimewahi fatilia youtube kila bidhaa lazima ipite kiwandani kusafishwa na kuwa packed kuanzia machungwa hadi vitunguu lazima viwe packed.
Huku kwetu nenda pale Mahakama ya Ndizi Mabibo utaweza acha kula ndizi
Nenda Temeke, Tegeta Nyuki hakika huwezi kula.
Madawa mengi sana hutumika muda mfupi kabla ya kuvuna, nina Nyanya nimekaa nazo Mwezi na siku 2 haziozi hadi nikazitupa hazina funza wala nini
Gharama ya kuzalisha viazi vya kyepe hazimithiriki faida kiduchu... Kuna mazao Yana faida ila ulime kimkakati na pakubwa. Sasa avocado unalima miti 200 unategemea uwe tajiri?!Ukiona wanasiasa wanahimiza watu walime zao Fulani. Hilo zao achana nalo, Ni mtego.
Ukiona zao halina bodi Wala wanasiasa hawalisemi ujue Hilo Ni dili na wanasiasa wenyewe watakua wanalilima.
Nikuhakikishie, nchi hii hakuna anayemtakia mwenzie mema.
Umeshawahi kumsikia mwanasiasa akihimiza watu walime viazi vya chips ambavyo vinasoko mwana mzima?