Ukweli hausemwi. Kilimo cha Parachichi ni kigumu sana na pesa yake ni ndogo

Ukweli hausemwi. Kilimo cha Parachichi ni kigumu sana na pesa yake ni ndogo

Utazifanya nn ili zisioze? Nilitegemea kwenye hitimisho lako useme utajenga kiwanda, lkn kumbe na wewe unauliza swali. Sasa hiyo jeuri ya kusema parachuchi zako hazitaoza unaipata wapi?
How many stomach are there in Tanzania?
Kwani machungwa hayaozi? Je wameyafanyia nini?
Wakati wataalamu wa lishe wanatabiri kuongezeka ulaji wa matunda halafu sisi tusimamishe uzalishaji.
Ni hivi hakuna uzalisgaji unaotosha kulisha kiwanda cha maana hata mwezi.
Hakuna uzalishaji mkubwavwa parachichi TZ. Kupata hekta 1000 tu zilizokaa pekeake ni kazi.
Suala nitafanya nini siwezi weka hapa, kimsingi tu mwenye akili timamu hawezi ruhusu mzigo wake uoze bali mwehu tu.
Zikianza kukomaa utaona strategy yangu, nitakushirikisha wala usihofu.
kitu kikubwa sana ni kuhamasisha wakulima watoe product nzuri.
Mkuu ten years tocome utashsngaa sana yatakayotokea katika Avocado industry.
Kumbuka Avocado inapandwa na watu wa kila status sio kama pamba.
Fursa hutokea kwa waliothubutu.
 
How many stomach are there in Tanzania?
Kwani machungwa hayaozi? Je wameyafanyia nini?
Wakati wataalamu wa lishe wanatabiri kuongezeka ulaji wa matunda halafu sisi tusimamishe uzalishaji.
Huna mbinu mkuu, unajipa faraja tu. Soma comment #20 ya uzi huu. Mtoa comment #20 amejenga hoja kuntu

Unakifahamu kilio cha wakulima wa machungwa, nyanya, n.k ?

Wewe unaleta hadithi za Abunuasi badala ya kueleza jambo kwa uhalisia wake.
 
Kuna mwamba anasema alinunua burundi 50 akaja bongo kuuza 500 akapata faida 5+ msome hapa

Jinsi Fursa nchini Burundi zinazoweza kubadili maisha na kuongeza kipato chako
 
Bila shaka ulikusudia kuandika 2021??
Nimemaanisha hiyo hiyo 2011 mkuu labda kama ntakua nimerudi nyuma sana ila before 2013, kule Rungwe ndio walianza anza kuvuna.
Na hawa wengi wao ni wale waliokua wanafanya majaribia ya mbegu hiyo ya parachichi.
 
Huna mbinu mkuu, unajipa faraja tu. Soma comment #20 ya uzi huu. Mtoa comment #20 amejenga hoja kuntu

Unakifahamu kilio cha wakulima wa machungwa, nyanya, n.k ?

Wewe unaleta hadithi za Abunuasi badala ya kueleza jambo kwa uhalisia wake.
Acheni, kateni miti. Mimi siikati na ndio kwanza mwezi wa8 naenda kuchimba mashimo mengine 1500. Na lengo ni kufikisha miche 5000. Wewe kata yako. Chungwa sio Avocado japo yote ni matunda.

Endeleeni kusubiri wachina na warabu, mimi siwafikirii kabisa hao watu.
Binadamu yoyote alieshindwa kuyatawala mazingira yake huyo ni sawa na ng'ombe.
Innovative brain is not for everybody, is something gifted from god and it is for few people.
Mfano mdogo ni kwamba ktk eneo nalolima kuna barafu isio sikia dawa but mimi nimeisha innovate njia yangu ya kuokoa parachichi zangu na barafu huku wengine wakilalama kuungua barafu zao.
Ni hivi siwezi kukuwekeeni njia hapa za kufuata ili muuze hizo Avocado. Nyie ziungue, zidode mkose soko muache mie ndio naongeza mashamba.
Mzungu hajawahi toa siri jinsi anazalisha products zake sasa nyie endeleeni kumsubiri mzungu awafunulie.
Mimi simuhurumii mtu yoyote ambae anashindwa kuuza Avocado zake na wala si ilaumu serikali maana wengi wao hawajawahi fanya chochote cha uzalishaji zaidi wanahitaji kodi yao tu.

Nakupongeza sana kuwa ktk mtazamo hasi kwani wengi mkiwa ktk mtazamo chanya mtafanya njia kuwa ngumu. Walalamishi wakiwa wengi huwasaidia wale wanaofanya mambo yao kwa akili yao.
 
Acheni, kateni miti. Mimi siikati na ndio kwanza mwezi wa8 naenda kuchimba mashimo mengine 1500. Na lengo ni kufikisha miche 5000. Wewe kata yako. Chungwa sio Avocado japo yote ni matunda.

Endeleeni kusubiri wachina na warabu, mimi siwafikirii kabisa hao watu.
Binadamu yoyote alieshindwa kuyatawala mazingira yake huyo ni sawa na ng'ombe.
Innovative brain is not for everybody, is something gifted from god and it is for few people.
Mfano mdogo ni kwamba ktk eneo nalolima kuna barafu isio sikia dawa but mimi nimeisha innovate njia yangu ya kuokoa parachichi zangu na barafu huku wengine wakilalama kuungua barafu zao.
Ni hivi siwezi kukuwekeeni njia hapa za kufuata ili muuze hizo Avocado. Nyie ziungue, zidode mkose soko muache mie ndio naongeza mashamba.
Mzungu hajawahi toa siri jinsi anazalisha products zake sasa nyie endeleeni kumsubiri mzungu awafunulie.
Mimi simuhurumii mtu yoyote ambae anashindwa kuuza Avocado zake na wala si ilaumu serikali maana wengi wao hawajawahi fanya chochote cha uzalishaji zaidi wanahitaji kodi yao tu.

Nakupongeza sana kuwa ktk mtazamo hasi kwani wengi mkiwa ktk mtazamo chanya mtafanya njia kuwa ngumu. Walalamishi wakiwa wengi huwasaidia wale wanaofanya mambo yao kwa akili yao.
You are just painting the air. I pity you!
 
Pole sana

Haina haja ya pole mkuu sijalima Ila nilikuwa navutiwa na harakati za jamaa mmoja instagram kijana analima parachichi ekari na ma ekari Sasa huku mnakuja kusema soko lake kizungumkuti tena???
 
Haina haja ya pole mkuu sijalima Ila nilikuwa navutiwa na harakati za jamaa mmoja instagram kijana analima parachichi ekari na ma ekari Sasa huku mnakuja kusema soko lake kizungumkuti tena???
Hii nchi kilimo fanyia mitandaoni tu, usithubutu kulima kiukweli ukweli.

2018 bei ya kilo ya mbaazi ilikuwa ndogo kuliko ile ya makopo.

Chaguo ni lako sasa ukalime ama ukaokote makopo
 
Acheni, kateni miti. Mimi siikati na ndio kwanza mwezi wa8 naenda kuchimba mashimo mengine 1500. Na lengo ni kufikisha miche 5000. Wewe kata yako. Chungwa sio Avocado japo yote ni matunda.

Endeleeni kusubiri wachina na warabu, mimi siwafikirii kabisa hao watu.
Binadamu yoyote alieshindwa kuyatawala mazingira yake huyo ni sawa na ng'ombe.
Innovative brain is not for everybody, is something gifted from god and it is for few people.
Mfano mdogo ni kwamba ktk eneo nalolima kuna barafu isio sikia dawa but mimi nimeisha innovate njia yangu ya kuokoa parachichi zangu na barafu huku wengine wakilalama kuungua barafu zao.
Ni hivi siwezi kukuwekeeni njia hapa za kufuata ili muuze hizo Avocado. Nyie ziungue, zidode mkose soko muache mie ndio naongeza mashamba.
Mzungu hajawahi toa siri jinsi anazalisha products zake sasa nyie endeleeni kumsubiri mzungu awafunulie.
Mimi simuhurumii mtu yoyote ambae anashindwa kuuza Avocado zake na wala si ilaumu serikali maana wengi wao hawajawahi fanya chochote cha uzalishaji zaidi wanahitaji kodi yao tu.

Nakupongeza sana kuwa ktk mtazamo hasi kwani wengi mkiwa ktk mtazamo chanya mtafanya njia kuwa ngumu. Walalamishi wakiwa wengi huwasaidia wale wanaofanya mambo yao kwa akili yao.
Mkuuu
Kwa barafu la makete unalizuiaje kwa mfano

Tupe ABC
 
Kaka Kuna mtu kanidhulumu shamba langu aoteshee maparachini yake huko mablizi juu huko rumalila acha aliwe za usoo kumbavu sna yule MZee IPO siku nitaenda nitafamia shamba lote nikalifekee na kuzingo miti yote
 
Wazee wa fursa ni wahuni sana. Wanalimia kwenye daftari na kupeleka taarifa za uongo Instagram na Facebook.

Miaka michache iliyopita walieneza taarifa za uongo kwamba ekari moja ya matikiti mtu anaweza kupata milioni 20 kwa mtaji wa shilingi 2m-3m.

Watu wakakuripuka, wakaangukia pua.
Tikiti gani uuze hapa Bongo upate Mil 20? [emoji23]

Walianzia mbali Mimi huwa siwasikilizi hata, Mara ufugaji Sungura, Ufugaji wa samaki, Kilimo cha parachichi, tikiti maji, kilimo cha Vanila...then hawakupi kbs soko la uhakika na bei exactly
 
Hivi kuna kilimo ambacho hakina changamoto, ukienda kulima mahindi unakutana na hali ya hewa na soko, ukienda kulima mpunga utasikia mwaka huu mvua zimekata, kilimo cha kitanzania ni cha uwendawazimu uelewe hilo
Milembe je?
 
Back
Top Bottom